Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,850
Lol...hata mimi nshawahi kuingia mkenge mara kibao.
Unakutana na demu unaambiwa nyonyo hizo...zinadunda dunda tu...udenda unaanza kukutoka huku ukizipigia mahesabu ya jinsi ya namna utakavyozifaudu......unasema leo ndio leo....zitanikoma.
Mkishaanza gemu unaanza kumchojoa item moja baada ya ingine ukifikia kwenye sidiria unaifungua... unaitoa......lol....vitu hivyo vinajidondokea kaa matawi ya mgomba yaliyojikaukia.
Inaudhi sana aisee. Ni bora kujua moja tokea mwanzo kuliko kuangushwa katikati ya safari
Uroho utawaponza nyie lol