Juzi juzi mwisho wa mwaka nilienda TRA kuulizia nadaiwa kodi kiasi gani mfanyakazi anaomba elfu 15 ili aniangalizie! Nikamuuliza ya nini? Akajibu siunajua bro ya maji kidogo!
Nimenda tena jana kufanya bond cancellation ili wafanye bond cancellation wanataka hela yaani ni tabu tupu! Nimebana kuwapa hela kazi hawafanyi! Sasa najiuliza kwa mwenendo huu wa TRA wafanyakazi kupenda kupewa fedha ili wafanye kazi za wateja wao inaleta picha mbaya sana!
Hawa wafanyakazi wa TRA wanamisharhara wanalipwa kutokana na kodi zetu! Huu upuuzi wa kutaka kitu kidogo ndo utoe huduma serkali uiufanyie kazi!
Wananawapotezea mda wananchi na wawekezaji kama mwananchi au mwekezaji hatajiongea kutoa rusha au kitu ndo mambo yake yafanyiwe kaiz atabaki pale hata wiki wakati ni jambo la saa moja linaisha!
TRA ndo kibubu cha taifa ila kunapokuwa na hawa vijana wanaotaka maisha makubwa ya shortcut ndo inapelekea huduma kugeuka kuwa nongwa na kudumaza makusanyo yetu hali inayopelekea huduma mbovu katika sekta zingine!
Asanteh!
Nimenda tena jana kufanya bond cancellation ili wafanye bond cancellation wanataka hela yaani ni tabu tupu! Nimebana kuwapa hela kazi hawafanyi! Sasa najiuliza kwa mwenendo huu wa TRA wafanyakazi kupenda kupewa fedha ili wafanye kazi za wateja wao inaleta picha mbaya sana!
Hawa wafanyakazi wa TRA wanamisharhara wanalipwa kutokana na kodi zetu! Huu upuuzi wa kutaka kitu kidogo ndo utoe huduma serkali uiufanyie kazi!
Wananawapotezea mda wananchi na wawekezaji kama mwananchi au mwekezaji hatajiongea kutoa rusha au kitu ndo mambo yake yafanyiwe kaiz atabaki pale hata wiki wakati ni jambo la saa moja linaisha!
TRA ndo kibubu cha taifa ila kunapokuwa na hawa vijana wanaotaka maisha makubwa ya shortcut ndo inapelekea huduma kugeuka kuwa nongwa na kudumaza makusanyo yetu hali inayopelekea huduma mbovu katika sekta zingine!
Asanteh!