Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.
Kumbe umeniacha jamani Woiiii muiraq jamani kama namuona alivyo mzuri.
Oa tu kwa kweli kama anakupenda.
 
Kumbe umeniacha jamani Woiiii muiraq jamani kama namuona alivyo mzuri.
Oa tu kwa kweli kama anakupenda.
Zamu yako yaja,naanza na huyu kwanzs
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hivi karibu amenikazania niende nikajitambushe kwao

Bila yeye kufanya hivyo usingeenda?
 
Nataka niwekeze kwa binti wa kiiraq kutoka babati,binti ametokea kunipenda sana,mwanzoni moyo wangu ulikuwa mzito kuchukua maamzi ya kuwa na uhusiano nae ila kadili siku zinavyozidi kwenda naona kwamba atanifaa,coz she is real beautiful,umbo zuri na rangi nzuri pia ,halafu ananijali sana kimatendo,siku za hivi karibuni amenikadhania niende kujitambulisha kwao,nipeni abc za mabinti wa kiiraq kabla sijafanya final decision
Ukiwa katika mahusiano na mtu baada muda utazijua tabia zake tu, usiwe na haraka issue ya kuulizana makabila ilishapitwa na wakati mkuu, Fanya mipango vuta jiko uhuni ni tabia ya mtu na sio kabila. Usisahau kunialika kwenye harusi .
 
sema nn wakati wanafua nepi za mtoto alizojisaidia..

huchanganya zile nepi zenye uharo na shati la baba..

tena lile jeupe vinafuliwa pamoja,sijui kama unanielewa..
Hapana mkuu sijaelewa,

California love
 
Noma sana ila Wana fake love sana,ukiwa nae unaweza kusema upo pekeyako kumbe ni zamu yako tu
Inaelekea ulikuwa na majibu tayari, sasa kwanini unafungua uzi na kuuliza watu? Samahani lakini.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom