Hizi ni mbegu za mmea gani?

Hizi ni mbegu za mmea gani?

Habari za mchana mabibi na mabwana jamvini hapa?

Hizi hapa chini ni mbegu za mmea gani na zina kazi gani? Nikiwa mdogo nilikuwa naziona kwa bibi yangu, na alikuwa anazitunza sana.

Sikuwahi kufikiria kuwa ni mbegu za mti, wala sikuwahi kumuuliza kazi yake. Sasa hivi karibuni nikauona huo mmea mahali fulani na mbegu zake hizo, nikagundua kumbe hizo ni mbegu za mme. Bahati mbaya bibi yangu kwa sasa ni marehemu.

Je hizo mbegu ni za mmea wa aina gani na kazi yake ni nini?
Hizi mbegu nazifahamu kwa lugha ya kisukuma zinaitwa( Bhurunga) kazi yake ni Tiba ya macho,ukimeza hizo mbegu hutaugua macho milele, tulikuwa tunameza enzi hizo tukiwa machungani, na miti yake huwa inalanda kama maua siyo mti mkubwa.
 
genacide Mankey Snipes

MIAKA 55 YA UHURU WA TAIFA HILI, NA TUNA MITO, MABONDE NA MADINI AINA NYINGI NA WATU MILIONI 45 NA ASILIMIA 75 KATI YAO NI VIJANA LAKINI TAIFA LIPO HAPA LILIPO SABABU MOJA TU;

VIJANA WENGI WANAJIONA WANAJUA KILA KITU HUKU HAWAJUI KUWA HAWAJUI NA HILO NDIYO UGONJWA MKUBWA UNAOSABABISHA TAIFA HILI KUWA HAPA TULIPO LEO.

INASIKITISHA SANA KUONA VIJANA WA TAIFA HILI MNAKUWA NA ACCESS NA MITANDAO LAKINI HAMJUI KUITUMIA KUJUA VITU NYIE NI MAGROUP YA WHATSAPP NA INSTAGRAM KUJUA UMBEA NA DIAMOND NA KIBA WANAFANYA NINI

KINACHOUMIZA ZAIDI NI GRADUATES WENGI WENU VERY VERY SAD

YOU DONT READ NEITHER RESEARCH NI KU-ABSORB MAMBO YASIYO NA MAANA

YOU ARE IGNORANCE WONT TAKE YOU ANYWHERE AND THIS IS MY LAST POST TALKING TO PEOPLE WHO ARE NOT MY LEVEL

IF YOU STRUGGLE TO UNDERSTAND THE ARTICLES, PLEASE ASK FOR HELP I KNOW THAT WILL BE THE FIRST CHALLENGE YOU ARE GOING TO FACE

JUMAPILI NJEMA NGUMBARU
Uko sahihi mkuu, vijana wengi Tumebaki kuwa mashabiki Wa mambo yasiyo ya msingi, ukiingia mitandaoni ndo utagundua Taifa linaangamia kwa kukosa maarifa
 
genacide Mankey Snipes

MIAKA 55 YA UHURU WA TAIFA HILI, NA TUNA MITO, MABONDE NA MADINI AINA NYINGI NA WATU MILIONI 45 NA ASILIMIA 75 KATI YAO NI VIJANA LAKINI TAIFA LIPO HAPA LILIPO SABABU MOJA TU;

VIJANA WENGI WANAJIONA WANAJUA KILA KITU HUKU HAWAJUI KUWA HAWAJUI NA HILO NDIYO UGONJWA MKUBWA UNAOSABABISHA TAIFA HILI KUWA HAPA TULIPO LEO.

INASIKITISHA SANA KUONA VIJANA WA TAIFA HILI MNAKUWA NA ACCESS NA MITANDAO LAKINI HAMJUI KUITUMIA KUJUA VITU NYIE NI MAGROUP YA WHATSAPP NA INSTAGRAM KUJUA UMBEA NA DIAMOND NA KIBA WANAFANYA NINI

KINACHOUMIZA ZAIDI NI GRADUATES WENGI WENU VERY VERY SAD

YOU DONT READ NEITHER RESEARCH NI KU-ABSORB MAMBO YASIYO NA MAANA

YOU ARE IGNORANCE WONT TAKE YOU ANYWHERE AND THIS IS MY LAST POST TALKING TO PEOPLE WHO ARE NOT MY LEVEL

IF YOU STRUGGLE TO UNDERSTAND THE ARTICLES, PLEASE ASK FOR HELP I KNOW THAT WILL BE THE FIRST CHALLENGE YOU ARE GOING TO FACE

JUMAPILI NJEMA NGUMBARU
Sasa hiri rijamaa ndo rimeandika riruga gani hapo?[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
 
Unaitwa Mbambakofi, mkongo, mkola, mkora au mtame. Kwa lugha nyingine ni Afzelia quanzensis.


