Hivi wakatoliki wenzangu zile ndoa za wengi za misa ya usiku bado zipo? Nataka nifanikishe jambo langu

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
6,236
15,603
Ukweli huyu ninayemuita mke wangu, hatuna ndoa kamili ya kanisani, pamoja na kuishi miaka 8 na kubahatika watoto wawili (Miaka 7 na miaka 3).

Sasa msukumo wa ndoa umekuwa mkubwa sana kutoka pande zote, na yeye mwenzangu naona hii kukosa ndoa inampa sononeko maana wazazi wake wanaogopa nisije nikamuacha (japo hii sababu sioni kama ina mashiko, kwasababu hata ukiwa na ndoa unaachika tu).

Ukweli mwingine ni kwamba, sababu haswa ya kutokufunga ndoa mpaka sasa, ambayo naijua mwenyewe ni kwamba, mi sio mtu wa shereha kabisaaaa.

Yaani kila nikikaa chini nikajifikiria kwamba nipo sijui navalisha pete ya uchumba, sijui nipo natoa mahari, sijui nipo mbele ya kadamnasi ya kanisa na padri pale mbele, sijui nipo kwenye ukumbi watu kibao. Yaani sijioni kama naweza lolote hapo na sipendi hayo mambo.

Ninachokifikiria kichwani ni kufunga ndoa isiyokuwa na kelele, nilitaka kufunga ya serikali, naona mwenzangu akagoma, anataka ya kanisani.

Sasa hapa wazo limenijia nakumbuka kuna zile ndoa zamani zilikuwa zinafanyika mkesha wa mwaka mpya au krismasi kama sijasahau, maana ni kipindi nipo mdogo, enzi hizo nahudhurua kanisani. Unakuta kuna ndoa kama sita hivi za haraka haraka. Hiyo ndo naona inanifaa kwa sasa.

Embu kwa wakatoliki wenzangu naombeni utaratibu wa ndoa hii ya fasta fasta isiyohitaji kelele. Ila ubaya mwingine ni kwamba mimi pia sio mtu wa kwenda jumuiya... yaaaaniiiii

Asanteni, naombeni ushauri ili nimalize hili jambo
 
Siyo wanawake wote mkuu..!! Kuna wengi tu ambao tunatamani Ndoa kama ya mtoa mada, yaani kitu kinafanyika kimya kimya ili mradi lengo limetimia kisha mambo mengine yanaendelea kama vile hakuna kilichotokea...!!
Tunarudi palepale. AIBU NDIO SABABU KUBWA YA NYIE KUKATAA NDOA ZENYE HEKAHEKA MAKANISANI NA UKUMBINI

Ni kweli Ndoa ni ya nyie wawili, lakini kuna watu kama ndugu ambao na wao wanataka kufurahia siku yenu adhimu kwa Sherehe na Chereko za hapa na pale.

Wazazi/Walezi wenu pia wanatamani kuona kitu kama hicho.

KUNA IMANI NYENGINE NDOA HUWA NI MOJA TU, UNAHISI KUIFANYA KIMYA KIMYA NI JAMBO SAHIHI?

Nb. SIKUUPANGII NA WALA SINA UWEZO HUO, ILA NAAMINI FAMILIA NYINGI ZINATAMANI HILO JAMBO (SHEREHE).
 
Ukweli huyu ninayemuita mke wangu, hatuna ndoa kamili ya kanisani, pamoja na kuishi miaka 8 na kubahatika watoto wawili (Miaka 7 na miaka 3).

Sasa msukumo wa ndoa umekuwa mkubwa sana kutoka pande zote, na yeye mwenzangu naona hii kukosa ndoa inampa sononeko maana wazazi wake wanaogopa nisije nikamuacha (japo hii sababu sioni kama ina mashiko, kwasababu hata ukiwa na ndoa unaachika tu).

Ukweli mwingine ni kwamba, sababu haswa ya kutokufunga ndoa mpaka sasa, ambayo naijua mwenyewe ni kwamba, mi sio mtu wa shereha kabisaaaa.

