Gwaloma, acha umalaya!Nipo kwao mwaka wa 10 sasa, nawajua vizuri. Nimewapitia wengi sana, wengine ni ndugu wa tumbo moja. Kukunyima utamu kwao ni mwiko/mitiman!
moj6 ,baby,mme na mengineyo,ila Hilo la baba naona ananipa bichwa tu
California love
Ulikuwa Kitengo gani, na ndani ya muda mfupi umejuaje kuwa wapo hivo?
Ulikuwa Kitengo gani, na ndani ya muda mfupi umejuaje kuwa wapo hivo?

Jua nimekaa na uyo binti more than two years. Kuhusu kitengo niachie mwenyeweMbona Dar ndio kila kitu mazee hivi kuna sehem kuna wanawake kama Dar kisha unawaza kwenda mkoani?
taarifa zako zina ukakasi, huenda hao watu huwafahamu vemaJua nimekaa na uyo binti more than two years. Kuhusu kitengo niachie mwenyewe
Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
Hujafa hujaumbika mkuumdomo kama puru![]()
Ni kweli kila mtu na kipaumbele chake katika mahusianoKm ndoa ingekuwa sura, hakika wanawake wa bar wengi wangekuwa kwenye ndoa.
Sikupingi kuhusu sura, lakini usiiweke kipaumbele chako, weka tabia 60% sura 40%
Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
Ngoja nikupmNdio mkuu
California love
Mkuu nipe namba zake PM1.hapana
2.mwanzoni moyo wangu uligoma ila saivi naanza kushawishika baada ya kuwa nae karibu
3.ok
4.hapa pagumu
Mkuu endasaki sio Mbulu, Chai hii!Utawaweza wana wa sadamu? Mara ya kwanza mwaka 1998 niliona mwanamke amebebwa na vijana watat guest house. Ilikuwa ni mbulu pale Endasaki.
Hahahaha tuone!Mkuu hebu weka picha yake maana hata Mimi ninae demu pande hizo nae yupo kama unavyosema,hawaeleweki hiyo jamii huruma nyingi.
aqo loeUpo sahihi ako, naas
point sana hiiKukuita baba yangu is not an issue mkuu..
Cha msingi ni ukibaliane na hali halisi kama umempenda.ila ni visu sana aise..
Huu uzi unakatisha tamaa sana wale waliooa au wenye mpango wa kuoa huko! Unaweza ukawa hujaoa huko lakini mkeo bado akawa chama la wana.
Inshu ya uaminifu ni suala la kuomba Mungu sana..hawa viumbe hawatabiriki! Kila kabila lina changamoto zake! Acha kushikiwa akili na akili za watu humu,JK aliwahi kusema "Akili za kuambiwa changanya na zako"
Junior Mafia unaunganisha vichwa kama CrouchWatu watapiga kama Bayern am here since 2012
Usicheze na wanawake wa Karatu wewe...unaweza oa lakini kumbe wewe ni mwanaume wa buku mbili katika maisha yakeFuraha yako unataka maamuzi ya wengine..!! Wewe Kama unataka kuoa oa..humu kila mtu ana lake utaambiwa wa ovyo kumbe watu hutofautiana roho .
Kwa miaka ya zaman hanang' ilikuwa wilaya ya mbulu, tafuta kitabu cha darasa la nne geography miaka hiyo uone kilimo cha ngano ni mbulu ktk maeneo ya Qatesh endasaki ikiwa ndan ya QateshMkuu endasaki sio Mbulu, Chai hii!
Exotic breedsMaana yake?
California love