Ni chuki tu dhidi ya Uislam na Waislam ukichanganya na husda.
Sasa mtu awachukie waislam kwa sababu zipi cha zaidi huwa mnasemwa kwa mienendo yenu ambayo inaleta shida katika maendeleo ya jamii.
1. Mfano kubagua dini zingine, waislam kwa hili mnaongoza,mkisemwa mnasema mnabaguliwa.
2. Ajizi na uvivu. Familia nyingi za kiislam huwa zinapenda maisha ya ajizi kwa kisingizio cha kufuata mifumo ya dini na kumbe dini hutumika kama kichaka cha kuficha uzembe binafsi na uvivu wa kujiendeleza.
Mfano, mtu utaendeleaje kwa kuswali mara 5 hadi 7 kwa siku,yaani wewe kila dakika ushasepa unaenda masjidi,kazi unafanya saa ngapi, mwezi wa Ramadan, unashinda na njaa ina athiri ufanisi wako kwa siku 30 zote maana usipokula unawezaje kufanya kazi ambayo hufanya mwili utafute chakula?
Hampendi kusoma mambo mengi ni ya kuambiwa na maostadhi ambao wengi nao shule aidha hawajaenda au wamegusa juu juu hadi form six,nadra kukuta ostadh ana degree au masters akashinda masjid kufanya dini, sababu akili inafunguka anaona ajizi kila sehemu.
Kule Zanzibar taasisi kama benki hadi zinaajiri wasiokuwa waislam ili kupata watendaji serious wanakuwapo kazini muda wote maana wavaa kobazi kila saa ni masjid wanaacha wateja wanasubiria huduma au wanafunga maduka. Hii ni kero na kufelisha jamii na uchumi.
3. Husuda na kususa susa, mnapenda sana husuda na kususa kwa mlengo wa dini. Mfano mwaka huu maostadhi eti wanawaambia waumini wa kislaam kususia Christmas wasile wala kupokea mualiko,sasa wewe hiyo kwako imekaa sawa kweli,ususie pilau ya jirani yako ambaye yeye yako anakula bila shida?😂
Nyama mabuchani mnasusa eti hamtaki achinje mtu ambaye si muislam haya tunawaachia mchinje ninyi sisi tunaila kama kawa mbona wenzenu wakristo,wapagani, waabudu mizimu hawasusii chochote,wanashiriki hadi misiba bila husuda wala kisirani.
4. Mnapenda kubagua kwa misingi ya dini na sio sababu za msingi. Mfano kwenye ajira,unaweza kuwa hauna vigezo ila ukaona umebaguliwa kwasababu aliyepo juu sio dini yako. Sasa tabia hii huwa ninyi ndio mnayo na inadhihirika mkishika nafasi za maamuzi utaona mnafosi kabisa kuwekana bila merit yoyote kitaifa.
Wekaneni but kwa misingi ya kiutengaji na muwe vichwa vya kiutendaji kweli kweli. Kwasababu dini tunaamini ni uadilifu na ukiongezea na elimu then tunakuwa tumepata mtendaji bora dini haiwezi kuwa criteria kuu ya uteuzi au kupewa nafasi,maana huendi kufanya ibada kazini. Ila loooh😂😂 wenzetu mkiwekana mnageuza ofisi inakuwa masjid al kero kwa raia wazalendo. Kama lile zee lilikuwaga NSSF jinga moja lile,lilikuwa linataka kugeuza NSSF masjid al mufilis. Yaani muda wote ni kuswali na kufunga ofisi, ukienda ajiriwa anakutazama kwa jicho la yaani wewe ingekuwa amri yangu usingetia mguu hapa.
5. Hampendi kuchangamana mna umimi sana mnahisi dunia ni ya pekee yenu na hakuna imani zingine a.k.a ubaguzi wa kidini. Mkivaa baragashia,kanzu safi nyeupe,mzuzu kidevuni na kobazi mguuni mnaamini ninyi ni wajumbe wa mbinguni ambao mpo ziarani duniani,muda wote story zenu ni kuwaza mnamna mtakufa na kuwahi viwanja peponi. Ndio maana hamnaga mipango endelevu most of the times mnakuwa mnawaza kufa na kwenda peponi sababu duniani ni pa kupita tu.
Sasa imagine watu wa hivi uwape serikalini nafasi kuna kitu kitaenda zaidi ya ubadhirifu na uzembe na ajizi. Tazama sasa serikali ilivyolala kama mchuzi wa jana wa samaki. Haina mipango serious, miradi yote imelala,uharibifu wa pesa maana nyingi wanachezea sana kwa kugawana na kupeleka sadaka kwenye nyumba za ibada especially misikitini na vituo vya watoto yatima.
Lakini yote kwa yote sisi sote ni watanganyika na ni jamii moja tusiwe watu wa kuvimba bali tuwe watu wa kujifunza na kukubali ukweli sio kujitetea na kutaka kuonekana hatukosei muda wote. Jamii ni vema kuwa na watu tofauti ili iwe rahisi kukosoana na kurekebishana, ni hatari zaidi kuwa na jamii ya dini moja sababu nyote mnajihisi mpo sahihi na kila m'moja anajiona anajua kumshinda mwenzake so mizozo na kupigana ni lazima. Ila dini tofauti kunakuwa na mipaka mtu anajua kabisa hii sio dini yangu pengine kuna vitu sivijui kundani kuhusu wengine.
Ni kama ndugu wa familia moja kugombania urithi hutokea sana ila ndugu wa familia moja na wa nje kugombana ngumu sababu ya mipaka.
One love.