Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,361
- 15,094
- Thread starter
- #41
Nakushangaa bado unakazania hii point ya kombe la dunia..
Mkuu achana nayo hyo,haina mashiko,hIhusiani na u super power..
SiO Kweli hakuna Nchi Masikini iliyowahi kuwa Mabingwa wa Dunia!
Michezo ndio moja ya kielelezo tosha kama Nchi iiko njema au choka mbaya, angalia Olimpiki nchi zenye medali nyingi ni Nchi Tajiri tu na masikini wote wanaambulia kamedali kamoja...