Hivi Uingereza waliwezaje Kutawala Dunia?

Hivi Uingereza waliwezaje Kutawala Dunia?

Huwa najiuliza sana kuhusu hii nchi iitwayo Uingereza, hivi waliwezaje kutawala nchi zote hizo hapa Duniani mbona wamechoka hivyo... Yaani zaidi ya lugha hakuna chochote kingine walichonacho hata Kiingereza chenyewe unaweza kusema ni shauri ya Marekani ndio maana wote leo hii tunataka kujifunza.

Embu angalia Kombela La Dunia wanaondoka kama waliivyokuja hawajashinda mechi hata moja, kweli wakati huo Dunia nzima ilikuwa imelala...Sasa wanaweza nini, Tangu nizaliwe sijawahi kukutana kitu kimeandikwa made in Uingereza ukiachilia Ma land rover ambayo hakuna mtu anataka...watu wana ma GXR8 Toyota

Mkuu Uingereza ni Nci kubwa sana kwa kila kitu interms ya UCHUMI, KIJESHI na kiutamaduni. Kama wengine walivyosema UINGEREZA ipo kwenye G10, ni Nchi ya 6 kijeshi duniani na so far ndo mhisani wetu mkuu.
Kama una paspoti unaelekezwa kuwa endapo upo nchi ambayo haina ubalozi wetu basi tumia ubalozi wa UK utasaidiwa.

Ina mapato makubwa kwenye utalii na elimu kuliko nchi yoyote hapa duniani
 
Mkuu Uingereza ni Nci kubwa sana kwa kila kitu interms ya UCHUMI, KIJESHI na kiutamaduni. Kama wengine walivyosema UINGEREZA ipo kwenye G10, ni Nchi ya 6 kijeshi duniani na so far ndo mhisani wetu mkuu.
Kama una paspoti unaelekezwa kuwa endapo upo nchi ambayo haina ubalozi wetu basi tumia ubalozi wa UK utasaidiwa.

Ina mapato makubwa kwenye utalii na elimu kuliko nchi yoyote hapa duniani

Ya Sita Duniani Mbali kote huko, kweli hao jamaa ni choka ni mbaya, Duh! Ndio maana hawajafunga mechi hata moja kombe la Dunia, wametia aibu mpaka basi !
Hapo ktkt kuna akina nani? Nao walikuwa na Himaya kubwa Duniani?

Halafu acha kudanganya watu hapa, yaani mimi nina shida raia wa TZ niende Ubalozi wa Uingereza?
Na nikiwa na shida nchini TZ pia niende Ubalozi wa Uingereza?

Sasa kama ni hivyo ni kwanini ninahitaji viza kwenda huko?
 
Ya Sita Duniani Mbali kote huko, kweli hao jamaa ni choka ni mbaya, Duh! Ndio maana hawajafunga mechi hata moja kombe la Dunia, wametia aibu mpaka basi !
Hapo ktkt kuna akina nani? Nao walikuwa na Himaya kubwa Duniani?

Halafu acha kudanganya watu hapa, yaani mimi nina shida raia wa TZ niende Ubalozi wa Uingereza?
Na nikiwa na shida nchini TZ pia niende Ubalozi wa Uingereza?

Sasa kama ni hivyo ni kwanini ninahitaji viza kwenda huko?

We jamaa inaonekana Umeamua kubisha bila Hoja..
 
Ya Sita Duniani Mbali kote huko, kweli hao jamaa ni choka ni mbaya, Duh! Ndio maana hawajafunga mechi hata moja kombe la Dunia, wametia aibu mpaka basi !
Hapo ktkt kuna akina nani? Nao walikuwa na Himaya kubwa Duniani?

Halafu acha kudanganya watu hapa, yaani mimi nina shida raia wa TZ niende Ubalozi wa Uingereza?
Na nikiwa na shida nchini TZ pia niende Ubalozi wa Uingereza?


Sasa kama ni hivyo ni kwanini ninahitaji viza kwenda huko?
Una paspot au ndo ubishi tu? Mwombe aliyenayo akupe uisome. Ilinitokea mimi nilipoenda PAPUA NEW GUINEA nilihudumiwa na ubalozi wa UK
 
Una paspot au ndo ubishi tu? Mwombe aliyenayo akupe uisome. Ilinitokea mimi nilipoenda PAPUA NEW GUINEA nilihudumiwa na ubalozi wa UK

Walikupa huduma gani kwa mfano? Kwa maana nijuavyo mimi sisi siyo sehemu ya Uingereza, sasa ningependa kujua hiyo huduma waliyokupa ni IPI?
 
