Hoja ya Shossi juu ya sh. 500/- ya babu

ndugu, angalia maneno ya Mungu, usiangalie babu anasema nini. mengi ya maelezo yako yalishajibiwa humu kwenye thread hii, ukipitia post hizi kwa makini utaona almost kla jibu limo.

ubarikiwe sana

utukutu una Yeye Bwana hata milele

Utoto tu!
 
ndugu, angalia maneno ya Mungu, usiangalie babu anasema nini. mengi ya maelezo yako yalishajibiwa humu kwenye thread hii, ukipitia post hizi kwa makini utaona almost kla jibu limo.

ubarikiwe sana

utukutu una Yeye Bwana hata milele
utukufu
waache wanaoamini dawa ya babu kuwa inaponya waamini na watoe hiyo Tsh. 500, wewe baki na hicho unachokiamini dada.
SHIKA SANA ULICHONACHO ASIJE MWOVU AKAKUNYANG'ANYA. muombe Mungu pamoja na kuzitii amri zake (badilisha avatar yako pia)
ili akupe maono, maana tukiomba lolote kwa jina lake tutapata so muombe akufunulie kila kitu kuhusu dawa ya babu, simama imara kwa maneno na matendo pia mama!!

Blessings!!!
 
utukufu
waache wanaoamini dawa ya babu kuwa inaponya waamini na watoe hiyo Tsh. 500, wewe baki na hicho unachokiamini dada.
SHIKA SANA ULICHONACHO ASIJE MWOVU AKAKUNYANG'ANYA. muombe Mungu pamoja na kuzitii amri zake (badilisha avatar yako pia)
ili akupe maono, maana tukiomba lolote kwa jina lake tutapata so muombe akufunulie kila kitu kuhusu dawa ya babu, simama imara kwa maneno na matendo pia mama!!

Blessings!!!

asante mpendwa kwa kunishtua

nimeishabadilisha neno "utukufu" sasa linasomeka vizuri.

ubarikiwe sana na Bwana
 
Hii thread yako dada unatutafutia ban wakati hata keki ya birthday yangu sijaikata. naomba unijibu maswali madogo, kama kazi za mungu zote ni bure, ni kwa nini biblia tunauziwa? pili, ni kwa nini mapadri na wachungaji wanalipwa mishahara/ posho kwa kazi za mungu? je umesahau ya kwamba mtu hawezi kuishi kwa mkate tu ila kwa kila neno anenalo toka ndani ya kinywa chake? je zile sadaka zinazotolewa kwa mamilioni makanisani, huwa kuna ndege inakuja kuzichukuwa zile sadaka na kuzipeleka mbinguni kwa sir God?
Ni hayo tu machache naomba unijibu kabla sijaanza kuchangia hii thread yako. kumbuka hiyo ni dibaji tu.

Nadhani tunaangalia kinadharia zaidi, point ya Judith ni pale babu anapoweka kiwango cha pesa. Kama kweli watu 'wanapona' watatoa huna haja ya kumwambia mtu atoe shs,ngapi. Wewe unaweka kapu la sadaka, mtu atatoa kwa jinsi anavyoguswa na kama ni cha Mungu utaguswa tu kutoa.

Kuna incidence imetokea dada mmoja alikuwa ananieleza alikuwa huko, mama mmoja alikuja na shs 10,000 tu maana mtu hupati picha halisi ya gharama mpaka ufike huko au alikuwa na uwezo mdogo. Katika pilikapilika za hapa na pale pesa ikaanguka. Alipofika kwa babu, akaambiwa bila shs 500 hawezi kupata kikombe. Ndipo msamaria mwema akajitolea kumlipia. Sasa najiuliza kweli binadamu anaweza kuwa na huruma kuliko Mungu.

Hebu tutafakari!
 
Ni hadithi za Abunuwas na kufuru kubwa na kulinganisha pipi ya shiing 10 dukani, na Malignant cancer, au Chronic Asthma, au HIV/Aids, Au Blood Pressure!
Ukiona mtu yeyote anaongea commedies ujue wazi hajaugua!...Hivi mnayajua hayo magonjwa niliyotaja hapo juu....mnajua usumbufu wake?
Msicheze na ufundi wa kuongea maneno bana!

Kwanza lazima nikiri PakaJimmy, huwa comments zako zinanifurahisha sana na mara nyingi unafanya utafiti mzuri. Mimi ni mzuri wa ku 'peruse' na huwa sichangii sana ila ninapokuta jina lako ni lazima nitasoma na kukubaliana na comment zako kwa asilimia kubwa.

Inapokuja kwenye issue ya babu inabidi uwe na akili ya mwenda wazimu kutoa dukuduku lako kwasababu utapigwa vita kulia na kushoto kama uko against him. Kwa mara ya kwanza hoja yako sijaikubali na ningependa nikusikilize ni kitu gani hasa kinachokusukuma uamini kuwa babu anatibu hayo magonjwa uliyoyataja hapo juu. Hata watu wote waende kwa babu ujiulize kwa nini wewe unaenda.

Ameniacha hoi alipoongeza tiba ya kutibu kuongezeka kwa nguvu za kiume. Mungu aliyeumba mbingu na dunia anathamini ndoa ya mke mmoja na mume mmoja. Wewe unapotangaza tiba hiyo watakuja waliooa, wenye nyumba ndogo kadhaa, wasiooa na nguvu zinapoongezwa matamanio yanazidi. Sasa sielewi hapo Mungu wangu anatukuzwa vipi? Mazingira yameharibiwa watu wanajisaidia ovyo, haki zao zinazolumiwa na wenye nguvu (polisi). How is God glorified in all those situation? Mungu atusaidie jamani.

Conclusion: Bado nakufagilia ila when it comes to Babu issue let us agree to disagree
 
Nadhani tunaangalia kinadharia zaidi, point ya Judith ni pale babu anapoweka kiwango cha pesa. Kama kweli watu 'wanapona' watatoa huna haja ya kumwambia mtu atoe shs,ngapi. Wewe unaweka kapu la sadaka, mtu atatoa kwa jinsi anavyoguswa na kama ni cha Mungu utaguswa tu kutoa.

Kuna incidence imetokea dada mmoja alikuwa ananieleza alikuwa huko, mama mmoja alikuja na shs 10,000 tu maana mtu hupati picha halisi ya gharama mpaka ufike huko au alikuwa na uwezo mdogo. Katika pilikapilika za hapa na pale pesa ikaanguka. Alipofika kwa babu, akaambiwa bila shs 500 hawezi kupata kikombe. Ndipo msamaria mwema akajitolea kumlipia. Sasa najiuliza kweli binadamu anaweza kuwa na huruma kuliko Mungu.

Hebu tutafakari!

mpendwa, kwenye bold ya kwanza nakushukuru sana kwa kunielewa. hiyo ya pili imenihuzunisha sana. huyu ni mganga tu. lakini mbona waganga wengine hata wangemwambia mama kunywa nenda ukipata ulete.

jamani ukikumbuka jinsi ilivyo tabu kufika na kutoka loliondo na kupanga foleni kumuona babu, shida za kibinadamu kama chakula, maji, choo nk kwa siku kadhaa au hata wiki nzima na ushei halafu mtu kafika kwenye kikombe unaambiwa kaa pembeni mwenye hela anywe! jamani MUNGU GANI HUYU?

Habari nyingine zina tutoa machozi mbele ya screen zetu

Mungu yupo tu

mimi nitamhimidi Bwana kila wakati

sifa zake zi kinywani mwangu daima
 
Back
Top Bottom