Habari za mchana mabibi na mabwana jamvini hapa?

Hizi hapa chini ni mbegu za mmea gani na zina kazi gani? Nikiwa mdogo nilikuwa naziona kwa bibi yangu, na alikuwa anazitunza sana.

Sikuwahi kufikiria kuwa ni mbegu za mti, wala sikuwahi kumuuliza kazi yake. Sasa hivi karibuni nikauona huo mmea mahali fulani na mbegu zake hizo, nikagundua kumbe hizo ni mbegu za mme. Bahati mbaya bibi yangu kwa sasa ni marehemu.

Je hizo mbegu ni za mmea wa aina gani na kazi yake ni nini?
 
genacide Mankey Snipes

MIAKA 55 YA UHURU WA TAIFA HILI, NA TUNA MITO, MABONDE NA MADINI AINA NYINGI NA WATU MILIONI 45 NA ASILIMIA 75 KATI YAO NI VIJANA LAKINI TAIFA LIPO HAPA LILIPO SABABU MOJA TU;

VIJANA WENGI WANAJIONA WANAJUA KILA KITU HUKU HAWAJUI KUWA HAWAJUI NA HILO NDIYO UGONJWA MKUBWA UNAOSABABISHA TAIFA HILI KUWA HAPA TULIPO LEO.

INASIKITISHA SANA KUONA VIJANA WA TAIFA HILI MNAKUWA NA ACCESS NA MITANDAO LAKINI HAMJUI KUITUMIA KUJUA VITU NYIE NI MAGROUP YA WHATSAPP NA INSTAGRAM KUJUA UMBEA NA DIAMOND NA KIBA WANAFANYA NINI

KINACHOUMIZA ZAIDI NI GRADUATES WENGI WENU VERY VERY SAD

YOU DONT READ NEITHER RESEARCH NI KU-ABSORB MAMBO YASIYO NA MAANA

YOU ARE IGNORANCE WONT TAKE YOU ANYWHERE AND THIS IS MY LAST POST TALKING TO PEOPLE WHO ARE NOT MY LEVEL

IF YOU STRUGGLE TO UNDERSTAND THE ARTICLES, PLEASE ASK FOR HELP I KNOW THAT WILL BE THE FIRST CHALLENGE YOU ARE GOING TO FACE

JUMAPILI NJEMA NGUMBARU
Uko sahihi kabisa mkuu, vijana wengi wa siku hizi akishakua na "kismati foni" chake cha mchina,akawa na access ya internet na akaweza kujiunga kwenye social media basi hujiona anajua kila kitu hata kama hajui!!

Atashinda Instagram aki LIKE magauni na mitindo ya nywele badala ya kuitumia hiyo hiyo simu yake kuongeza maarifa yatakayo mtoa kwenye hali duni,

Wapo baadhi ya vijana wameweza kuyabadili maisha yao kwa kugain knowledge kupitia smart phone zao tu!

Wake up u guys,muda hausubiri mtu.
 
sina muda wa kupoteza kusoma nina vitu vya kusoma hapa JF
kipindi nina miaka 12 kurudi chini kama sijakosea
huo mti ulikuwa uwani kwetu na babu yangu alikuwa akitumia kama dawa kwa mambo yake ya uganga
pia enzi hizo za utoto tulishameza sana hizo mbegu yani sanaaa tulikuwa tukiongopeana kwamba ni dawa
mpaka sasa nna miaka 20+ sijawahi pata athari yeyote halafu unasema nini?? acha kupotosha watu na tafiti zenu za ovyo
[HASHTAG]#Hoja[/HASHTAG]

Unajua hapa unakithibitisha alichokisema EWGM's.

Unaposema hujapata madhara yoyote, bila vipimo unajuaje? Je kama unapunguza uwezo wa kuzaa au unakwenda kuzaa matoto mazezeta unajuaje? Mfano tu!.