Una paspot au ndo ubishi tu? Mwombe aliyenayo akupe uisome. Ilinitokea mimi nilipoenda PAPUA NEW GUINEA nilihudumiwa na ubalozi wa UK

Walikupa huduma gani kwa mfano?Kwa maana sisi siyo sehemu ya Uingereza, sasa ningependa kujua hiyo huduma waliyokupa ni IPI?

Kwa maana nijuavyo mimi kama kuna nchi hakuna Ubalozi wetu huwa kuna Nchi Jirani ambayo inatuwakilisha au kuna Balozi mdogo kwa mfano huko Guinea itakuwa inawakilishwa na Ubalozi wetu Australia kama Upo au hata labda Ujapani
 
Walikupa huduma gani kwa mfano?Kwa maana sisi siyo sehemu ya Uingereza, sasa ningependa kujua hiyo huduma waliyokupa ni IPI?

Kwa maana nijuavyo mimi kama kuna nchi hakuna Ubalozi wetu huwa kuna Nchi Jirani ambayo inatuwakilisha au kuna Balozi mdogo kwa mfano huko Guinea itakuwa inawakilishwa na Ubalozi wetu Australia kama Upo au hata labda Ujapani
Ni kwamba hata hapo Sudani kusini kama hatuna ubalozi basi incase ya tatizo lolote tunakwenda ubalozi wa Uingereza japo kuna ubalozi wa nchi jirani km Kenya na Uganda. Ndo maana nakuambia tafuta passport ya Tz uisome badala ya kubishana ndugu. Nilipokwenda huko Papua New Guinea pale Port Moresby nilitakiwa kwenda huko interior na wao ubalozi walinisaidia sana kunipa information za huko kulivyo na kunielekeza nini cha kufanya na wao waliniahidi incase ya any emergency wao wataact on behalf ya ubalozi wa Tz kwenye kunisaidia
 
Watu waliovalishwa shuleni Vibao vya Iam Stupid for Speaking Kiswahili utawajua tu! Tena dizaini wewe ndio uliokuwa Kiranja wa kuwabandika wenzako vibao migongoni!
jamaa yangu Uingereza ni kwa kiswahili
na kwa kiingereza ni England
Hebu angalia Made in England zivyojaa hapo kwako , anzia na kitasa cha mlango, taa ya umeme kijiko cha chakula nk
km huna hivyo vitu basi ni mchina ambaye ni Fake hachukui mwezi
 
Nimempenda bure mleta uzi; kwa sababu ninadhani ni relatively young lakini anaumiza kchwa kujiuliza maswali magumu....niko nasoma kitabu cha Karl Polanyi, The Great Transformation kwa kiasi kikubwa kina majibu...ngoja niendelee kusoma...labda ntaleta majibu kabla ya mwisho wa mwezi
 
Lakini kwa umaskini huu ulotawala dunia nzima mchina ataendelea kuwa na soko hata kama quality ya chini (1% rich 99% poor Wall Street protest)


jamaa yangu Uingereza ni kwa kiswahili
na kwa kiingereza ni England
Hebu angalia Made in England zivyojaa hapo kwako , anzia na kitasa cha mlango, taa ya umeme kijiko cha chakula nk
km huna hivyo vitu basi ni mchina ambaye ni Fake hachukui mwezi
 
Ni kwamba hata hapo Sudani kusini kama hatuna ubalozi basi incase ya tatizo lolote tunakwenda ubalozi wa Uingereza japo kuna ubalozi wa nchi jirani km Kenya na Uganda. Ndo maana nakuambia tafuta passport ya Tz uisome badala ya kubishana ndugu. Nilipokwenda huko Papua New Guinea pale Port Moresby nilitakiwa kwenda huko interior na wao ubalozi walinisaidia sana kunipa information za huko kulivyo na kunielekeza nini cha kufanya na wao waliniahidi incase ya any emergency wao wataact on behalf ya ubalozi wa Tz kwenye kunisaidia

Bado unazunguka! Nimekuuliza walikupa HUDUMA GANI? Ningependa kujua Ubalozi wa Uingereza unaofadhiliwa na walipa kodi wa n chi hiyo unawezaje kumpa huduma Raia wa Tanzania!
Hivyo usizunguke sana na kwa kutaka kujaza majina ya Nchi ya nchi wewe niambaie tu HUDUMA waliyokupa wewe kama Raia wa Tanzania, ni rahisi kihivyo...
 

Bado unazunguka! Nimekuuliza walikupa HUDUMA GANI? Ningependa kujua Ubalozi wa Uingereza unaofadhiliwa na walipa kodi wa n chi hiyo unawezaje kumpa huduma Raia wa Tanzania!
Hivyo usizunguke sana na kwa kutaka kujaza majina ya Nchi ya nchi wewe niambaie tu HUDUMA waliyokupa wewe kama Raia wa Tanzania, ni rahisi kihivyo...

we jamaa ni mbishi na kichwa ngumu.umeambiwa isome passport kwenye maelekezo uone kimeandikwa kipi.....assistance itatolewa na Tanzanian embassy au British kama eneo hilo halina ubalozi wa Tanzania.....

swali lako halina kichwa wala mguu kwani kazi ya ubalozi ni nini? ukipata tatizo kwenye nchi isiyo na ubalozi wetu utasaidiwa na wa uingereza.......kwa ulivyo kichwa ngumu utauliza msaada gani...mfano ukiibiwa kila kitu ukaenda kujielezea kwa ubalozi wa uingereza(kama wetu haupo) unaweza kusafirishwa kama ni kweli umeibiwa na imethibitika na utapatiwa malazi na chakula.....
 
we jamaa ni mbishi na kichwa ngumu.umeambiwa isome passport kwenye maelekezo uone kimeandikwa kipi.....assistance itatolewa na Tanzanian embassy au British kama eneo hilo halina ubalozi wa Tanzania.....

swali lako halina kichwa wala mguu kwani kazi ya ubalozi ni nini? ukipata tatizo kwenye nchi isiyo na ubalozi wetu utasaidiwa na wa uingereza.......kwa ulivyo kichwa ngumu utauliza msaada gani...mfano ukiibiwa kila kitu ukaenda kujielezea kwa ubalozi wa uingereza(kama wetu haupo) unaweza kusafirishwa kama ni kweli umeibiwa na imethibitika na utapatiwa malazi na chakula.....


Acha kuandika Uongo, Upuuzi na Ujinga, yaani mimi raia wa TZ niende Ubalozi wa Uingereza halafu wanisafirishe kurudi kwetu? Hivi una akili kweli?
Na hiyo gharama analipa nani? Serikali ya Uingereza ama? Na kama Serikali (TZ) hawaifanyii hivyo raia wake hata pale penye Ubalozi iweje Serikali ya Uingereza ifanye hivyo?

Kama wewe leo hii ukienda hata Kongo tu ukaibiwa kila kitu kama ulivyosema ukaenda Ubalozini kwetu hakuna mtu atakusaidia kwa maana ya kukupa fedha hata tu kukusafirisha kurudi Nyumbani TZ kwa maana hakuna hilo fungu pale Ubalozini sasa iweje nchi baki ifanye hivyo kwa Raia ambaye SIYO wake?
 
Du!wabongo tunashda hv,utawezaje kumkosoa Baba wa viwanda na isitoshe hyo stage kashapita sku nyng kawaachia Wachina na wengne,yeze yupo stage nyngne ya maendeleo ambayo adi bongo kuifikia itachukua miaka mia tano mingine, hyo stage ya vwanda tu bado hatujafka.
 
Du!wabongo tunashda hv,utawezaje kumkosoa Baba wa viwanda na isitoshe hyo stage kashapita sku nyng kawaachia Wachina na wengne,yeze yupo stage nyngne ya maendeleo ambayo adi bongo kuifikia itachukua miaka mia tano mingine, hyo stage ya vwanda tu bado hatujafka.

Bannnnnnnnn!!! Brainwashed
 
Hv unajua Uingereza kufika hapo ilipo imechuka miaka mingapi?kama kiberiti tu mnaimport kutoka India,unategemea maendeleo ya vwanda mtafika ln.
 
Acha kuandika Uongo, Upuuzi na Ujinga, yaani mimi raia wa TZ niende Ubalozi wa Uingereza halafu wanisafirishe kurudi kwetu? Hivi una akili kweli?
Na hiyo gharama analipa nani? Serikali ya Uingereza ama? Na kama Serikali (TZ) hawaifanyii hivyo raia wake hata pale penye Ubalozi iweje Serikali ya Uingereza ifanye hivyo?

