Hizi bra za kisasa za wasichana

Hizi bra za kisasa za wasichana

Duh,,,,,
jamani hizi bra ,sijui sidiria za kisasa za wasichana zinababaisha mno.......

I mean unakutana na msichana unamtazama kifuani unakuta saa sita kamili, matiti yamejaa jaa...
Kimoyoyo unasema ntafaidi mimi....

Siku ya siku uko na huyo msichana chumbani, unayavamiamatiti na kuanza kusalula hiyo bra sijui sidiria...
Mara ghafla matiti yanadondoka chini pwaa....duh...kumbe ni sidiria za kichina hizi sijui.....

Yaani.....ningeweza ningepiga marufuku hizo sidiria manake unaweza zuzuka na matiti ya msichana kumbe
ni sidiria tu.....yaani.....

Wizi mtupu!
 
Natoa tamko: China Hoyee.. kandambili kumbe viatu eee!!
 
cheki humo mkuu

KARIBUNI DUKA LIPO KATI SINZA MORI NA MAPAMBANO LINATAZAMANA NA GBP PETROL STATIONS
KUONA BIDHAA ZAIDI INGIA
HUMU


2.jpg


INAVYOONEKANA KWA NYUMA....INA ****** NA MAHIPS


1.jpg


WALA USIHOFU...NI KAMA SPONCH YA SIDIRIAA...HAKUNA AWEZAYE STUKIA LABDA UMWAMBIE

3.jpg


MAHIPSI KAMA YANAVYOONEKANA....RANGI ZIKO NYEUSI NA CREAM SIZE L.XL.XXL

kha!!! mi nilidhani kumbe!!?
 
hivi ulishawahi ku-observe muda ambao warembo wanatumia kuandaa nyuso za kuchungulia (manake from the face to the neck,ukiangalia miguu na mikono utadhani uso una mask). kuna muda wa nywele, kucha, kope,nyusi, ku-shave miguu halafu makeup. sina was na gharama for wengi wana wafadhili,lol! inataka moyo,utashi na nafasi the boss. usije ukamlaumu wa kwako
the lazy ones???ndio wapi hao????lol
 
Ila uzuri wa mwanamke ukitoa sura basi chuchu,yani zikiwa mda wa lunch time(saa sita) basi vidume huwa tupo mbali sana tukiwacheck,ikitokea kitu cha ndara basi stimu zote zinakata.
Kwa kuongeze kwenye uzuri wa mwanamke miguu jamah,ila kichuguu(kule kwa kukalia) mbwembwe tu hakuna ishu.
 
hizo booty pads zikiingia bongo
sipati picha........
Itafikia wakati unaingia chumbani na mrembo
mnaanza kugombana kwanza..............

mbona zimejaa bongo kwa bei ya elfu ishirini tu,na wadada kibaoo wanavaa.kama huamini nenda duka moja linaitwa 8020 fashions lipo sinza,utazikuta.kama vipi nenda na wifi kabisa akachague moja.Mim binafsi kwa kweli naona kuvaa vitu kama hivi ni kujidanganya mwenyewe,maana utavaa wowowo feki utavutia wenye kupenda mawowo mwishowe wakigundua wanakumwaga wkt kumbe uzuri wa mwanamke si wowowo tu.kuna vitu vingi vnaweza kumvutia mwanaume.
 
Duh,,,,,
jamani hizi bra ,sijui sidiria za kisasa za wasichana zinababaisha mno.......

I mean unakutana na msichana unamtazama kifuani unakuta saa sita kamili, matiti yamejaa jaa...
Kimoyoyo unasema ntafaidi mimi....

Siku ya siku uko na huyo msichana chumbani, unayavamiamatiti na kuanza kusalula hiyo bra sijui sidiria...
Mara ghafla matiti yanadondoka chini pwaa....duh...kumbe ni sidiria za kichina hizi sijui.....

Yaani.....ningeweza ningepiga marufuku hizo sidiria manake unaweza zuzuka na matiti ya msichana kumbe
ni sidiria tu.....yaani.....


eeh bwana eeh umeniacho hoi! yakisimama muda mrefu yanachoka na kudondoka si kwa sababu eti yamekuwa used sana ni nature hata gravitationa forces zinahusika kuyadondosha Pwaaaa... hata mgomba ukichanua na ndizi kuwa kubwa unahitaji egemeo na matiti yanahitaji Bra mazee!... Hamia kwenye vitu vingine vya kuzimikia kama wowowo, face angalau na shape! lakini maziwa huwa ni temporaly thing baada ya muda yata bwagika tu hata uyahandle vizuri namna gani, la sivyo kila siku utajikuta sokoni kutafuta vitu vipya na umri unaenda mwishowe watoto watakubatiza FATAKI bureeee The Boss
 
hahahah jama nyie watu mmenichekesha vibaya. Ndio mkome kila mwanamke kutaka kumparamia ...hahaha
 
hiyo sidiria inaitwa "TANGANYIKA JEKI" mzee zinawatoa sana wadada hasa wenye matiti mabaya!
 
Mmmmmmmmmmmmmmh!ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni.Bado kidogo tutaanza kuapply Mioyo na Maini ya Kichina.Ukimchukua tu Moyo una fail na anakufia ndani ya tukio.
 
Yaan nowadayz ukikutana na dem mkali unakuwa kwenye wakati mgumu kujua ndivyo alivyo au ni feki. Wanaume kipindi hiki kazi tunayo
 
Kwa kifupi shetani ameamua kututengenezea mazingira ya kuendelea kumuasi Mungu kwa kudizaini vivutio vya ajabu ajabu kupitia kwa wadada. Ni rahisi sisi midume kukamatika ktk tamaa ya ngono pengine kuliko jambo jingine lolote lile ktk kumuasi Mungu.

Nashauri tu, ifikie wakati sisi wanaume tukubali kuwa wanawake wazuri wapo na hawataisha,na hata wazuri kwa kupitia maarifa ya kichini na SIDIRIA alizozitaja mkuu nao pia wapo, hivyo tufanye maamuzi ya kuwa na mmoja mwaminifu tusije kupotea kimwili na kiroho.
Amani ya Bwn iwe nanyi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom