Nadagha gweeeWasokile wanaziita NDIRORO
Mimi nimekulia vijijini huko... Lengo langu hapa sio kupinga bali nami kutoa ushuhuda juu ya hizo mbegu. Kwa sehemu niliyowahi kuishi nikiwa mdogo hizo mbegu tulikua tunaziita vimwelu. Ni kweli zinatokana na mmea unaotambaa japo sijui jina la mmea wenyewe. Tukiwa wadogo tumechezea sn hizo mbegu, tumeziweka mdomoni na hata kuzimeza pia. Kulikua na imani pia ukimeza hizi mbegu hautaumwa macho kwa miaka sawa na idadi ya mbegu ulizomeza. Hata hivyo kila mtu ana imani yake.charminglady
HIZO MBEGU ZINATUMIKA SANA NA KUTENGENEZA UREMBO WA SHANGA. ILA, NARUDIA ILA, HIZO MBEGU NI SUMU NA UKIZIONA WEKA MBALI SANA NA WATOTO NA ZINAWEZA KULETA MADHARA HATA KWA WATU WAZIMA PIA. NA SI MTI NI ILE MIMEA YA KAMBA KAMBA INAOTA KWA KASI SANA NA KUJAZANA SEHEMU MOJA KWA KUTAMBAA.
MAJANI YAKE YANAFANANA NA ILE MIMEA UKISHIKA MAJANI YAKE YANASINZIA HIVI. HIVYO USIJARIBU KUWEKA MDOMONI UTADHURIKA.
Habari za mchana mabibi na mabwana jamvini hapa?
Hizi hapa chini ni mbegu za mmea gani na zina kazi gani? Nikiwa mdogo nilikuwa naziona kwa bibi yangu, na alikuwa anazitunza sana.
Sikuwahi kufikiria kuwa ni mbegu za mti, wala sikuwahi kumuuliza kazi yake. Sasa hivi karibuni nikauona huo mmea mahali fulani na mbegu zake hizo, nikagundua kumbe hizo ni mbegu za mme. Bahati mbaya bibi yangu kwa sasa ni marehemu.
Je hizo mbegu ni za mmea wa aina gani na kazi yake ni nini?
View attachment 462973 View attachment 462974 View attachment 462975 View attachment 462977 View attachment 462978 View attachment 462699
Wataalamu wamethibitisha au ni akina Dr Mwaka?Zinaitwa Sipo, ukimeza mbegu hizo ni kinga ya ugonjwa wa macho!!
Yaani hutaumwa na macho(red eyes) tena!!
Hizo hapo mwanzo kabisa majani yake ni dawa ya kikohozi nimeyatafuna sana enzi nikiwa mdogo yana kautamu fulani amazing hivi na hizo mbegu kwa wale ndugu zetu wakatoliki ndio wanaozitumia kutengenezea kayamba zile zinazopigwa kanisani wakati wakiimba kwa nje zinasukwa kwa mti wa mianza vidogo vidogo ndani ndio huwekwa hizo mbegu na hutoa mlio mzuri na mkubwaHabari za mchana mabibi na mabwana jamvini hapa?
Hizi hapa chini ni mbegu za mmea gani na zina kazi gani? Nikiwa mdogo nilikuwa naziona kwa bibi yangu, na alikuwa anazitunza sana.
Sikuwahi kufikiria kuwa ni mbegu za mti, wala sikuwahi kumuuliza kazi yake. Sasa hivi karibuni nikauona huo mmea mahali fulani na mbegu zake hizo, nikagundua kumbe hizo ni mbegu za mme. Bahati mbaya bibi yangu kwa sasa ni marehemu.
Je hizo mbegu ni za mmea wa aina gani na kazi yake ni nini?
View attachment 462973 View attachment 462974 View attachment 462975 View attachment 462977 View attachment 462978 View attachment 462699
Kipindi cha miaka ya nyuma kidogo wengi wetu tulilelewa na bibi na babu hata kama si muda mrefu lkn siku hizi watoto wetu tunalelewa na shule za bweni au wasichana wanaotusaidia kazi za nyumbani.Mbona kila mtu kwenye hii thread hizi dawa anazihusisha na BIBI tuu? Kwanini isiwe MAMA,SHANGAZI AU HATA MJOMBA?
