Hizi ni dharau kwa sisi wana Mbeya

Hizi ni dharau kwa sisi wana Mbeya

Finally wamefanikiwa hongera sana
 

Attachments

  • 1402412868771.jpg
    1402412868771.jpg
    29.9 KB · Views: 215
  • 1402412892303.jpg
    1402412892303.jpg
    35.2 KB · Views: 208
Wanyakyusa wawahi kupanda kabla Tanesco hawajafanya yao
 
You are missing the point, haya sio mashindano. Mimi nimeuliza tu na pia sio kwamba ni muhimu sana hizo lift ziwepo. Kama hakuna jengo refu sana ni wazi hakuna haja ya kuwa na lift.

Kwa hiyo acha mashindano yasiyo na msingi kwa sababu hata nikikutajia haisaidii chochote wala kuwepo au kutokuwepo kwa hivyo vitu hakuniongezei wala kunipunguzia chochote ukizingatia sasa hivi wala siishi katika mkoa ninaotokea.

m ngesema nko hong kong.. hadi machinjio kuna lift
 
Hivi kweli "jiji" la Mbeya halikuwa na lifti yeyote hadi 2014??!! Ujue mimi niliiona hii nikadhani jamaa wameamua kufanya komedi.

Ni ukweli mtupu, wala sio comedy. Ghorofa za Mbeya nyingi zinaishia tatu au mbili tu, so hakukuwa na haja ya lifti. Naona mabadiliko ndo yanaanza sasa.
 
hamna kibaya hapo - huyo ana sajili tukio la kihistoria hapo - milestone ambayo yeye amehusika na pia anavutia wateja au biashara yake .
 
Hivi kweli "jiji" la Mbeya halikuwa na lifti yeyote hadi 2014??!! Ujue mimi niliiona hii nikadhani jamaa wameamua kufanya komedi.
Nami pia Kiongozi,nilidhani ni utani wa aina yake.
Jiji..? City..?. Anyway....mwanzo wa hesabu moja.
 
Kijijini kwetu nina mpango wa kutupia nyumba ya kwanza yenye bati...nitaomba ufunguzi ufanywe na mhishimiwa mmoja wa sirikali ya baba nanihii...na wananchi woooote mmaalikwa! Ndaga!
 
Back
Top Bottom