JENGO LA CHAMA CHA WALIMU MKOA WA MBEYA - GHOROFA 7. hakuna jengo refu kuliko hili mkoa mzima wa Mbeya. Si ubaguzi ila ni ukweli tu. Jengo hili lipo karibu na SOKO MATOLA, ..🙂😛hoto:
Sio mbaya, kwani shida nini? Tusijifanye ati tunazijua saaana hizo elevetors. Tanzania hatujui chochote. Lift au elevetors ni anasa kwa watanzania. Ulipoweka mada yako, bila shaka kila mtu anaanza kuhesabu ziko ngapi mjini kwake. Ni aibu.
Dar penyewe wajanja wanaogopa kupanda hizo elevetors ama kwa ushamba au anaogopa umeme ukikatika atatumia zaidi ya nusu saa akiwa ndani ya lift. Na kwanza maghorofa yenye hizo mashine yanahesabika. Nenda kaangalie yale maghorofa yenye elevetors za ngazi, yako mangapi na wangapi wanapanda. Airport tu pale watu wanataka kudondoka wakipanda ka elevetor kao.
Nadhani pia wamiliki wa majengo hususani makubwa wanatakiwa kubadirika sasa. Bahati mbaya pesa zinashikwa na watu wasio na elimu. Na ma archictects wetu sijui wamelala? Huwezi plan au jenga jengo la ghorofa tatu na zaidi halafu usiwe na plan ya lift, hata kama umeme ni wa kubeep. Ukikuta huwezi kuweka mashine sasa kwanini usiache shimo ka kuweka hata kesho!!! Kwa kweli ni aibu.
Halafu Jerrymsigwa usijifanye wewe watoka New York wakati mkoa wako ni maskini sana tena ukiwa ni jirani na Mbeya. Maana ulianza na airport ya Mbeya, halafu naona sasa una issue hii nyingine kwa jirani. Naona unapenda sana kuchungulia jirani kafanya nini huku wewe kwako hufanyi chochote. Tabia hizo ni za kike kaka. Usijifanye una hali nzuri kwako, wakati huna cha kujisifia. Au ndio maisha ya facebook hayo? Mnaishia kupiga mapicha kwenye miji au majengo au maliza za watu na kujiona wajanja wakati miji, majengo au mali hizo zimejengwa na wenzako. Wewe wajivunia nini kwenu?
Si ndio hili jengo lipo karibu na ile baa kubwa kando tu ya ule uwanja wa mpira wa miguu (ndondo)JENGO LA CHAMA CHA WALIMU MKOA WA MBEYA - GHOROFA 7. hakuna jengo refu kuliko hili mkoa mzima wa Mbeya. Si ubaguzi ila ni ukweli tu. Jengo hili lipo karibu na SOKO MATOLA, ..🙂😛hoto:
Kwa hiyo wafanyakazi wa floor za juu watapata fursa ya kuchungulia mle ndani? Daah, Loleza ni kama gereza fulani, enzi hizo ilikuwa mbinde sana kumuona ndugu yako mle ukimtembelea, sijui siku hizi!soko matola nakupata huko
karibu na loleza girls
Sio mbaya, kwani shida nini? Tusijifanye ati tunazijua saaana hizo elevetors. Tanzania hatujui chochote. Lift au elevetors ni anasa kwa watanzania. Ulipoweka mada yako, bila shaka kila mtu anaanza kuhesabu ziko ngapi mjini kwake. Ni aibu.
Dar penyewe wajanja wanaogopa kupanda hizo elevetors ama kwa ushamba au anaogopa umeme ukikatika atatumia zaidi ya nusu saa akiwa ndani ya lift. Na kwanza maghorofa yenye hizo mashine yanahesabika. Nenda kaangalie yale maghorofa yenye elevetors za ngazi, yako mangapi na wangapi wanapanda. Airport tu pale watu wanataka kudondoka wakipanda ka elevetor kao.
Nadhani pia wamiliki wa majengo hususani makubwa wanatakiwa kubadirika sasa. Bahati mbaya pesa zinashikwa na watu wasio na elimu. Na ma archictects wetu sijui wamelala? Huwezi plan au jenga jengo la ghorofa tatu na zaidi halafu usiwe na plan ya lift, hata kama umeme ni wa kubeep. Ukikuta huwezi kuweka mashine sasa kwanini usiache shimo ka kuweka hata kesho!!! Kwa kweli ni aibu.
Halafu Jerrymsigwa usijifanye wewe watoka New York wakati mkoa wako ni maskini sana tena ukiwa ni jirani na Mbeya. Maana ulianza na airport ya Mbeya, halafu naona sasa una issue hii nyingine kwa jirani. Naona unapenda sana kuchungulia jirani kafanya nini huku wewe kwako hufanyi chochote. Tabia hizo ni za kike kaka. Usijifanye una hali nzuri kwako, wakati huna cha kujisifia. Au ndio maisha ya facebook hayo? Mnaishia kupiga mapicha kwenye miji au majengo au maliza za watu na kujiona wajanja wakati miji, majengo au mali hizo zimejengwa na wenzako. Wewe wajivunia nini kwenu?
JENGO LA CHAMA CHA WALIMU MKOA WA MBEYA - GHOROFA 7. hakuna jengo refu kuliko hili mkoa mzima wa Mbeya. Si ubaguzi ila ni ukweli tu. Jengo hili lipo karibu na SOKO MATOLA, ..🙂😛hoto:
Hivi kweli "jiji" la Mbeya halikuwa na lifti yeyote hadi 2014??!! Ujue mimi niliiona hii nikadhani jamaa wameamua kufanya komedi.