Kama wewe leo hii ukienda hata Kongo tu ukaibiwa kila kitu kama ulivyosema ukaenda Ubalozini kwetu hakuna mtu atakusaidia kwa maana ya kukupa fedha hata tu kukusafirisha kurudi Nyumbani TZ kwa maana hakuna hilo fungu pale Ubalozini sasa iweje nchi baki ifanye hivyo kwa Raia ambaye SIYO wake?

unazijua kazi za ubalozi??? iwapo watanzania raia tataamua kuwaua wageni toka kenya serikali ya kenya inabeba jukumu la kusafirisha raia wake warudi kwao...mfano kauchukue Vietnam au kwa wachina.

unajua mimi sikulaumu kwani tangu mwanzo umegundulika ni mbishi asiyejielewa.muulize mtanzania yeyote aliyepatwa na matatizo akiwa ughaibuni alisaidiwa na nani kama si ubalozini.fungu linalowekwa ubalozini ni lipi?? kasome hadithi ya stowaway hata mmoja tu uone ni nani alomgharamia kurudi nyumbani.


btw ule ni mfano wa jinsi gani ubalozi unatoa msaada.uingereza ina balozi karibu kila nchi duniani tofauti na Tanzania.raia wa tanzania huenda nchi yeyote hata zile ambazo hazina uwakilishi wa serikali yao hivyo huduma ambazo zingetolewa na ubalozi wetu hutolewa na wa uingereza.....

ningekuwa babu yako ningekueleza kitu juu ya mkasa uliowahi kumpata Edward snowden wakati anataka kuruka toka Moscow kwenda Cuba.ilishindikana na pengine Evo Morales angejuta kumpakia kwenye ndege yake iliyoandikwa "Bolivian president jet" alikataliwa kutua ureno na ufaransa ili kuongeza mafuta kulitokea mabishano kadhaa kati ya rubani na viongozi wa mataifa hayo.hofu kubwa ilikuwa ni labda ndani ya ndege yumo Edward.Edward aliikosea marekani inakuwaje ufaransa nao wang'ake?? wambea walipouliza kwanini ufaransa inafanya hayo na kwa faida ya nani jibu lilikuwa ni "we are doing this for the benefit of a FRIEND...nilitaka hapo tu mwisho Britain itasaidia as a friend of Tanzania....
 
unazijua kazi za ubalozi??? iwapo watanzania raia tataamua kuwaua wageni toka kenya serikali ya kenya inabeba jukumu la kusafirisha raia wake warudi kwao...mfano kauchukue Vietnam au kwa wachina.

unajua mimi sikulaumu kwani tangu mwanzo umegundulika ni mbishi asiyejielewa.muulize mtanzania yeyote aliyepatwa na matatizo akiwa ughaibuni alisaidiwa na nani kama si ubalozini.fungu linalowekwa ubalozini ni lipi?? kasome hadithi ya stowaway hata mmoja tu uone ni nani alomgharamia kurudi nyumbani.


btw ule ni mfano wa jinsi gani ubalozi unatoa msaada.uingereza ina balozi karibu kila nchi duniani tofauti na Tanzania.raia wa tanzania huenda nchi yeyote hata zile ambazo hazina uwakilishi wa serikali yao hivyo huduma ambazo zingetolewa na ubalozi wetu hutolewa na wa uingereza.....

ningekuwa babu yako ningekueleza kitu juu ya mkasa uliowahi kumpata Edward snowden wakati anataka kuruka toka Moscow kwenda Cuba.ilishindikana na pengine Evo Morales angejuta kumpakia kwenye ndege yake iliyoandikwa "Bolivian president jet" alikataliwa kutua ureno na ufaransa ili kuongeza mafuta kulitokea mabishano kadhaa kati ya rubani na viongozi wa mataifa hayo.hofu kubwa ilikuwa ni labda ndani ya ndege yumo Edward.Edward aliikosea marekani inakuwaje ufaransa nao wang'ake?? wambea walipouliza kwanini ufaransa inafanya hayo na kwa faida ya nani jibu lilikuwa ni "we are doing this for the benefit of a FRIEND...nilitaka hapo tu mwisho Britain itasaidia as a friend of Tanzania....


Unaandika jinsi mambo yanavyopaswa kuwa na mimi nakupa uhalisia wa jinsi mambo yalivyo, kama wafanyakazi wa Balozi za TZ wanakaa mpaka miezi mitatu bila kulipwa Mishahara kwa kuwa Serikali haijaleta fedha kutoka nyumbani itakuwa kuwa na fedha za kumsafirisha Mtz baki?
Hao watu unaosema wa madawa ya kulevya ni mambo ya kisiasa na huwa wanasafirishwa na Nchi husika halafu Serikali (yetu) inalazimishwa kulipa sio Serikali yetu eti kwa kuwapenda Raia wake inaamua kuwarudisha nyumbani SIO KWELI!
Ongea na Watz wanofanya kazi ktk Balozi zetu mbali mbali Duniani wengine wana madeni ya Pango, Serikali haijalipa sasa hilo fungu la ziada la kumsaidia Mtz anayepata matatizo Ughaibuni litatoka wapi?

