Hodiii!

Hodiii!

Hapana namaanisha leo umekuja kama mtu makini ni vyema ukakaa hivo hivo wengine yanawashinda wanamwaga mboga humuu af vijeba vinamwaga ugali wa moto moto na kutangazwa juu.
Nimekuelewa mkuu.
Siwezi kufanya ujinga wowote sababu baba yangu pia yuko humu.
Nipo hapa kufurahi na kujifunza na kubadilishana mawazo basi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom