Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

siku ile amejitwalia madaraka salamu ya kwanza ya pongezi ilitoka Oman au haukuwa ukifuatilia?
Kampeleka ndugu yake awe balozi wa nchi yetu huko kwa wajomba zake anakoficha hela wanazotuibia!! Huyu mama jangili kweli kweli.
 
Kiswahili kinakupiga chenga? Wapi nimesoma kwa jazba?

Nimekuuliza hayo mamlaka kamilii mnapewaje? Mnapewa lini? Mnataka kuyadai lini? Msipopewa mnafanyaje?

Nyerere alishakufa toka 1999, waliobaki ni nyie chukueni hayo mamlaka au muyadai mpaka mpewe wala hakuna kujificha kwenye kichaka cha nyerere

Mimi sio sehemu ya utawala hivyo siitawali Zanzibar, pia sijawahi kulialia kuhusu zanzibar. Sijawahi kuona faida wala hasara ya muungano na Zanzibar. Matokeo yoyote kwangu ni sawa. Hoja yangu kwako ilikua pale uliposema Zanzibar ni wastaarabu ndio nikaja na hizo hoja
Kufa kwa Nyerere sio hoja hoja ni mifumo aliyoisimika katika Serikali hii miaka 20 ya utawala wake kaua na kuwafunga wote waliokuwa na fikra za kujitenga na Tanganyika na kutaka mamlaka kamili ya Zanzibar hadi leo kifo cha Abeid karume kina utata wa nani kahusika na mauaji yale
 
Nimekuuliza huo ustaarabu Zanzibar uliuona lini ikiwa tayari unasema Zanzibar imeshaathiriwa na muungano toka 1964?
Wapewe mamlaka kamili wajitenge na mafisadi ccm uone ustaarabu wao uko wapi kwa sasa huwezi kuuona kwa akili zako hizo za kitanganyika

Sasa Zanzibar Ina Uhuru gani hadi wazuie mafisadi Bank kuu ipo Tanganyika, mahakama kuu ipo Tanganyika, TRA ipo Tanganyika, Jeshi la wananchi na jeshi la ulinzi wa raia lipo Tanganyika

Rais wanapangiwa awe nani kwa wakati gani hapo watatoboa kweli
 
Kufa kwa Nyerere sio hoja hoja ni mifumo aliyoisimika katika Serikali hii miaka 20 ya utawala wake kaua na kuwafunga wote waliokuwa na fikra za kujitenga na Tanganyika na kutaka mamlaka kamili ya Zanzibar hadi leo kifo cha Abeid karume kina utata wa nani kahusika na mauaji yale
Kwa hiyo mnasubiri nyerere afufuke aje kuwarudishia hayo mamlaka?
Nyerere hayupo, karume hayupo, kazi ni kwenu kudai mamlaka nachochote mnachotaka, msipodai basi msubirini endeleeni kumlaumu nyerere na msubiri afufuke aje kuwapa mamlaka
 
Wapewe mamlaka kamili wajitenge na mafisadi ccm uone ustaarabu wao uko wapi kwa sasa huwezi kuuona kwa akili zako hizo za kitanganyika

Sasa Zanzibar Ina Uhuru gani hadi wazuie mafisadi Bank kuu ipo Tanganyika, mahakama kuu ipo Tanganyika, TRA ipo Tanganyika, Jeshi la wananchi na jeshi la ulinzi wa raia lipo Tanganyika

Rais wanapangiwa awe nani kwa wakati gani hapo watatoboa kweli
Nimekuuliza hayo mamlaka wanasubiri kupewa na nani? Na wanapewa lini?

Kama ustaarabu kwa sasa haupo mpaka kuwe na utengano wa muungano iweje ukasema ni wastaarabu?
Swali la lingine ni nchi gani wana huo ustaarabu unaousema?? Au uliwahi kuona nchi gani huo ustaarabu?
 
Kwa hiyo mnasubiri nyerere afufuke aje kuwarudishia hayo mamlaka?
Nyerere hayupo, karume hayupo, kazi ni kwenu kudai mamlaka nachochote mnachotaka, msipodai basi msubirini endeleeni kumlaumu nyerere na msubiri afufuke aje kuwapa mamlaka
2001 wazanzibari walidai utaifa wao matokeo yake wakapewa jina la ugaidi na udini wengi waliuliwa na mkapa wengine wakafungwa maisha na jeshi la Tanganyika ndio lililotumika kuwanyamazisha kwa kuwaua ndio maana hizi kelele zenu za kudai utanganyika wanaziangalia tu

Utofauti ni kuwa wanaodai Tanganyika safari hii na kuinjinia maandamano hawaitwi MAGAIDI ndio nashangaa mimi
 
Humu jukwaa kuna tuhuma ambazo Samia Suluhu anatupiwa ya kwamba ni mdini na amejaza waislamu katika wateule wake sasa najiuliza udini wa Samia uko wapi? Au udini wa Samia anaufanyia wapi?

Mbona nikiangalia kati wateule wake kati ya wakristo na Waislamu naona wakristo ni wengi sana kwa maana kuna idadi kubwa ya wakristo Kati wateule wake kuliko waislamu?

Je, udini wa Samia uko wapi? Na mbona kiongozi akiwa muislamu hizi kelele za udini ni nyingi sana kuliko akiwa wa dini nyingine?

Mimi nauliza tu wala sina maana mbaya uzi uachwe.
Upo kwa masheik machawa
 
2001 wazanzibari walidai utaifa wao matokeo yake wakapewa jina la ugaidi na udini wengi waliuliwa na mkapa wengine wakafungwa maisha na jeshi la Tanganyika ndio lililotumika kuwanyamazisha kwa kuwaua ndio maana hizi kelele zenu za kudai utanganyika wanaziangalia tu

Utofauti ni kuwa wanaodai Tanganyika safari hii na kuinjinia maandamano hawaitwi MAGAIDI ndio nashangaa mimi
Kwa hiyo baada ya 2001 mmeacha kudai? Mnasubiri mje kupewa kwenye sahani?

Jambo lolote la haki hupiganiwa bila kujali madhala yatakua kiasi gani, Taleban alikomaa na marekani kwa miaka mingi
Palestine miaka 70 sasa anakomaa na Israel. Uitwe gaidi au mhaini hayo hayajalishi, wewe kama unajua hiyo ni haki yako basi idai
 
Kwa hiyo baada ya 2001 mmeacha kudai? Mnasubiri mje kupewa kwenye sahani?

Jambo lolote la haki hupiganiwa bila kujali madhala yatakua kiasi gani, Taleban alikomaa na marekani kwa miaka mingi
Palestine miaka 70 sasa anakomaa na Israel. Uitwe gaidi au mhaini hayo hayajalishi, wewe kama unajua hiyo ni haki yako basi idai
Wapigane ili wagundue nini na sasa hivi vilio vinasikika upande wa pili ni zamu ya waandamanaj kuipigania Zanzibar awamu hii wao wanakula urojo tu wakisubiri mamlaka kamili bila hata ya kutoka jasho achilia mbali kutoka damu
 
Humu jukwaa kuna tuhuma ambazo Samia Suluhu anatupiwa ya kwamba ni mdini na amejaza waislamu katika wateule wake sasa najiuliza udini wa Samia uko wapi? Au udini wa Samia anaufanyia wapi?

Mbona nikiangalia kati wateule wake kati ya wakristo na Waislamu naona wakristo ni wengi sana kwa maana kuna idadi kubwa ya wakristo Kati wateule wake kuliko waislamu?

Je, udini wa Samia uko wapi? Na mbona kiongozi akiwa muislamu hizi kelele za udini ni nyingi sana kuliko akiwa wa dini nyingine?

Mimi nauliza tu wala sina maana mbaya uzi uachwe.
Kama huwezi kuona hata vitu vidogo kama hivyo basi unamatatizo ya ubongo
 
Wapigane ili wagundue nini na sasa hivi vilio vinasikika upande wa pili ni zamu ya waandamanaj kuipigania Zanzibar awamu hii wao wanakula urojo tu wakisubiri mamlaka kamili bila hata ya kutoka jasho achilia mbali kutoka damu
Kwa hiyo Zanzibar inasubiri mamlaka kamilii? Kama ni hiivyo sasa mbona ulikua unalaumu? Mi nilijua bado hamjafanikiwa, yani umeleta mjadala mrefu kwa kitu ambacho almost mshafanikiwa
 
Kwa hiyo Zanzibar inasubiri mamlaka kamilii? Kama ni hiivyo sasa mbona ulikua unalaumu? Mi nilijua bado hamjafanikiwa, yani umeleta mjadala mrefu kwa kitu ambacho almost mshafanikiwa
Nalaumu nini?

Nilichosema ni kuwa Zanzibar ikipata mamlaka kamili ndani ya miaka 20 inatoa misaada kwa Tanganyika
 
hama uislam


Mimi ni Muislam, na ninaipenda Dini yangu na sitakuridhisha wewe kafiri na kukufurahisha. Nitaendelea kuwa katika Uislam. Ninajikinga kwa Allah kutokana na Ridda, ninajikinga kwa Allah kutokana na ukafiri na ushirikina na ninamuomba Allah Anifishe katika Uislam na Sunnah, Aamiin.


Allah Alishatuambia kuhusu watu kama wewe

ayat 120 from Surah Al-Baqarah
﴿وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ﴾
[ البقرة: 120]

Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
Back
Top Bottom