Hizi ni dharau kwa sisi wana Mbeya

Hizi ni dharau kwa sisi wana Mbeya

Jerrymsigwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
14,084
Reaction score
8,406
ImageUploadedByJamiiForums1402361675.657687.jpg
Cc: Bujibuji
Idimi
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha
Unategemea watangaze vipi kana ndy ghorofa la kwanza mkoani kwenu, biashara hiyo
 
Ha haaah, sasa tutasema ndaga fijo na LIFTI sio ndaga fijo na Lori.

Kuna mdau juzi Kati alikandia sana Mbeya akiiona hii ndio atasiliba zaidi, Mbeyaaaaaaaaa, lol
 
Niliiona nikacheka sana. Mbeya kuna maghorofa ila hayana lifti
 
Unaweza Ukahisi Ni Comedy Lakini Hapana Hapo Watu Wapo Serious Kabisa
 
Sio mbaya, kwani shida nini? Tusijifanye ati tunazijua saaana hizo elevetors. Tanzania hatujui chochote. Lift au elevetors ni anasa kwa watanzania. Ulipoweka mada yako, bila shaka kila mtu anaanza kuhesabu ziko ngapi mjini kwake. Ni aibu.
Dar penyewe wajanja wanaogopa kupanda hizo elevetors ama kwa ushamba au anaogopa umeme ukikatika atatumia zaidi ya nusu saa akiwa ndani ya lift. Na kwanza maghorofa yenye hizo mashine yanahesabika. Nenda kaangalie yale maghorofa yenye elevetors za ngazi, yako mangapi na wangapi wanapanda. Airport tu pale watu wanataka kudondoka wakipanda ka elevetor kao.
Nadhani pia wamiliki wa majengo hususani makubwa wanatakiwa kubadirika sasa. Bahati mbaya pesa zinashikwa na watu wasio na elimu. Na ma archictects wetu sijui wamelala? Huwezi plan au jenga jengo la ghorofa tatu na zaidi halafu usiwe na plan ya lift, hata kama umeme ni wa kubeep. Ukikuta huwezi kuweka mashine sasa kwanini usiache shimo ka kuweka hata kesho!!! Kwa kweli ni aibu.
Halafu Jerrymsigwa usijifanye wewe watoka New York wakati mkoa wako ni maskini sana tena ukiwa ni jirani na Mbeya. Maana ulianza na airport ya Mbeya, halafu naona sasa una issue hii nyingine kwa jirani. Naona unapenda sana kuchungulia jirani kafanya nini huku wewe kwako hufanyi chochote. Tabia hizo ni za kike kaka. Usijifanye una hali nzuri kwako, wakati huna cha kujisifia. Au ndio maisha ya facebook hayo? Mnaishia kupiga mapicha kwenye miji au majengo au maliza za watu na kujiona wajanja wakati miji, majengo au mali hizo zimejengwa na wenzako. Wewe wajivunia nini kwenu?
 
Last edited by a moderator:
Hivi kweli "jiji" la Mbeya halikuwa na lifti yeyote hadi 2014??!! Ujue mimi niliiona hii nikadhani jamaa wameamua kufanya komedi.
 
