darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,718
- 16,932
Mkuu hizo mbegu hazina madhara.NGOJA NIKUTAFUTIE UTAFITI WA ULIOFANYIKA KUHUSU MBEGU HIZO
Nilishameza sana utotoni hazina madhara wala ladha yoyote.
Mkuu hizo mbegu hazina madhara.NGOJA NIKUTAFUTIE UTAFITI WA ULIOFANYIKA KUHUSU MBEGU HIZO
Umeona hili ni jukwa la siasa unaleta uongo wako hapa???charminglady
HIZO MBEGU ZINATUMIKA SANA NA KUTENGENEZA UREMBO WA SHANGA. ILA, NARUDIA ILA, HIZO MBEGU NI SUMU NA UKIZIONA WEKA MBALI SANA NA WATOTO NA ZINAWEZA KULETA MADHARA HATA KWA WATU WAZIMA PIA. NA SI MTI NI ILE MIMEA YA KAMBA KAMBA INAOTA KWA KASI SANA NA KUJAZANA SEHEMU MOJA KWA KUTAMBAA.
MAJANI YAKE YANAFANANA NA ILE MIMEA UKISHIKA MAJANI YAKE YANASINZIA HIVI. HIVYO USIJARIBU KUWEKA MDOMONI UTADHURIKA.
Sio kweli
Zinaitwa Sipo, ukimeza mbegu hizo ni kinga ya ugonjwa wa macho!!
Yaani hutaumwa na macho(red eyes) tena!!
Mkuu kwa wenyeji wa Pwani na Dar hizo zinaitwa sipo.Tatizo watu wengi wana google vitu bila kujua reality.Hizo mbegu nimezimeza sana nikiwa mdogo kwa imani ile uliyesema mwanzo kwamba ni kinga ya macho na sikuwahi kupata madhara yoyote.Wanaosema hizi mbegu ni sumu si kweli, siwezi kuwaita WAONGO kwa Sababu ndio walivyosoma kwenye mnazoziita Link!!
Lakini hizi mbegu binafsi nimemeza sana tu utotoni nikiaminishwa kuwa ni kinga ya macho(red eyes).
Na kweli ule ugojwa sijawahi umwaga!! Labda ni kwa imani tu lakini sikuwahi kuumwa!! Tunaoishi nnje ya mji hapa Dsm tunaweza kuziona kwenye vijiporipori!!
Mpaka sasa nikizifumaniaga nameza tu kwa kuwa hzina madhara yyte na bado naamini ni kinga ya macho!!
Umeona hili ni jukwa la siasa unaleta uongo wako hapa???
Hizo mbegu kipindi nikiwa MDOGO tulikuwa tunazichezea sana yaani tulikuwa tunazimeza nzima nzima halafu ukienda kunya unazinya kwetu tulikuwa hatutumii vyooHIZO MBEGU NI SUMU KWELI ZINA PROTEIN AMBAYO NI ABRIN NA NI SUMU KALI SAWA NA RICIN
Mkuu hizo mbegu nazijua kwa jina simbo hazina sumu yoyote utotoni tulizimeza sana. Labda kama ubishi na matusi ni sehemu ya maisha yako.
MIMI UONGO WANGU NIMEUSINDIKIZA NA USHAHIDI WEWE USHAHIDI WAKO UKO WAPI?
USIWE UNAROPOKA TU KWANZA UNA BAHATI KUPATA 5MINS ZA MAISHA YANGU KUJIBU UJINGA WAKO.
HALAFU UTAKUTA ETI NA WEWE NI MSOMI HUKU UNACHOANDIKA HAKINA TOFAUTI NA LEVEL YA PANYA ROAD
Mkuu hizo mbegu nazijua kwa jina simbo hazina sumu yoyote utotoni tulizimeza sana. Labda kama ubishi na matusi ni sehemu ya maisha yako.
Nashangaa sana msomi kama wewe bado unapanic na kutukana hovyo tu, wengine tuko kwenye huu mtandao tukiamini kabisa ni watu wazima na heshima zetu hatuna mtandao mwingine zaidi ya huu.
Kwa waliowahi kuishi kusini wanaziita Numbinumbi na hazina sumu maana zingekua na sumu zingeua mamia kwa maelfu ya watoto, hata hivyo inawezekana kwa aina ya jamii hizo kuwa na sumu. Kwani uyoga si unaliwa lakini aina nyingine si una sumu? Mihogo hii kila mtu anaifaham, lakini kuna mitamu na yenye sumu kali pia. Hivyo haishangaziMkuu kwa wenyeji wa Pwani na Dar hizo zinaitwa sipo.Tatizo watu wengi wana google vitu bila kujua reality.Hizo mbegu nimezimeza sana nikiwa mdogo kwa imani ile uliyesema mwanzo kwamba ni kinga ya macho na sikuwahi kupata madhara yoyote.
Sisi tulikua tukiziita SIPO na hukaa ndani ya ganda linalopasuka likikaukaHabari za mchana mabibi na mabwana jamvini hapa?
Hizi hapa chini ni mbegu za mmea gani na zina kazi gani? Nikiwa mdogo nilikuwa naziona kwa bibi yangu, na alikuwa anazitunza sana.
Sikuwahi kufikiria kuwa ni mbegu za mti, wala sikuwahi kumuuliza kazi yake. Sasa hivi karibuni nikauona huo mmea mahali fulani na mbegu zake hizo, nikagundua kumbe hizo ni mbegu za mme. Bahati mbaya bibi yangu kwa sasa ni marehemu.
Je hizo mbegu ni za mmea wa aina gani na kazi yake ni nini?
Kama ni hizo, ni sawa comment yako. Lkn jinsi mleta uzi alivyozi'zoom, zimekuwa kubwa kama karanga, wakati mbegu zenyewe ni ndogo kama shanga za kinyanwezi.Zinaitwa Sipo, ukimeza mbegu hizo ni kinga ya ugonjwa wa macho!!
Yaani hutaumwa na macho(red eyes) tena!!