Ukiita tafiti za kisayansi za hovyo, wee utafiti wako wa kwenye vibuyu unajustification gani?
 
genacide Mankey Snipes

MIAKA 55 YA UHURU WA TAIFA HILI, NA TUNA MITO, MABONDE NA MADINI AINA NYINGI NA WATU MILIONI 45 NA ASILIMIA 75 KATI YAO NI VIJANA LAKINI TAIFA LIPO HAPA LILIPO SABABU MOJA TU;

VIJANA WENGI WANAJIONA WANAJUA KILA KITU HUKU HAWAJUI KUWA HAWAJUI NA HILO NDIYO UGONJWA MKUBWA UNAOSABABISHA TAIFA HILI KUWA HAPA TULIPO LEO.

INASIKITISHA SANA KUONA VIJANA WA TAIFA HILI MNAKUWA NA ACCESS NA MITANDAO LAKINI HAMJUI KUITUMIA KUJUA VITU NYIE NI MAGROUP YA WHATSAPP NA INSTAGRAM KUJUA UMBEA NA DIAMOND NA KIBA WANAFANYA NINI

KINACHOUMIZA ZAIDI NI GRADUATES WENGI WENU VERY VERY SAD

YOU DONT READ NEITHER RESEARCH NI KU-ABSORB MAMBO YASIYO NA MAANA

YOU ARE IGNORANCE WONT TAKE YOU ANYWHERE AND THIS IS MY LAST POST TALKING TO PEOPLE WHO ARE NOT MY LEVEL

IF YOU STRUGGLE TO UNDERSTAND THE ARTICLES, PLEASE ASK FOR HELP I KNOW THAT WILL BE THE FIRST CHALLENGE YOU ARE GOING TO FACE

JUMAPILI NJEMA NGUMBARU

Naungana na wewe 200%. Ni mijuhan isiyojielewa. Halafu inaleta ubish wa kipumbavue kwa mambo ambayo hata haina ABC zake.

Iko tayari kuptoeza siku nzima mitandaoni kwa malumbano ya kutetea upumbavue badala ya kutafuta maarifa na ufahamu.

Inadhani kubisha kwa kukataa kujifunza ndiyo maarifa.

Inadhani kutukana matusi ndiyo kuonyesha nguvu ya ufahamu.

Ni kweli mijitu mingi iko low na mipumbavue lakini bahati mbaya haijitambui.

Vyema kuacha kujibishana naokwa sababu hawaelewi na hawajui hawajui kitu.
 
Naungana na wewe 200%. Ni mijuhan isiyojielewa. Halafu inaleta ubish wa kipumbavue kwa mambo ambayo hata haina ABC zake.

Iko tayari kuptoeza siku nzima mitandaoni kwa malumbano ya kutetea upumbavue badala ya kutafuta maarifa na ufahamu.

Inadhani kubisha kwa kukataa kujifunza ndiyo maarifa.

Inadhani kutukana matusi ndiyo kuonyesha nguvu ya ufahamu.

Ni kweli mijitu mingi iko low na mipumbavue lakini bahati mbaya haijitambui.

Vyema kuacha kujibishana naokwa sababu hawaelewi na hawajui hawajui kitu.
Tafadhali..ungekuwa ni mtu unaejielewa wala usingeanza kuwakashifu, yaani mtu umeingia darasani alafu hata staha huna katika hoja na bhasi hiyo elimu yako haijakusaidia kitu

Hizo mbegu binafsi yangu nimeshawahi kuzimeza wakati nikiwa mdogo na sikuwahi kudhurika lakini nina muda mrefu sijaziona....

Elimu yako ungeitumia kuwajuza watu ni kwa mazingira yapi hizo mbegu huleta madhara na pia kuna mkanganyiko wa mawazo..

Kuna watu wanaosema hizi mbegu hutolewa katika mti na hazina madhara ila kuna wengineo wanaosema kuwa zinatokea katika mmea utambaao na zina madhara je,huezi hata kuunganisha dots na kuona pengine hizi mbegu zaweza kuwa za specie tofauti
 
charminglady

HIZO MBEGU ZINATUMIKA SANA NA KUTENGENEZA UREMBO WA SHANGA. ILA, NARUDIA ILA, HIZO MBEGU NI SUMU NA UKIZIONA WEKA MBALI SANA NA WATOTO NA ZINAWEZA KULETA MADHARA HATA KWA WATU WAZIMA PIA. NA SI MTI NI ILE MIMEA YA KAMBA KAMBA INAOTA KWA KASI SANA NA KUJAZANA SEHEMU MOJA KWA KUTAMBAA.