Sio mbaya, kwani shida nini? Tusijifanye ati tunazijua saaana hizo elevetors. Tanzania hatujui chochote. Lift au elevetors ni anasa kwa watanzania. Ulipoweka mada yako, bila shaka kila mtu anaanza kuhesabu ziko ngapi mjini kwake. Ni aibu.
Dar penyewe wajanja wanaogopa kupanda hizo elevetors ama kwa ushamba au anaogopa umeme ukikatika atatumia zaidi ya nusu saa akiwa ndani ya lift. Na kwanza maghorofa yenye hizo mashine yanahesabika. Nenda kaangalie yale maghorofa yenye elevetors za ngazi, yako mangapi na wangapi wanapanda. Airport tu pale watu wanataka kudondoka wakipanda ka elevetor kao.
Nadhani pia wamiliki wa majengo hususani makubwa wanatakiwa kubadirika sasa. Bahati mbaya pesa zinashikwa na watu wasio na elimu. Na ma archictects wetu sijui wamelala? Huwezi plan au jenga jengo la ghorofa tatu na zaidi halafu usiwe na plan ya lift, hata kama umeme ni wa kubeep. Ukikuta huwezi kuweka mashine sasa kwanini usiache shimo ka kuweka hata kesho!!! Kwa kweli ni aibu.
Halafu Jerrymsigwa usijifanye wewe watoka New York wakati mkoa wako ni maskini sana tena ukiwa ni jirani na Mbeya. Maana ulianza na airport ya Mbeya, halafu naona sasa una issue hii nyingine kwa jirani. Naona unapenda sana kuchungulia jirani kafanya nini huku wewe kwako hufanyi chochote. Tabia hizo ni za kike kaka. Usijifanye una hali nzuri kwako, wakati huna cha kujisifia. Au ndio maisha ya facebook hayo? Mnaishia kupiga mapicha kwenye miji au majengo au maliza za watu na kujiona wajanja wakati miji, majengo au mali hizo zimejengwa na wenzako. Wewe wajivunia nini kwenu?

kaka naona hapo chini umehitimisha vizuri sana.watz hatuchekani mkioa yetu.hakuna mkoa wenye afadhali.hao wahaya waliojazana ughaibuni na kufikia hatua ya kuwa na kanisa lao huko USA,kwao kagera aibu tupu.
 
Last edited by a moderator:
Sio mbaya, kwani shida nini? Tusijifanye ati tunazijua saaana hizo elevetors. Tanzania hatujui chochote. Lift au elevetors ni anasa kwa watanzania. Ulipoweka mada yako, bila shaka kila mtu anaanza kuhesabu ziko ngapi mjini kwake. Ni aibu.
Dar penyewe wajanja wanaogopa kupanda hizo elevetors ama kwa ushamba au anaogopa umeme ukikatika atatumia zaidi ya nusu saa akiwa ndani ya lift. Na kwanza maghorofa yenye hizo mashine yanahesabika. Nenda kaangalie yale maghorofa yenye elevetors za ngazi, yako mangapi na wangapi wanapanda. Airport tu pale watu wanataka kudondoka wakipanda ka elevetor kao.
Nadhani pia wamiliki wa majengo hususani makubwa wanatakiwa kubadirika sasa. Bahati mbaya pesa zinashikwa na watu wasio na elimu. Na ma archictects wetu sijui wamelala? Huwezi plan au jenga jengo la ghorofa tatu na zaidi halafu usiwe na plan ya lift, hata kama umeme ni wa kubeep. Ukikuta huwezi kuweka mashine sasa kwanini usiache shimo ka kuweka hata kesho!!! Kwa kweli ni aibu.
Halafu Jerrymsigwa usijifanye wewe watoka New York wakati mkoa wako ni maskini sana tena ukiwa ni jirani na Mbeya. Maana ulianza na airport ya Mbeya, halafu naona sasa una issue hii nyingine kwa jirani. Naona unapenda sana kuchungulia jirani kafanya nini huku wewe kwako hufanyi chochote. Tabia hizo ni za kike kaka. Usijifanye una hali nzuri kwako, wakati huna cha kujisifia. Au ndio maisha ya facebook hayo? Mnaishia kupiga mapicha kwenye miji au majengo au maliza za watu na kujiona wajanja wakati miji, majengo au mali hizo zimejengwa na wenzako. Wewe wajivunia nini kwenu?

We jamaa vipi? Mbona povu limekutoka sana? Calm down buddy.
 
