Una miaka Mingapi dogo? Kasome Historia ndipo utajua nini maana ya Super Power... Huwezi linganisha na Soccer... nadhani utakuwa na akili kama za Iran na argentina walipoweza kuifunga England wakaona kama ndio wamelipa kisasi cha kunyang'anywa Kisiwa chao... japo hicho kisiwa wanaoishi humo ni Waingereza wenyewe... Iran naye aliifunga Marekani kwenye World cup huko kitambo akaona ndio kaishinda kwa kila kitu... ni Akili ndogo sana...
Hujawahi ona kitu kimeandikwa Made in U.K pole sana sisi tuliotumia tokea kitambo hadi sasa tunasikitika kuvikosa kwani wao wanajari ubora kwanza... British airways waliondoka kwa sisi kutopenda ubora wakatuacha na makanjanja wetu tuwapendao... hawajui au hawataki kitu kinachoitwa Rushwa... Ukiwa na kitu kilichoandikwa Made in U.K lazima ueshimike na kutambulika mpenda vitu bora... Nenda ukatue London,Manchester,New Castle na miji mingine ujue kwanini walikuwa super power... Marekani nayo inaundwa na Waingereza...
Katika Dola zilizowahi Tawala Dunia na zilizobaki imara U.k wapo Njema Bado... Roman ndio yaweza kuwa Choka mbaya,The Great Alexander wa Greek au Greek alipotea,Persian,Nebuchadnezzar, Farao n.k
Uingereza ni United hata wakiamua kwa Sasa wanaweza ila haina Haja... Ukienda New Zealand,Australia,Hong Kong japo ni wachina ila wapo bega kwa Bega na Uingereza hawamtaki mchina... Marekani majimbo kibao, Canada hao bado ni Waingereza tu hivyo usishangae kiingereza kwa Marekani kimetoka wapi ni hao hao tu... walikuwa wengi sana walikuwa hawatoshi kwenye visiwa vyao... wamechanganyikana na Wayahudi ndio usuper power utokeamo...
Nenda kwenye List ya vitu wanavyotengeneza Waingereza humu ukurasa hautatosha... hayo Magari ya Toyota yamejaa kwenye Nchi Masikini tu... watu wanatumia magari ya Gharama full Luxuary... Jaguar,Rolls-Royce,Gari za Mr.Bean,Austin McLaren Haswa za Mashindano... And Then Inaelekea hujawahi Panda Mabasi ya Leyland kabisa wewe unapanda aina ya TATA mauda yenu...