Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.
Inaelekea ulikuwa na majibu tayari sasa kwanini unafungua uzi na kuuliza watu? Samahani lakini.
Soma vizuri, jibu nimelipata hapa kwa kupitia comments za juu

California love
 
Utawaweza wana wa sadamu? Mara ya kwanza mwaka 1998 niliona mwanamke amebebwa na vijana watat guest house. Ilikuwa ni mbulu pale Endasaki.
Ilikuwaje mkuu?

California love
 
Binafsi mnanichanganyia madesa,Mnataka Kilwa94 nikaoe wapi.!Nikitangaza nia kwa Muhaya mnasema wahaya malaya,nikitangaza nia kwa Mrangi nao mnasema malaya..mbulu na Iraq nao pia mnasema malaya.Haya sasa nikaamua kurudi nyumbani nako mkasema Wandengereko,Zaramo na Makonde ni malaya.Dah! Mnanivuruga Ok fine ngoja Kilwa94 nihamishie kambi huko Unyamwezini-Tbr.
 
Binafsi mnanichanganyia madesa,Mnataka Kilwa94 nikaoe wapi.!Nikitangaza nia kwa Muhaya mnasema wahaya malaya,nikitangaza nia kwa Mrangi nao mnasema malaya..mbulu na Iraq nao pia mnasema malaya.Haya sasa nikaamua kurudi nyumbani nako mkasema Wandengereko,Zaramo na Makonde ni malaya.Dah! Mnanivuruga Ok fine ngoja Kilwa94 nihamishie kambi huko Unyamwezini-Tbr.
Hebu msome mkuu hapo juu
Wanawake wa kisukuma sijawahi kuona wakifokewa
Hapo umenishika mkono sina la kuongea, ninae ndani
 
Nachojua sio wachoyo wakarimu sana kwa kutunuku wako vizuri
 
umeona anko, ukiona kila siku unafokewa wewe tu jua una tatizo. Huo mfano niliokupa siku ukiona wanafokewa niite
Kusema ukweli wale wa kwetu unatakiwa uwe na roho ngumu zaidi ya jiwe, hao ulio wataja ni wapole hadi huruma, ukitaka kuwatenda unajiuliza mara mbili mbili na kosa haulipati, unaghairi...
Siku nikikuta wanafokewa hata mimi nitashangaa sana
 
Kusema ukweli wale wa kwetu unatakiwa uwe na roho ngumu zaidi ya jiwe, hao ulio wataja ni wapole hadi huruma, ukitaka kuwatenda unajiuliza mara mbili mbili na kosa haulipati, unaghairi...
Siku nikikuta wanafokewa hata mimi nitashangaa sana
umeona sasa, japo sio vizuri kuhukumu kabila zima mimi hapa nikipewa vidonge vya kabila langu nameza tu hata kama mimi sipo hivyo
 
umeona sasa, japo sio vizuri kuhukumu kabila zima mimi hapa nikipewa vidonge vya kabila langu nameza tu hata kama mimi sipo hivyo
La kwenu huwa mnaonewa kwa kweli,matukio ni machache mno kulinganisha na idadi yenu.
Mtahukumiwa kwenye biashara,japo nayo mengi sio ya kweli, nina marafiki wengi wa upande wa huko mafanikio yao mengi ni ya kujibana matumizi tofauti na sisi tunao jilipua
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom