Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Hivi unaweza kumbaka mkeo?

ukiona kila siku unaambiwa naumwa....najisikia vibaya...nimechoka....huyo hana hamu na wewe, kwa kifupi......Unachapiwa!!
Ndio maana yake 📌

Ukiona anafikia hatua mpaka anasema anataka kwenda kukushtaki eti kisa umemlimba it means Kuna mtu anakulombea
 
Screenshot_20260603-153638_WhatsAppBusiness.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20260603-153638_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20260603-153638_WhatsAppBusiness.jpg
    58.7 KB · Views: 9
Ndio maana yake 📌

Ukiona anafikia hatua mpaka anasema anataka kwenda kukushtaki eti kisa umemlimba it means Kuna mtu anakulombea
Anabakwa sasa afanyaje avumilie ukatili
 
Ndio maana yake 📌

Ukiona anafikia hatua mpaka anasema anataka kwenda kukushtaki eti kisa umemlimba it means Kuna mtu anakulombea
 

Attachments

  • 20260603_152159.jpg
    20260603_152159.jpg
    25.4 KB · Views: 12
Tajiri mkeo, ukimuomba mlale, akakataa ukalazimisha unakuwa umetenda kosa la kubaka. Na adhabu yake ni miaka 30 na kazi ngumu au viboko, au vyote kwa pamoja.

Hakikisha mkeo anakuruhusu kwa ridhaa yake.
mwanaume na mwanamke wakilala chumba kimoja tena kitanda kimoja inahesabika kuwa wana mahusiano. Ikiwa mwanamke anaona anapitia manyanyaso ya kingono kutoka kwa mumewe basi aivunje ndoa. Mahakama haiwezi kumfunga mtu kisa alikuwa anamlazimisha mkewe kufanya mapenzi? Je,ikiwa huyo mwanamke nae alikuwa anamnyima unyumba huyo mwanaume? Mume na mke ni tendo la ndoa mwanawane.
 
kwani ulipokuwa unyago ulifundishwa nini unapokutana na mazingira kama hayo ?
😀 uliwahi tumia hii
mwanaume na mwanamke wakilala chumba kimoja tena kitanda kimoja inahesabika kuwa wana mahusiano. Ikiwa mwanamke anaona anapitia manyanyaso ya kingono kutoka kwa mumewe basi aivunje ndoa. Mahakama haiwezi kumfunga mtu kisa alikuwa anamlazimisha mkewe kufanya mapenzi? Je,ikiwa huyo mwanamke nae alikuwa anamnyima unyumba huyo mwanaume? Mume na mke ni tendo la ndoa mwanawane.
 

Attachments

  • 20260603_170733.jpg
    20260603_170733.jpg
    12.8 KB · Views: 11

Similar Discussions

Back
Top Bottom