Hizi ndio ndege za Magufuli

Hizi ndio ndege za Magufuli

ndugu yangu usibishe biashara ya ndege inataka discipline ya hali ya juu,kwani kuna wabia wengi sana hapo ukileta ushemeji inakufa,watanzania tumezoea ukarimu hii biashara inataka uakarimu kwa wateja tu ila kwa wadau wengine iataka ukauzuna sio ndege tu bali transportation sector yote inataka ukauzu ,niambie ni wapi katika usafirishaji serikali imewahi kufaulu uda,kamata,tazara,trc,meli ,vivuko,ni majanga

Haya bwana, huna Imani kabisa na sirikali kaka?
 
Badala ya hizo mbili ndogo angenunua moja kubwa kuliko hivyo vitoroli
24f2a5420ec83b78c30ee9023a29f4fd.jpg
74ffbbd76ee1568c3c6b3a66ef7536cc.jpg
hapa uani bila shaka nitaenda mbele wengine tumezoea kurudi nyuma
 
Uttoh2002,
Kuonesha ''shaka'' kwa mifano hai kuwa Air Tanzania haitaweza kufanya vizuri katika biashara ya usafiri wa anga siyo inferiority complex. Tujijengee utamaduni wa ''kusikiliza'' maoni tofauti na kisha kutoa maoni yako kwa hoja mbadala ambao pengine unaweza kushawishi kukubalika au kukataliwa.

Nimekupa mfano PrecisionAir wameweza kujiendesha (tangu mwaka 1991) wakiwa na ndege za Twin Otter na kujitanua mpaka kuwa na ndege kubwa pamoja na kuvutia wawekezaji-wabia na changamoto zote zinazowakabili lakini bado wapo wanarusha ndege kwa uhakika.

Ungeleta angalau mifano wa jinsi Air Tanzania inavyoweza kujiendesha kibiashara kuondoa mashaka wa ''mradi huu wa dola million 27 x2 = US$ 54 Millioni sawa na billion za kitanzania Tshs. 100 Bn.


Kaka mkuu nafikili uko sahihi katika hii comment zidi ya mheshimiwa aliyepita kuhusu comment yako ya awali ! Nafikili angetengeneza hoja bila kukushambulia !
Hata hivyo !!

Nakubaliana nae katika ujumbe aliotaka kuufikisha ! Tusiwe too negative na kushindwa kabla hata ya kuanza ! Kama kutawekwa nidhamu ya kwanza kwa watendaji , na pili kwa watumiaji haswa hao wanasiasa , basi ni dhahiri shirika litasonga ingawa ni kweli not without challenge !

Tumeona Magu anachofanya ! Kwanza ni kuwekana kwenye mstari sisi wenyewe na kwa kweli sioni kabisa chini ya uongozi huu mwanasiasa akifanya upuuzi kama huo ! Reanda wanaweza kwa nini na sisi tushindwe tunanini !?

Lazima tubadili attitude zetu ! Miaka mitano au mmoja uliopita , ilionekana ni ndoto hata kununua hiyo ndege ! Sasa kama tunaweza kuipita challange hiyo , ni dhahiri tukiweka watu mahili shilika litasonga ! Ulichokiongea mkuu bagamoyo iwe ni angalizo kati ya yale yanayoweza kukwaza shirika na ivyo yafanyiwe kazi ! Lakini hata mara moja ,isiwe sababu ya kuacha kuanzisha shirika ! Tunahitaji National carrier ili tuitangaze nchi yetu ! Leo hii Kenya anafahamika kuliko sisi , Ethiopia na sasa Reanda , mojawapo ya sababu ni kutokuwa na Airline yetu ! We unaona ukitoka state , emirates wanakupeleka Dubai kwanza , ukichukua Ethiopia lazima utue Adis ababa nk nk
! Tunahitaji hilo ! Lakini pia mbuyu ulianza kama mchicha ! nisingetegemea shirika lianze na jet kubwa kwa sasa mpaka
Hapo tutapo simama !
 
Kichwa panzi kama wewe unatakiwa ukafungiwe ufipa miaka yote ushinde na Mbowe humo ukimpangusa viatu.

Ukiachwa huku nje unaharibu vizazi Vya Mungu
 
Ndg zangu maendeleo yoyote Yale yanaanza taratibu sasa tukitaka kila kitu kipatikane kwa wakati muafaka ndio matokeo ya hizi vat kwa wanyonge.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha hivyo mkuu wa nchi yupo sahihi baadaye ataleta ndege za regional na international/continental routes. Si kweli kwamba Precision au KQ wanafanya vizuri fuatilia kwa kina masuala ya airlines utajua undani wa haya makampuni. Wanaoendekeza ubinafsi ndiyo wanaipiga vita ATCL. Wapo hata katika wizara zinazo husu maamuzi ya ATCL. JPM watumbue ili kampuni ya taifa isimame bila vikwazo.
 
Biashara ya ndege ngumu, ilitakiwa labda serikali iingize mtaji PrecisionAir na kuwaachia wakurugenzi na wafanyakazi kuenesha shirika la ''kitanzania '' kibiashara. PrecisionAir wameonesha wanaweza lakini hawa Air Tanzania kuna mashaka makubwa.

Lakini hili la kununua ndege na kuikabidhi Air Tanzania nina shaka kubwa kama mradi huu utafanikiwa maana watatokea viongozi ''wanalazimisha wapewe ofa ya usafiri wa bure'', kutoa amri ndege isiruke kwa ratiba stahiki iwasubiri wao ''viongoz'i maana walichelewa kuamka na bado wapo nyumbani n.k
Hayo mambo hayapo siku hizi, tumbua tumbua kama hii nani atakubali kuharibu ng'onda wake shauri ya kumtii mkuu...
 
We unafikiria nini kutegemea ushauri wa mtu anayeongoza mkoa wakati wewe unaongoza mikoa 27 zaidi ya (nchi) mkoa wake leo TZ inategemea mawazo ya ka mkoa kalikokuwa na machafuko wakakimbilia kwetu tukawasuluisha tunaenda mbele au tunarudi nyuma ndio maana tunajivunia kununua bodaboda za angani wakati Kenya wana ndege
 
Wakati sisi tukijipanga kununua ndege mbili! Hawa wanaangiza boing kama wanaangiza Toyota Vitz!!

Rasilimali tunazo ila kujitia hamnazo!


Mamlaka ya usafiri wa ndege
nchini Iran imetangaza kuwa
itanunua ndege 100 kutoka
kampuni ya uundaji ndege ya
Boeing, nchini Marekani.



Mwezi Februari, Marekani iliipa idhini
kampuni ya Boeing kuanzisha
mazungumzo ya kibiasahara na
Tehran, kufuatia kuondolewa japo
kwa kiasi kidogo vikwazo vya
kiuchumi, baada ya makubaliano ya kupunguza mpango wake wa kinuklia. Iran inajikakamua kununua ndege
mpya za kibiashara, kuchukua mahala
pa ndege zake nzee ili kupanua sekta
yake ya uchukuzi wa angani. Mwezi Januari, Iran iliafikia
makubaliano na Marekani kununua
zaidi ya ndege 100 kutoka katika
kampuni ya uundaji wa ndege barani
Ulaya, ya Airbus. Siku ya Alhamisi, mamlaka barani
Ulaya iliamua kuondoa marufuku
katika orodha yake ya uchukuzi wa
angani ndege za Iran Air, iliyokuwa
imewekwa hapo awali kwa sababu za
kiusalama.
 
mimi sielewi jambo moja. hivi kwa nini serikali isinunue shares huko precision? sidhanii kama kununua ndege na kuzipeleka huko ATC (any time cancellation) kutazaa tija
 
mimi sielewi jambo moja. hivi kwa nini serikali isinunue shares huko precision? sidhanii kama kununua ndege na kuzipeleka huko ATC (any time cancellation) kutazaa tija
Kila taifa lina ndege zake. Hata burundi wenye matatizo wana burundiair
 
mbona shirika la nyumba halina migogiro km mashirika mengine..cha msingi anaewekwa kulisimamia ajitambue
 
Shirika linaweka umuhimu kwenye sare kuliko mipango ya kuendesha shirika
 
Mkulima wa kuku mbona SAS (Scandinavia airline)bado wapo Ni shirika la nane Kwa ukubwa Ulaya mapato yake 2014/12 €36 billion
Sasa Sijui wako wapi Leo kivipi?

Source Wikipedia
Nazungumzia mabasi ya Scandinavia ya Tanzania yaliyoendeshwa kisiasa kampuni ikafa mkuu
 
Back
Top Bottom