Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Hivi unaweza kumbaka mkeo?

ameshindwa kupeleka malalamishi kwa mashangazi zake analeta kwako?

stay away from ndoa za watu
 
ameshindwa kupeleka malalamishi kwa mashangazi zake analeta kwako?

stay away from ndoa za watu
Kaleta kwangu ndio sijamshauri lolote nimempa pole tu mapenzi hayashauriwi nami nikasema nilite huku nipate mawazo ya wanazengo
 
Juzi kati hapo kuna sister moja tulisoma naye alicheki kuomba ushauri kuwa mume wake amekuwa akimbaka.

Kiukweli nilishangaa, mume anawezaje kumbaka mke wake, inakuwaje? Nilimuuliza kwa mshangao.

Akasema kuna kipindi anakuwa labda anaumwa au anajisikia vibaya, mume wake akimtaka na akimwambia hapana, basi mume huyo huwa anamkamata kwa nguvu na kumwingilia kwa nguvu na kwa ukatili wa hali ya juu.

Sasa mke kachoka, anataka kumshitaki mume wake. Wazo lake la kwanza, la pili anawaza kuachana naye, na anasema anashindwa kuamua which is which.

Jamii itamwonaje au wazazi wake atawaambiaje kuwa mume wake huwa anambaka? Everything is confusing.
Hajui aliolewa sababu ya nini?

Kwani MAHARI HULIPWA SABABU YA NINI?
Ukiacha mahali wanawake wa kisasa wanakataa kufua,kuosha vyombo kudeki nk halafu eti kirahisi rahisi TU bado JAMAA ANYIMWE ZAGA

na bado hela anampa

We unaona imekaa sawa?
This shit isn't fair that's imbalance

Jamaaa akitoka nje ya ndoa utasikia we mwanaume ni kitu gani HUPATI KWANGU😂😂😂

secretarybird
 
Hajui aliolewa sababu ya nini?

Kwani MAHARI HULIPWA SABABU YA NINI?
Ukiacha mahali wanawake wa kisasa wanakataa kufua,kuosha vyombo kudeki nk halafu eti kirahisi rahisi TU bado JAMAA ANYIMWE ZAGA

na bado hela anampa

We unaona imekaa sawa?
This shit isn't fair that's imbalance

Jamaaa akitoka nje ya ndoa utasikia we mwanaume ni kitu gani HUPATI KWANGU😂😂😂

secretarybird
🔥
 
Ki uhalisia, si sahihi kwa mwanaume kuishi na mwanamke mmoja. Kitabia, tupo kama wanyama, angalia mfano wa dume moja la simba linakuwa na majike mangapi..!? Au ukitaka kufuga kuku, ratio yake ipoje. Yaani Majike ni wangapi na madume ni mangapi
Unataka kuwa kama mnyama? Sisi binadamu tunaishi nyumba moja na wake zetu na tuna ufahamu hatuwezi kuiga matendo ya wanyama.
 
Separation means a married couple decides to live apart either informally or through a legal arrangement, but they are still legally married. The marriage is not ended, so neither spouse is free to remarry. So hapa ndoa haijaisha, wanandoa wana separate for some reasons chini ya uongozi wa mahakama, ni kama kutake a beak ili ku-resolve some issues, hapa huruhusiwi kuoa/kuolewa..

Divorce, on the other hand, is the legal termination of a marriage. Once a divorce is granted by a court, the marital relationship is completely ended, and both parties are free to remarry. The court also usually deals with division of property, child custody, and maintenance as part of the divorce process. Hpa ndoa inaisha legally, mke/mume wanaruhusiwa kuoa/kuolewa, ndio baadae mahakama inafanya settlement juu ya watoto, mali na maintainance..
Hope nimewajibu vizuri..🙂

cc: Nonchalant H r n
Kisheria kuna tofauti kati ya separation na devorce?
 
Separation means a married couple decides to live apart either informally or through a legal arrangement, but they are still legally married. The marriage is not ended, so neither spouse is free to remarry. So hapa ndoa haijaisha, wanandoa wana separate for some reasons chini ya uongozi wa mahakama, ni kama kutake a beak ili ku-resolve some issues, hapa huruhusiwi kuoa/kuolewa..

Divorce, on the other hand, is the legal termination of a marriage. Once a divorce is granted by a court, the marital relationship is completely ended, and both parties are free to remarry. The court also usually deals with division of property, child custody, and maintenance as part of the divorce process. Hpa ndoa inaisha legally, mke/mume wanaruhusiwa kuoa/kuolewa, ndio baadae mahakama inafanya settlement juu ya watoto, mali na maintainance..
Hope nimewajibu vizuri..🙂

cc: Nonchalant H r n
Mtaalamu wa sheria mashallah 😍 nimekupata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom