Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.
Ndio kuna bidada wako siriazi sana hadi sura zinatisha, sababu ya sura zao mzunguko wa kutongozwa ni mdogo lakini haimaanishi wana tabia nzuri la hasha!
Tena ndio watoaji wazuri.
Mara nyingi tunawaonea warembo kwa kuwaona hawajatulia kumbe wanasumbuliwa sana kwa uzuri wa sura zao.
Naoa kitu roho inataka mie
aisee naona umeamua kutunanga wenye sura za kupulizia moto, sasa tunamgawia nani wakati mzunguko wa kutongozwa ni mdogo?
 
Ndoa siyo ya siku moja, hivi ikatokea siku mke wako kapata ajari, bahati mbaya sura ikaharibika, je utamuacha mkeo?

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
Si inajulikana kuwa alipata ajali? Ujue wewe kama wewe unakuwa umeplay part yako mengine unamuachia Mungu. Ukiwa na mawazo kama hayo hutokaa uridhishe nafsi yako, utakuwa unaogopa kila kitu kizuri kwaajili ya mambo ambayo yako nje ya uwezo wako?
 
Si inajulikana kuwa alipata ajali? Ujue wewe kama wewe unakuwa umeplay part yako mengine unamuachia Mungu. Ukiwa na mawazo kama hayo hutokaa uridhishe nafsi yako, utakuwa unaogopa kila kitu kizuri kwaajili ya mambo ambayo yako nje ya uwezo wako?
Km ndoa ingekuwa sura, hakika wanawake wa bar wengi wangekuwa kwenye ndoa.
Sikupingi kuhusu sura, lakini usiiweke kipaumbele chako, weka tabia 60% sura 40%

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye Maisha linapokuja suala linalogusa Maisha yako moja kwa moja fanya uamuzi unauona unakufaa wewe binafsi.unazoea kila wakati unaomba ushauri shetani atatumia hio nafasi kukuangamiza kuangamiza mipango yako. Mashatani pia hutumia intarnet
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom