Mkuu
Khantwe ngoja nikusaidie kuhusu wasukuma. Kwanza naomba kudeclare interest nina unasaba nao.
Wasukuma wanaolewa bado wadogo sana kati ya miaka 14-18. Wanaume wa kisukuma wanajua sana matumizi ya papuchi, akioa mwaka unaofuata ana mtoto tayari na karibu kila mwaka mke wa kisukuma anabebeshwa mimba na uzao wao ni watoto 10+.
Familia ya watu 10+ ni kama mgahawa hasa ukizingatia size ya chakula wanachokula hawa ndugu zangu, kwa hiyo mke yuko busy asubuhi mchana na jioni na usiku mzee anapiga papuchi kama kawa.
Kwa mazingira haya huyo mwanamke anatoa wapi muda wa kugawa papuchi? Ila ukiwakuta mazingira tofauti na hayo wanagawa vizuri tu, tena huwa wa kushika mkono tu hawasumbui kutongoza. Wanapenda sana mwanaume awe 'msafi' na 'mjanja' si unajua hivi vitu kule adimu.
Kwa uzoefu wangu wa kuzunguka hii nchi na kuishi maeneo tofauti, hakuna mwanamke (wa kabila lolote) anayekataa mwanaume, kama mdau alivyo kwambia pale juu, leta kabila lolote hapa na waungwana watakupa wasifu wao.