Halafu isitoshe kama Serikali haiwezi kusaidia raia wake ndani ya Mipaka yake kwa chochote kile hata tu kitu kama Matibabu inawaam,bia waende India itawezaje kusaidia Raia waishio nje ya Mipaka yake?

Nchi zote zinazosaidia Raia wake huwa pia zinafanya hivyo hata kwa raia waishio nchini, tena ndio jambo la kwanza.
Mimi nina washikaji kibao wanaishi nje ya TZ Hati zao za kusafiria zimepotea lkn Ubalozi unashindwa kuwasaidia kwa kuwa wanasema hawana Fedha sasa hiyo Huduma ya Balozi za Ktz kwa Watz nje ya Nchi unazoziongelea wewe ni zipi? Kwa maana Hati ya kusafiria ni Haki ya Kikatiba ya kila Raia sasa hawawezi hilo watawezaje kumsafirisha au kumgharamia Matibabu Mtz baki?

Hayo mambo ya kusema kwamba ukiwa na shida uende Ubalozi wa TZ hayana ukweli wowote inawezekana tunajiambia wote lkn siwezi kuamini kwamba kama lelo hii nikienda Kameruni nikapoteza Hati yangu ya kusafiria, eti niende Ubalozi wa Uingereza na niseme mimi ni Raia wa TZ halafu wanipe Pasipoti mpya? au nimeugua nahitaji Msaada Ubalozi wa Uingereza unisaidie matibabu, tafadhali bhana!
Huko ni kujidanganya kulikopitiliza na ndio maana tunazidi kusaini Mikataba ya kupendelea wazungu na kujiumiza sisi wenyewe kwa ajili kuamini mambo ya kisanii kama hayo, eti Ubalozi wa Uingereza usaidie Raia wa Tanzania, mwisho mtasema sasa Tanzania pia ni mwanachama wa EU (Umoja wa Ulaya) na kwamba sheria za EU pia zinatumika TZ!

Kwa hiyo unataka kuniambia Raia wa TZ wakitekwa kwa mfano Iraki serikali ya Uingereza itatuma Jeshi kuwakomboa? Au Serikali ya Uingereza itaiwekea vikwazo Iraki kwa kuwa wameteka raia wa Tanzania?

Ubalozi wa Uingereza una jukumu la kusaidia raia wa Uingereza au Raia wa Nchi mwanachama wa Umoja wa Ulaya na sio Tanzania, Basi!
 
Soma vizuri historia asee maana maelezo ya humu hayatakutosha...affu we sio mfuatiliaji...eti hujawahi kuona vitu made in uingerzeza..na hutaona..mambo ya waingereza kushindwa kufunga huko mpirani unaleta kwenye utawala wa dunia..?? Seeh, uko mbali we boya.
 
Huwa najiuliza sana kuhusu hii nchi iitwayo Uingereza, hivi waliwezaje kutawala nchi zote hizo hapa Duniani mbona wamechoka hivyo... Yaani zaidi ya lugha hakuna chochote kingine walichonacho hata Kiingereza chenyewe unaweza kusema ni shauri ya Marekani ndio maana wote leo hii tunataka kujifunza.

Embu angalia Kombela La Dunia wanaondoka kama waliivyokuja hawajashinda mechi hata moja, kweli wakati huo Dunia nzima ilikuwa imelala...Sasa wanaweza nini, Tangu nizaliwe sijawahi kukutana kitu kimeandikwa made in Uingereza ukiachilia Ma land rover ambayo hakuna mtu anataka...watu wana ma GXR8 Toyota

Uingereza wanatengeza magari ambayo ni expensive sana kama range rover hayo ma vogue unayoyaona, bentley , rover , leyland , bedford ....... inatengeneza ma treka original sio fake kama ya asia. .......stage ya vitu vinavyotengenezwa china uingereza walipita miaka mamia iliyopita. Now england wana heavy industry . Yaani viwanda mama au viwanda vinavyotengeneza viwanda. England wanatengeneza mashine za ndege. Na magari ya kifahari aina ya rolls Royce ambayo kwa tz lilikuwepo moja tu ikulu , limeshaharibika. Sasa na mimi nikuulize utaonaje hiyo made in england wakati uwezo wako ni china na asia . In short gari moja ya england unaweza kununua yard nzima ya magari ya japani.
 
Back
Top Bottom