Hizi bra za kisasa za wasichana

Hizi bra za kisasa za wasichana

Lol...hata mimi nshawahi kuingia mkenge mara kibao.

Unakutana na demu unaambiwa nyonyo hizo...zinadunda dunda tu...udenda unaanza kukutoka huku ukizipigia mahesabu ya jinsi ya namna utakavyozifaudu......unasema leo ndio leo....zitanikoma.

Mkishaanza gemu unaanza kumchojoa item moja baada ya ingine ukifikia kwenye sidiria unaifungua... unaitoa......lol....vitu hivyo vinajidondokea kaa matawi ya mgomba yaliyojikaukia.

Inaudhi sana aisee. Ni bora kujua moja tokea mwanzo kuliko kuangushwa katikati ya safari

Uroho utawaponza nyie lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom