Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.
Acha nikupe kisa kimoja kinachonihusu.

Mwaka fulani nilipata field uko hydom, kiukweli nilista ajabu kuona uzuri wa wasichana wa kule, nikajikuta nimeshaingia kwenye mapenzi na binti wa kimbulu(alikua mwajiliwa). Mapenzi yakawa motomoto(nikajikuta marioo). Nitake nini mwanaume nisipate, out za kila mara, nikaona hapa naoa.
Mwanamke mpole, mnyenyekevu, mkarimu, nilijiona mbabe kweli.
Baada ya miaka miwili mwanamke akaanza kulazimisha sana ndoa, akadai kama sina hela yeye atagharamikia kila kitu hili mradi nimuoe, nikaona hii siiwezi. Nikamwambia asubiri kidogo.
Aisee kumbe demu ni demu wa masela, wanaoniita shemeji ndiyo mabwana zake.
Kisa ni kirefu hila hawa hawajui kukataa, ukioa jua na jirani yako atakula tu.

Nakupa task nenda uko ukweni, jaribu kumtongoza rafiki/mdogo mtu/dada mtu/ au mke wa mtu, ukikataliwa basi oa

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
Upo sahihi ako, naas
 
Nataka niwekeze kwa binti wa kiiraq kutoka babati,binti ametokea kunipenda sana,mwanzoni moyo wangu ulikuwa mzito kuchukua maamzi ya kuwa na uhusiano nae ila kadili siku zinavyozidi kwenda naona kwamba atanifaa,coz she is real beautiful,umbo zuri na rangi nzuri pia ,halafu ananijali sana kimatendo,siku za hivi karibuni amenikadhania niende kujitambulisha kwao,nipeni abc za mabinti wa kiiraq kabla sijafanya final decision
Usinikunbushe, Mary ulipo jua ulisababisha nikataka kujiua sababu tu ya penzi lako. Sina hamu na wairaq ni sawa na mchwa, wanakutafuna ndani ila nje uko fresh
 
Nataka niwekeze kwa binti wa kiiraq kutoka babati,binti ametokea kunipenda sana,mwanzoni moyo wangu ulikuwa mzito kuchukua maamzi ya kuwa na uhusiano nae ila kadili siku zinavyozidi kwenda naona kwamba atanifaa,coz she is real beautiful,umbo zuri na rangi nzuri pia ,halafu ananijali sana kimatendo,siku za hivi karibuni amenikadhania niende kujitambulisha kwao,nipeni abc za mabinti wa kiiraq kabla sijafanya final decision
Uwe tayari kugongewa na kila mtu maana hawana roho mbaya na mbunye zao
 
Mkuu hebu weka picha yake maana hata Mimi ninae demu pande hizo nae yupo kama unavyosema,hawaeleweki hiyo jamii huruma nyingi.
Mimi wa kwangu yupo Moro kibiashara
 
Usinikunbushe, mary ulipo jua ulisababisha nikataka kujiua sababu tu ya penzi lako. Sina ham na wairaq ni sawa na mchwa, wanakutafuna ndani ila nje uko fresh
Pole sana mkuu, ndio maana nikaja huku kuulizwa nisije uziwa mbuzi kwenye gunia
 
Nataka niwekeze kwa binti wa kiiraq kutoka babati,binti ametokea kunipenda sana,mwanzoni moyo wangu ulikuwa mzito kuchukua maamzi ya kuwa na uhusiano nae ila kadili siku zinavyozidi kwenda naona kwamba atanifaa,coz she is real beautiful,umbo zuri na rangi nzuri pia ,halafu ananijali sana kimatendo,siku za hivi karibuni amenikadhania niende kujitambulisha kwao,nipeni abc za mabinti wa kiiraq kabla sijafanya final decision
Oa kwenu acha umama....

Unaona kabisa people of your kind do not qualify to be your lifetime partner?

Mpaka umefikia kuulizia dunia hivi, it means kuna unknown suspicion unayo kuhusu huyo dada!

Oa watu unaowajua!
 
Noma sana ila Wana fake love sana,ukiwa nae unaweza kusema upo pekeyako kumbe ni zamu yako tu
Humu huwezi jua, kuna vitoto kuna wahuni kuna baharia...sasa hapo unategemea upate ushauri kweli.... na ukumbuke kila mtu ana opinions zake.....na inaonekana wewe ni rahisi sana kushawishika na mtu wa hivyo ina maana hajitambui au hajiamini wala hauna msimamo... na mwanaume hatakiwi kuwa hivyo sasa wewe huyo mke utaweza kumuongoza na kuongoza familia kweli....kama hujiamini huwezi acha sio umchafue binti wa watu.....unatafuta tatizo wakati tatizo ni wewe..... what the hell!! man?...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom