Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 13,011
- 26,021
mwanaume na mwanamke wakilala chumba kimoja tena kitanda kimoja inahesabika kuwa wana mahusiano. Ikiwa mwanamke anaona anapitia manyanyaso ya kingono kutoka kwa mumewe basi aivunje ndoa. Mahakama haiwezi kumfunga mtu kisa alikuwa anamlazimisha mkewe kufanya mapenzi? Je,ikiwa huyo mwanamke nae alikuwa anamnyima unyumba huyo mwanaume? Mume na mke ni tendo la ndoa mwanawane.
Unyumba ni haki yako, lakini lazima kuwe na ridhaa (consent). Kinyume nq hapo ni kosa kisheria. 😊