Achana naye huyo mmeoJuzi kati hapo kuna sister moja tulisoma naye alicheki kuomba ushauri kuwa mume wake amekuwa akimbaka.
Kiukweli nilishangaa, mume anawezaje kumbaka mke wake, inakuwaje? Nilimuuliza kwa mshangao.
Akasema kuna kipindi anakuwa labda anaumwa au anajisikia vibaya, mume wake akimtaka na akimwambia hapana, basi mume huyo huwa anamkamata kwa nguvu na kumwingilia kwa nguvu na kwa ukatili wa hali ya juu.
Sasa mke kachoka, anataka kumshitaki mume wake. Wazo lake la kwanza, la pili anawaza kuachana naye, na anasema anashindwa kuamua which is which.
Jamii itamwonaje au wazazi wake atawaambiaje kuwa mume wake huwa anambaka? Everything is confusing.
Nani shahidiTajiri mkeo, ukimuomba mlale, akakataa ukalazimisha unakuwa umetenda kosa la kubaka. Na adhabu yake ni miaka 30 na kazi ngumu au viboko, au vyote kwa pamoja. 😊
Hakikisha mkeo anakuruhusu kwa ridhaa yake.
Nani shahidi
Hata mkeo anaweza kukubaka vilevile.Juzi kati hapo kuna sister moja tulisoma naye alicheki kuomba ushauri kuwa mume wake amekuwa akimbaka.
Kiukweli nilishangaa, mume anawezaje kumbaka mke wake, inakuwaje? Nilimuuliza kwa mshangao.
Akasema kuna kipindi anakuwa labda anaumwa au anajisikia vibaya, mume wake akimtaka na akimwambia hapana, basi mume huyo huwa anamkamata kwa nguvu na kumwingilia kwa nguvu na kwa ukatili wa hali ya juu.
Sasa mke kachoka, anataka kumshitaki mume wake. Wazo lake la kwanza, la pili anawaza kuachana naye, na anasema anashindwa kuamua which is which.
Jamii itamwonaje au wazazi wake atawaambiaje kuwa mume wake huwa anambaka? Everything is confusing.
Hapo umesema upande wake je yeye akinibaka au ainisingizia na tulikubalianaVipimo vya Daktari. 😊
Hapo umesema upande wake je yeye akinibaka au ainisingizia na tulikubaliana
Hawezi kusubiri?Mpe pole mwambie ajifunze njia mbadala ya kufanya mme wake atosheke kipindi akiwa kwenye hali ya ugonjwa
SimfahamuHawezi kusubiri?
Hizi mnashangaa Bongo tu huku kwingine ziko common sana tu spouses wanapelekana mahakamani na watu wanafungwa.
ushahidi? Maana unashangaa tu mama watoto Yuko juu anaskata kabumbuNa wewe unaweza mshitaki, kama anakulazimisha kulala bila ridhaa yako ni kosa. Sheria ni msumeno.
Kwani unataka nini si usibakwe sasa then niniThen what
ushahidi? Maana unashangaa tu mama watoto Yuko juu anaskata kabumbu
Ushahidi ni uthibisho wa daktari kama ilivyo kwa kesi zote za ubakaji.ushahidi? Maana unashangaa tu mama watoto Yuko juu anaskata kabumbu