Kyvo hujijui wewe kuwa ndio mkurupukaji. Usidandie tu. Soma anavyo post huyo jamaa kuhusu Mbeya. Kwanza si mkaazi wa Mbeya.Dah! kwa kukurupuka mkuu nimekupiga nyota begani, soma heading yake kwanza sio unamshambulia tu, umtake na radhi.
Kaka Nicas Mtei usitukane watu wakati wewe ni verified user... Ni akili ndogo tu wahitaji kutumia kujua hilo.We jamaa vipi? Mbona povu limekutoka sana? Calm down buddy.
Okay shemeji, ningekuwa jirani ningeenda huko nami nikashangae hahahaaah.
We jamaa vipi? Mbona povu limekutoka sana? Calm down buddy.
mtulekhe twe bhana bha kumbeje
Kaka Nicas Mtei usitukane watu wakati wewe ni verified user... Ni akili ndogo tu wahitaji kutumia kujua hilo.
Hivi kweli "jiji" la Mbeya halikuwa na lifti yeyote hadi 2014??!! Ujue mimi niliiona hii nikadhani jamaa wameamua kufanya komedi.
Watu wengine bwana!!! Sasa mimi nimeicheka Mbeya wapi?!!Mtaicheka sana Mbeya lkn kwenye income per Capita na kwenye kuchangia pato la Taifa mkoa wetu unabaki kuwa namba 2!
Kama wewe ni Mzaramo au Mndengereko toka Dar unaweza icheka Mbeya!
Hizo "escalator" kwani zinapatikana wapi siku hizi ukiacha hapo jengo la kusubiri kupandia ndege, maana mi Dar mgeni sana ati?Kwangu mimi hata sishangai.
Ninaamini ni miji michache sana Tanzania ina majengo yenye elevator.
Mpaka majuzi tu, ESCALATOR ilikuwepo uwanja wa ndege tu wa Dar, kwa nchi nzima, wakati ukienda miji ya wenzetu hata hapo kenya, unakuta jengo lina escalator, ngazi za kawaida pamoja na Lift. Hapa bongo wengi hawajawahi kuona escalator.
Nchi hii tupo nyuma saaaaaaaaaaana!
Kwani ni nyumba ya gorofa ngapi?
Hapo hamna la kushangaza maana hata majuu majumba ya gorofa 6 sometimes hayana lift,sasa jiulize hivi mbeya kuna majumba yanayozidi gorofa 5 au 6??
hello mumy!
Mambo ni vipi?
zpo poa uktnga n hizo mitaa yetu kwa ma man n shida!
mtulekhe twe bhana bha kumbeje