Last edited by a moderator:
Sio mbaya, kwani shida nini? Tusijifanye ati tunazijua saaana hizo elevetors. Tanzania hatujui chochote. Lift au elevetors ni anasa kwa watanzania. Ulipoweka mada yako, bila shaka kila mtu anaanza kuhesabu ziko ngapi mjini kwake. Ni aibu.
Dar penyewe wajanja wanaogopa kupanda hizo elevetors ama kwa ushamba au anaogopa umeme ukikatika atatumia zaidi ya nusu saa akiwa ndani ya lift. Na kwanza maghorofa yenye hizo mashine yanahesabika. Nenda kaangalie yale maghorofa yenye elevetors za ngazi, yako mangapi na wangapi wanapanda. Airport tu pale watu wanataka kudondoka wakipanda ka elevetor kao.
Nadhani pia wamiliki wa majengo hususani makubwa wanatakiwa kubadirika sasa. Bahati mbaya pesa zinashikwa na watu wasio na elimu. Na ma archictects wetu sijui wamelala? Huwezi plan au jenga jengo la ghorofa tatu na zaidi halafu usiwe na plan ya lift, hata kama umeme ni wa kubeep. Ukikuta huwezi kuweka mashine sasa kwanini usiache shimo ka kuweka hata kesho!!! Kwa kweli ni aibu.
Halafu Jerrymsigwa usijifanye wewe watoka New York wakati mkoa wako ni maskini sana tena ukiwa ni jirani na Mbeya. Maana ulianza na airport ya Mbeya, halafu naona sasa una issue hii nyingine kwa jirani. Naona unapenda sana kuchungulia jirani kafanya nini huku wewe kwako hufanyi chochote. Tabia hizo ni za kike kaka. Usijifanye una hali nzuri kwako, wakati huna cha kujisifia. Au ndio maisha ya facebook hayo? Mnaishia kupiga mapicha kwenye miji au majengo au maliza za watu na kujiona wajanja wakati miji, majengo au mali hizo zimejengwa na wenzako. Wewe wajivunia nini kwenu?

Well said Ozzie, huyu jamaa ana matatizo ya ushindani wa kijinga. Hata Muhimbili walivyofunga MRI ilikuwa news kila mahali. Lakini hapo jirani walikuwa wanatushangaa kuwa hivi hii nayo ni habari, the same lilivyojengwa lile daraja la juu pale Manzese
 
Sio mbaya, kwani shida nini? Tusijifanye ati tunazijua saaana hizo elevetors. Tanzania hatujui chochote. Lift au elevetors ni anasa kwa watanzania. Ulipoweka mada yako, bila shaka kila mtu anaanza kuhesabu ziko ngapi mjini kwake. Ni aibu.
Dar penyewe wajanja wanaogopa kupanda hizo elevetors ama kwa ushamba au anaogopa umeme ukikatika atatumia zaidi ya nusu saa akiwa ndani ya lift. Na kwanza maghorofa yenye hizo mashine yanahesabika. Nenda kaangalie yale maghorofa yenye elevetors za ngazi, yako mangapi na wangapi wanapanda. Airport tu pale watu wanataka kudondoka wakipanda ka elevetor kao.
Nadhani pia wamiliki wa majengo hususani makubwa wanatakiwa kubadirika sasa. Bahati mbaya pesa zinashikwa na watu wasio na elimu. Na ma archictects wetu sijui wamelala? Huwezi plan au jenga jengo la ghorofa tatu na zaidi halafu usiwe na plan ya lift, hata kama umeme ni wa kubeep. Ukikuta huwezi kuweka mashine sasa kwanini usiache shimo ka kuweka hata kesho!!! Kwa kweli ni aibu.
Halafu Jerrymsigwa usijifanye wewe watoka New York wakati mkoa wako ni maskini sana tena ukiwa ni jirani na Mbeya. Maana ulianza na airport ya Mbeya, halafu naona sasa una issue hii nyingine kwa jirani. Naona unapenda sana kuchungulia jirani kafanya nini huku wewe kwako hufanyi chochote. Tabia hizo ni za kike kaka. Usijifanye una hali nzuri kwako, wakati huna cha kujisifia. Au ndio maisha ya facebook hayo? Mnaishia kupiga mapicha kwenye miji au majengo au maliza za watu na kujiona wajanja wakati miji, majengo au mali hizo zimejengwa na wenzako. Wewe wajivunia nini kwenu?

Du msimshambulie sana Jerry Sidhani kama ametoa kwa nia mbaya! hawezi kutukana alipokulia maisha yake yote tangu utoto! Mbeya ni Nyumbani kwao,yeye kachukizwa na hiyo habari someni vizuri heading ya huo uzi.
 
Back
Top Bottom