Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.
Ndugu mleta mada wewe ni mwanaume na unapaswa uwe mwanaume fanya kile kilichoafikiwa na moyo wako akili yako na dhamiri yako ikiwa inaongozwa na Mungu.

Hakuna mwanamke mbaya moja kwa moja hata kama ni mbaya kiasi gani
Hakuna kabila au jamii mbaya moja kwa moja hata kama hio jamii inahusishwa na ubaya kwa kiasi gani.

Kuna watu wameoa kwenye familia za wachawa na washikina lakini Wamepata mke bora.

Wengi wanaotoa ushauri hapa hakuna alie oa wala kuolewa kwa hio mambo ya ndoa yapo juu ya uwezo wao na ndio maana wanatoa ushauri dhaifu sana eti utagongewa!!!

Mtu aliekwisha oa ama kuolewa hua hawazi tena kugongewa na mambo kama hayo.

Ushuhuda yupo mama mmoja muirak kijijini kwetu aliweza kuolewa na mchaga na ndoa yao mpaka sasa ipo na imedumu mpaka sasa wana wajukuu wakubwa kabisa.

Kama unavyojua harakati za wanaume wa kichaga kwenda kutafuta maisha mjini karibu mwaka mzima hali amemuacha mke nyumbani.
Ndivyo ilivyokua kwa huyu mzee ninae mshuhudia hapa, nakuambi wanaume wenzake walio oa wachaga wake zao walikua wanatoka nje kwa kiasi kisichoelezeka mpaka kuzaa na nje ya ndoa lakini kwa huyu mmbulu ilikua tofauti na matarajio ya walio wengi.

Mimi mwenyewe nimeoa kanda hio hio. Nilipoenda kumtambulisha kwetu kwamba binti huyu ni kanda ya manyara watu walinicheka ya kuwa nitagongewa kwani ndio tabia yao! Mpaka sasa mwaka wa 6 ndoa iko powa mno no kugongewa wala nini.

Kabla yake nilikua naishi na binti mmoja mchaga mwenzangu lakini nilishuhudia akigongwa mara mbili na mwishowe kanikimbia.

Kwa hio usisikilize kila maoni ya watu yakwamba watu fulani wako vile ama hivi.

Mimi na kushauri muoe huyo dada na kushuhudia ndugu yangu utakuja kushukuru hapa hapa jamii forum ya kwamba ulifanya chaguo sahihi.

Mungu awaongozeni na kuwasameheni kwakua mmesha zini na ili mahusiano mazuri na Mungu ya wareeni muoe huyo dada.
 
Nenda maeneo wanakopatikana hutotumia nguvu kuchakata papuchi. Yani kama unamsukuma mlevi tu
Hawana hata wivu kama wanawake wa makabila mengine
Kama ni kweli wanapenda sana mb...oo kuliko hela basi watanifaa sana maana na mimi napenda kugegeda kuliko hata kula.

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
 
Nachoshangaa hadi sasa kuna wanaume wanaogopa kugongewa daah kweli kuufikia uchumi mdogo wa kati itakuwa ngumu
 
Kwani Kwa Sasa una hitaji la mke au baai tu, Kama ndio Tafuta mwanamke wa kufanana nawe mkuu, kabila halina nafasi katika kupata mwenzi, nakushauri mshirikishe Mungu akuonyeshe mke, ongea na watumishi wakusaidie, Kila la heri
 
wanagongewa vizuri tuu, kwanza wana mila yao. Mke akiolewa anaambiwa kabisa atafute mtoto wa nje ili kama kuna laana kwa mumewe huyo mmoja asije rithi laana. Kugongewa kwao ni kitu cha kawaida sana!
Kumbe, duu
 
1. Umeshawahi kuishi huko?
2. Moyo wako unakushuhudiaje?
3. Ulizia vizuri ili ujiridhishe.
4. Ujue tofauti ya upendo na mihemko.

Niliwahi kuwanaye mmoja mzuri wa sura na umbo pia.

Kwakuwa sikuwa na mtu wa kumuuliza wa karibu nika- hack simu yake tu ili angalau nijiridhishe kimya kimya tu!

Niliyoyaona, yalinikatisha tamaa kabisa ila sikupenda kumkatisha tamaa but nilijitahidi kutoka kiustaarabu bila kumuumiza.

Nasikia aliolewa na dogo mmoja wa Arusha.
Mungu awasaidie sana

But, watu wanatofautiana tabia.
1. Hapana
2. Mwanzoni moyo wangu uligoma ila sahivi naanza kushawishika baada ya kuwa nae karibu
3. Ok
4. Hapa pagumu
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom