Hodiii!

Hodiii!

Hapo Sasa itifaki itazingatiwa Kati ya mjumbe na mgeni,😁😁
Dada utanikabidhije kwa watu bila kupata ridhaa yangu?Mwenzio sehemu kama zile napenda kupita na kuondoka kimya kimya?😬
 
Mie amenikosha hapo tu venye anajua huyu ni dada huyu ni kaka!😊!


Akaribie sana
Kama wewe si najua tu ni dada ?
Kuna niliyemuita dada akakasirika kumbe ni kaka.
Ni rahis kukisia na ikitokea nimekosea mnisamehe tu sina nia ya kumvunjia yeyote heshima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom