Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,328
- 5,057
Japo sikuoa (thanks God)bt mm nilimuomba sana tufunge boman japo wote wakristo yaani sipendi zile mbwbwe za harusi kabisa ila mwenzangu alilia kishenzi akisema Bomani ni sawa nakumdharau yeye na ukoo wake.
Ila nkapewa wazo nihamie upande wapili ni simpo kwani ni Shehe,jamvi na ubani,ila wakati najaribu tuhamie kwa Mtume ndio yakatokea yakutokea.
Ila nkapewa wazo nihamie upande wapili ni simpo kwani ni Shehe,jamvi na ubani,ila wakati najaribu tuhamie kwa Mtume ndio yakatokea yakutokea.