Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,913
- 10,719
ukimakiza miezi miwili utanielewaKuna nilipokosea mkuu?
ukimakiza miezi miwili utanielewaKuna nilipokosea mkuu?

😂 nitarudi🤣🤣🤣🤣🤣🤣Oiii
Una kishundu mkuuWanasema mgeni njoo wenyeji wafaidi.
Sina fedha wala dhahabu za kuwafaidisha nazo ila nitawanufaisha kwa kutoa michango mizuri kwa kadiri ya upeo wangu.
Nimekua naogopa kuingia kuchangia ila ndo nishajitosa naombeni mnipokee dada zangu,mama zangu,kaka.zangu na baba zangu.

HapanaaUnabishana na da Joannah ?
Sasa mgeni unaanza kutupanda kichwani wanafamilia 😅Ana sbb zake nzuri zinazofanya ashindwe kuniita wifi.Udada unapendeza zaid
😅 usinikatili hvyoNajua hilo ndo mana nataka niwe ndugu yenu ili niwe wema kama nyie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapanaa
Sasa mgeni unaanza kutupanda kichwani wanafamilia 😅
Pole pole mkuu.Nakusalimia mrembo,njoo pm namba yako ilikifuta bahati mbaya,nitumie Tena nikuambie jambo zuri
Mgen anaanza kuvuka mipaka dada 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwake natoa tembo kabsaAtatoa faini ya mbuzi!
Sijatoroshwa sis! Ni katika kunyoosha nyoosha tu miguu nikajikuta nimeibukia kule.🤔🤔🤔🤔🤔Au usiku walikutorosha wewe?ulikutana na mjumbe wa mtaa wa Kula tunda kimasihara bwana Carlos The Jackal ,,maana Kama mgeni umetembelea ule mtaa lazima awe na taarifa zako?
Kwani kua na namba ya mtu dhambi?Pole pole mkuu.
Namba gani tena?
Kaka zangu na dada yangu wako hapa usitake nifukuzwe home kwa kuiaibisha familia.
Alokupa namba itakua mwingine sio mimi.