Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.
Umezoana naye mwenyewe, mmejuana wenyewe na tabia mmechunguzana wenyewe bado unakuja kuuliza JF ambapo hata we mwenyewe hatukujui ha ha haaaaaàaa hebu akili za kuambiwa changanya na zako kama umemkubali mchunguze maana tabia hawezi kuificha utamjua tu
 
Ok,shukran sana mkuu,nimeanza kuunganisha dot
Mim nilikuwa sitaki kusex nae mapema lakini yeye last week Ali force kusex tena getoni kwake,,najiuliza tu yawezekana tupo wengi,,mhhh
Ulimkuta na bikra...?
 
Share experience boss
1. Umeshawahi kuishi huko?
2. Moyo wako unakushuhudiaje?
3. Ulizia vizuri ili ujiridhishe.
4. Ujue tofauti ya upendo na mihemko.

Niliwahi kuwanaye mmoja mzuri wa sura na umbo pia.

Kwakuwa sikuwa na mtu wa kumuuliza wa karibu nika- hack simu yake tu ili angalau nijiridhishe kimya kimya tu!

Niliyoyaona, yalinikatisha tamaa kabisa ila sikupenda kumkatisha tamaa but nilijitahidi kutoka kiustaarabu bila kumuumiza.

Nasikia aliolewa na dogo mmoja wa Arusha.
Mungu awasaidie sana

But, watu wanatofautiana tabia.
 
1. Umeshawahi kuishi huko?
2. Moyo wako unakushuhudiaje?
3. Ulizia vizuri ili ujiridhishe.
4. Ujue tofauti ya upendo na mihemko.

Niliwahi kuwanaye mmoja mzuri wa sura na umbo pia.

Kwakuwa sikuwa na mtu wa kumuuliza wa karibu nika- hack simu yake tu ili angalau nijiridhishe kimya kimya tu!

Niliyoyaona, yalinikatisha tamaa kabisa ila sikupenda kumkatisha tamaa but nilijitahidi kutoka kiustaarabu bila kumuumiza.

Nasikia aliolewa na dogo mmoja wa Arusha.
Mungu awasaidie sana

But, watu wanatofautiana tabia.
Umemaliza mkuu, mimi wakati natafuta mke nilipata tabu sana, sababu nipo huku wachumba wote niliowapata ni wa huku. Kuna mmoja alitupanga watatu na wote tulitambulishwa kwao, alikuwa na wivu balaa, mawasiliano yalikuja kumuumbua na tukajikuta tunafahamiana washkaji wa3 mimi nikiwa Mbulu mjini, mwingine akiwa Haydom dr na mwingine mzee wa kitengo.

Tulimtema wote, toka kipindi hiko nikajiapiza sitaoa huku. Mda ulipofika nikaoa mkoa mwingine kabisaaa. Nimeshuhudia wake za watu wakitembea na mashemej zao bila shida hilo lilinikatisha tamaa.

Hata wakiolewa kugawa kwao ni kitu cha kawaida sanaaaa! Bahati mbaya nina baba yangu mdogo ambaye alioa huku nilimshuhudia mama mdogo alivyokuwa akimtesa mzee, mpaka wakaachana na kumwacha mzee akiwa na mawazo na pressure juu!
 
Nipo kwao mwaka wa 10 sasa, nawajua vizuri. Nimewapitia wengi sana, wengine ni ndugu wa tumbo moja. Kukunyima utamu kwao ni mwiko/mitiman!
Hapo sasa umepata jibu sahihi mkuu inamaana hawanyimani kabisa
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom