Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,697
- 1,962
mmh Booty pads Bongo mbona zimeshaingia miaka na miaka sasa kila duka linauza tena bila kificho, siku hizi unaweza ukakutana na binti ukavutiwa nae ukimchukua utachoka mkifika chumbani,
anavua wigi unakuta amesuka twende kilioni au ana kipilipili kama cha watoto wa kiume
unakuta anatoa meno ya sebuleni (ya bandia) anayaweka mezani)
anavua booty pad unakuta nyuma kumepasiwa
manyonyo nayo akivua bra ni saa nane usiku
hebu pata picha unaweza kukuta abdallah kichwa wazi hataki tena kusimama stimu zote zimekatika
hahahahaaa kweli hapo lazima stimu zote zipotee.