Yaani kila nikikaa chini nikajifikiria kwamba nipo sijui navalisha pete ya uchumba, sijui nipo natoa mahari, sijui nipo mbele ya kadamnasi ya kanisa na padri pale mbele, sijui nipo kwenye ukumbi watu kibao. Yaani sijioni kama naweza lolote hapo na sipendi hayo mambo.

Ninachokifikiria kichwani ni kufunga ndoa isiyokuwa na kelele, nilitaka kufunga ya serikali, naona mwenzangu akagoma, anataka ya kanisani.

Sasa hapa wazo limenijia nakumbuka kuna zile ndoa zamani zilikuwa zinafanyika mkesha wa mwaka mpya au krismasi kama sijasahau, maana ni kipindi nipo mdogo, enzi hizo nahudhurua kanisani. Unakuta kuna ndoa kama sita hivi za haraka haraka. Hiyo ndo naona inanifaa kwa sasa.

Embu kwa wakatoliki wenzangu naombeni utaratibu wa ndoa hii ya fasta fasta isiyohitaji kelele. Ila ubaya mwingine ni kwamba mimi pia sio mtu wa kwenda jumuiya... yaaaaniiiii

Asanteni, naombeni ushauri ili nimalize hili jambo
Finished kwa mwanajumuia yeyote wa jumuia,iliyo mtaani kwako,utapewa utaratibu wa kufanikisha jambo hilo.
 
Ukweli huyu ninayemuita mke wangu, hatuna ndoa kamili ya kanisani, pamoja na kuishi miaka 8 na kubahatika watoto wawili (Miaka 7 na miaka 3).

Sasa msukumo wa ndoa umekuwa mkubwa sana kutoka pande zote, na yeye mwenzangu naona hii kukosa ndoa inampa sononeko maana wazazi wake wanaogopa nisije nikamuacha (japo hii sababu sioni kama ina mashiko, kwasababu hata ukiwa na ndoa unaachika tu).

Ukweli mwingine ni kwamba, sababu haswa ya kutokufunga ndoa mpaka sasa, ambayo naijua mwenyewe ni kwamba, mi sio mtu wa shereha kabisaaaa.

Yaani kila nikikaa chini nikajifikiria kwamba nipo sijui navalisha pete ya uchumba, sijui nipo natoa mahari, sijui nipo mbele ya kadamnasi ya kanisa na padri pale mbele, sijui nipo kwenye ukumbi watu kibao. Yaani sijioni kama naweza lolote hapo na sipendi hayo mambo.

Ninachokifikiria kichwani ni kufunga ndoa isiyokuwa na kelele, nilitaka kufunga ya serikali, naona mwenzangu akagoma, anataka ya kanisani.

Sasa hapa wazo limenijia nakumbuka kuna zile ndoa zamani zilikuwa zinafanyika mkesha wa mwaka mpya au krismasi kama sijasahau, maana ni kipindi nipo mdogo, enzi hizo nahudhurua kanisani. Unakuta kuna ndoa kama sita hivi za haraka haraka. Hiyo ndo naona inanifaa kwa sasa.

Embu kwa wakatoliki wenzangu naombeni utaratibu wa ndoa hii ya fasta fasta isiyohitaji kelele. Ila ubaya mwingine ni kwamba mimi pia sio mtu wa kwenda jumuiya... yaaaaniiiii

Asanteni, naombeni ushauri ili nimalize hili jambo
pata mwongozo kwenye jumuiya.

Mtafute mwenyekiti ama Katibu wa jumuiya yako...mwambie jambo hili kisha akupe za ndaaaani kuhusu utaratibu...itakufaa sana!
 
Ukweli huyu ninayemuita mke wangu, hatuna ndoa kamili ya kanisani, pamoja na kuishi miaka 8 na kubahatika watoto wawili (Miaka 7 na miaka 3).

Sasa msukumo wa ndoa umekuwa mkubwa sana kutoka pande zote, na yeye mwenzangu naona hii kukosa ndoa inampa sononeko maana wazazi wake wanaogopa nisije nikamuacha (japo hii sababu sioni kama ina mashiko, kwasababu hata ukiwa na ndoa unaachika tu).

Ukweli mwingine ni kwamba, sababu haswa ya kutokufunga ndoa mpaka sasa, ambayo naijua mwenyewe ni kwamba, mi sio mtu wa shereha kabisaaaa.

