Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 7,255
- 11,628
Hii hoja umeiotoa wapi au unasoma kwa kurudi nyuma?Unasema Zanzibar ikiwa na mammlaka kamili itapata misaada ya miundombinu Kama anbavyo kwa Sasa Tanzania inapata?
Soma vizuri kwa utulivu uelewe nilichosema kwenye comment yangu sina haja ya kurudia
Kuhusu Somalia na Sudani hizo sio miongoni mwa hoja zangu hoja yangu hapa ni Zenji, nakuhakikishia ukiipa mamlaka kamili Tanganyika wataomba misaada kutoka Zenji kama waombavyo China na falme za kiarabu kwa sasa
Zenji hakuna ufisadi wa kiwango cha Tanganyika kama upo basi unaletwa na kuwepo kwa muungano
Ustaarabu mmoja wapo wa Zenji ni kutoendekeza ufisadi na ubadhilifu wa Mali za umma hata kwa kidogo wanachogaiwa kutoka kwenye Muungano wanakitumia vizuri la si hivyo Zenji ingekuwa kama mkoa wa Tanga kimaendeleo hadi sasa