Hapana si mjui.of coz ni kinga ya macho
wewe mama chupaki unamjua Ostadh Shaban?? "Ticha wa kule temeke"
Si kweli kama hujui uliza mdau hayo majani nimeyala sana na ni dawa nzuri ya kifua enzi hizo tulikuwa hatujua cha mucolyn syr wala kofylin syr kama kifua ni cha kawaida na hakiumi unakohoa tu kwa ajili ya ubaridi hiyo ndio ilikuwa dawa mujarabu kuitumia na hatujafa mpaka leo tupo hizo mbegu ukizipata kwa wingi mpelekee mwalimu wa kwaya yeyote wa katoliki atakushukuru sanacharminglady
HIZO MBEGU ZINATUMIKA SANA NA KUTENGENEZA UREMBO WA SHANGA. ILA, NARUDIA ILA, HIZO MBEGU NI SUMU NA UKIZIONA WEKA MBALI SANA NA WATOTO NA ZINAWEZA KULETA MADHARA HATA KWA WATU WAZIMA PIA. NA SI MTI NI ILE MIMEA YA KAMBA KAMBA INAOTA KWA KASI SANA NA KUJAZANA SEHEMU MOJA KWA KUTAMBAA.
MAJANI YAKE YANAFANANA NA ILE MIMEA UKISHIKA MAJANI YAKE YANASINZIA HIVI. HIVYO USIJARIBU KUWEKA MDOMONI UTADHURIKA.
Wewe Na Mimi tulizichezea mchezo mmoja ingawa majina yanatofautiana.Zinaitwa msikesike.Hilo jina nililisikia huko Mwanza.Tulikuwa tunazichezea kwenye mchanga.Unaweka mafungu ya mchanga kadhaa kisha unaficha mbegu moja kwenye hayo mafungu ya mchanga halafu unamwambia mwenzako achague fungu lenye hiyo mbegu.
Sametime mmea wake ni dawa sana inategemea umechanganya na kitu gani na kwa matumizi yapicharminglady
HIZO MBEGU ZINATUMIKA SANA NA KUTENGENEZA UREMBO WA SHANGA. ILA, NARUDIA ILA, HIZO MBEGU NI SUMU NA UKIZIONA WEKA MBALI SANA NA WATOTO NA ZINAWEZA KULETA MADHARA HATA KWA WATU WAZIMA PIA. NA SI MTI NI ILE MIMEA YA KAMBA KAMBA INAOTA KWA KASI SANA NA KUJAZANA SEHEMU MOJA KWA KUTAMBAA.
MAJANI YAKE YANAFANANA NA ILE MIMEA UKISHIKA MAJANI YAKE YANASINZIA HIVI. HIVYO USIJARIBU KUWEKA MDOMONI UTADHURIKA.
Sometimes/SometimeSametime mmea wake ni dawa sana inategemea umechanganya na kitu gani na kwa matumizi yapi
Ni kweli nilikosea herufi lakini walioelewa wameelewa kaa hivyohivyoSometimes/Sometime
Ni kweli nilikosea herufi lakini walioelewa wameelewa kaa hivyohivyo
kwani we ni mmasai gani hapo juu..
huyo wa kwanza au wa pili?
hayo shingoni hayukupi uzito asseee...Wa pili mkuu....
'I think they are oleander seeds'Habari za mchana mabibi na mabwana jamvini hapa?
Hizi hapa chini ni mbegu za mmea gani na zina kazi gani? Nikiwa mdogo nilikuwa naziona kwa bibi yangu, na alikuwa anazitunza sana.
Sikuwahi kufikiria kuwa ni mbegu za mti, wala sikuwahi kumuuliza kazi yake. Sasa hivi karibuni nikauona huo mmea mahali fulani na mbegu zake hizo, nikagundua kumbe hizo ni mbegu za mme. Bahati mbaya bibi yangu kwa sasa ni marehemu.
Je hizo mbegu ni za mmea wa aina gani na kazi yake ni nini?
View attachment 462973 View attachment 462974 View attachment 462975 View attachment 462977 View attachment 462978 View attachment 462699