MAJANI YAKE YANAFANANA NA ILE MIMEA UKISHIKA MAJANI YAKE YANASINZIA HIVI. HIVYO USIJARIBU KUWEKA MDOMONI UTADHURIKA.
ACHA UWONGO MI MWENYEWE NISHAWAHI MEZA HIZI MBEGU NA SASA NIPO HADI HAPA JAMIIFORUM,ACHA KUPOTOSHA UMMA.HUJUI ACHA WANAOJUA WAUELEZEE WANAOJUA
 
VITU KA HUJUI ACHA SIYO KAZI YA KIWAPOTOSHA TU WATU.
HIZI MBEGU NISHAMEZAGA MARA NYINGI SANA NIKIWA PRIMARY ETI MTU ATOKE HUKO ASEME NI SUMI MBONA SIJAFA.NA NIPO HADI SASA?AU SUMU IMENISAIDIA KU-SURVIVE DUNIANI.KWA TAARIFA YAKO UKU KWETU TWAITA ulanga RIRI.
 
Mbona kila mtu kwenye hii thread hizi dawa anazihusisha na BIBI tuu? Kwanini isiwe MAMA,SHANGAZI AU HATA MJOMBA?
Hao wote ulowataja wanezaliwa na BIBI, so Ninaamini wanachokijua wao BIBI anakijua zaidi.

Acha tumfaidi BIBI akiwa bado yu hai.
 
Zinaitwa ndilolo. ...ni kama matunda unaloweka kwenye maji ya uvuguvugu then unazinyonya zinatoa ujiuji kama maziwa....pia hutumiwa kutengenezea lotion
WEWE UMEFANANISHA MBEGU HIZI NA ZA MNINGA MAJI NDO HUTOA MAZIWA NA UKIYATIA LIMAO AU PARACETAMOL YANAGANDA NA KUWA MTINDI
 
charminglady

HIZO MBEGU ZINATUMIKA SANA NA KUTENGENEZA UREMBO WA SHANGA. ILA, NARUDIA ILA, HIZO MBEGU NI SUMU NA UKIZIONA WEKA MBALI SANA NA WATOTO NA ZINAWEZA KULETA MADHARA HATA KWA WATU WAZIMA PIA. NA SI MTI NI ILE MIMEA YA KAMBA KAMBA INAOTA KWA KASI SANA NA KUJAZANA SEHEMU MOJA KWA KUTAMBAA.

MAJANI YAKE YANAFANANA NA ILE MIMEA UKISHIKA MAJANI YAKE YANASINZIA HIVI. HIVYO USIJARIBU KUWEKA MDOMONI UTADHURIKA.
Sio kweli wala sio sumu na wala mmea wake hautambai, ni kijimti kidogo tu ndio chenye mbegu hizo, tumeshazimeza sana tu, tulikua tunaambiwa ni kinga ya macho.
 
Unajua hapa unakithibitisha alichokisema EWGM's.

Unaposema hujapata madhara yoyote, bila vipimo unajuaje? Je kama unapunguza uwezo wa kuzaa au unakwenda kuzaa matoto mazezeta unajuaje? Mfano tu!.

Ukiita tafiti za kisayansi za hovyo, wee utafiti wako wa kwenye vibuyu unajustification gani?
Hebu fanya hivi amini unachoamini na mimi acha niamini ninichoamini
 
Ndilolo. Kwa kinyakyusa tunaziita. Kama sijakosea ni mmea ambao ukikua, unakua mti mkubwa na kuzalisha vijimatunda ambavyo tunatengeneza kimiminika kama maziwa na kula na ndizi viazi etc. That is if sijakosea. But mbegu zake ndo hizo. Sijajua mafananio mengine
 
sina muda wa kupoteza kusoma nina vitu vya kusoma hapa JF
kipindi nina miaka 12 kurudi chini kama sijakosea
huo mti ulikuwa uwani kwetu na babu yangu alikuwa akitumia kama dawa kwa mambo yake ya uganga
pia enzi hizo za utoto tulishameza sana hizo mbegu yani sanaaa tulikuwa tukiongopeana kwamba ni dawa
mpaka sasa nna miaka 20+ sijawahi pata athari yeyote halafu unasema nini?? acha kupotosha watu na tafiti zenu za ovyo
[HASHTAG]#Hoja[/HASHTAG]
Hapo hapo mkuu naongezea hapa ninapo ishi huo mmea upo na nimekula hayo matunda ndani ya huu mwaka nilichukua vimbegu vitano nikatafuna na kumeza sijaona mabadiliko yeyote mpaka naadika hii post
 
Back
Top Bottom