Yaani kila nikikaa chini nikajifikiria kwamba nipo sijui navalisha pete ya uchumba, sijui nipo natoa mahari, sijui nipo mbele ya kadamnasi ya kanisa na padri pale mbele, sijui nipo kwenye ukumbi watu kibao. Yaani sijioni kama naweza lolote hapo na sipendi hayo mambo.

Ninachokifikiria kichwani ni kufunga ndoa isiyokuwa na kelele, nilitaka kufunga ya serikali, naona mwenzangu akagoma, anataka ya kanisani.

Sasa hapa wazo limenijia nakumbuka kuna zile ndoa zamani zilikuwa zinafanyika mkesha wa mwaka mpya au krismasi kama sijasahau, maana ni kipindi nipo mdogo, enzi hizo nahudhurua kanisani. Unakuta kuna ndoa kama sita hivi za haraka haraka. Hiyo ndo naona inanifaa kwa sasa.

Embu kwa wakatoliki wenzangu naombeni utaratibu wa ndoa hii ya fasta fasta isiyohitaji kelele. Ila ubaya mwingine ni kwamba mimi pia sio mtu wa kwenda jumuiya... yaaaaniiiii

Asanteni, naombeni ushauri ili nimalize hili jambo
Zipo nenda kwa kiongozi wako wa jumuia,zinafanyikaga kila mwaka na ukitaka ile ya peke yako isio na mambo mengi katikati ya week, nenda kanisani jiandikishe hudhuria mafundisho ya ndoa ,andikisha ndoa yako ya misa zile za asubuhi, nusu saa tayari ushaoa na kuondoka na mkeo.
 
Ukweli huyu ninayemuita mke wangu, hatuna ndoa kamili ya kanisani, pamoja na kuishi miaka 8 na kubahatika watoto wawili (Miaka 7 na miaka 3).

Sasa msukumo wa ndoa umekuwa mkubwa sana kutoka pande zote, na yeye mwenzangu naona hii kukosa ndoa inampa sononeko maana wazazi wake wanaogopa nisije nikamuacha (japo hii sababu sioni kama ina mashiko, kwasababu hata ukiwa na ndoa unaachika tu).

Ukweli mwingine ni kwamba, sababu haswa ya kutokufunga ndoa mpaka sasa, ambayo naijua mwenyewe ni kwamba, mi sio mtu wa shereha kabisaaaa.

Yaani kila nikikaa chini nikajifikiria kwamba nipo sijui navalisha pete ya uchumba, sijui nipo natoa mahari, sijui nipo mbele ya kadamnasi ya kanisa na padri pale mbele, sijui nipo kwenye ukumbi watu kibao. Yaani sijioni kama naweza lolote hapo na sipendi hayo mambo.

Ninachokifikiria kichwani ni kufunga ndoa isiyokuwa na kelele, nilitaka kufunga ya serikali, naona mwenzangu akagoma, anataka ya kanisani.

Sasa hapa wazo limenijia nakumbuka kuna zile ndoa zamani zilikuwa zinafanyika mkesha wa mwaka mpya au krismasi kama sijasahau, maana ni kipindi nipo mdogo, enzi hizo nahudhurua kanisani. Unakuta kuna ndoa kama sita hivi za haraka haraka. Hiyo ndo naona inanifaa kwa sasa.

Embu kwa wakatoliki wenzangu naombeni utaratibu wa ndoa hii ya fasta fasta isiyohitaji kelele. Ila ubaya mwingine ni kwamba mimi pia sio mtu wa kwenda jumuiya... yaaaaniiiii

Asanteni, naombeni ushauri ili nimalize hili jambo
Hiki ulichoandika kamuonyeshe padri yeyote atakufungisha ndoa mkiwa watu wanne tu (wewe na mkeo, wasimamizi wenu wawili) naye akiwa na watumishi tu.

Au kama atakuwa ametingwa atawafungisha ndoa kwenye zile misa za kila siku asubuhi, mnaingia saa 12:15 mnatoka saa 12:45 asubhi, mnaendelea na ratiba nyingine.
 
Back
Top Bottom