Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

Udini wake upo pale anapojaribu kujitetea tuhuma dhidi ya uongozi wake kuwa anachukiwa sababu ya dini yake.
Watu wanahoji matendo ya ukandamizwaji haki, utekaji na kuuwa watu hovyo 29/10 yeye hajibu hizo hoja analeta hoja ya dini yake.
Namheshimu Sana, na nimemtetea mwanawe kufanya biashara, nimekemea wanaomkosoa kwa kumtukana. Ila sitaacha kumkosoa kwa kutowadhibiti wabadhirifu wa mali za umma na wauwaji na watekaji.
Okay! Kumbe ndiyo tafsiri ya udini? Ok ok
 
Humu jukwaa kuna tuhuma ambazo Samia Suluhu anatupiwa ya kwamba ni mdini na amejaza waislamu katika wateule wake sasa najiuliza udini wa Samia uko wapi? Au udini wa Samia anaufanyia wapi?

Mbona nikiangalia kati wateule wake kati ya wakristo na Waislamu naona wakristo ni wengi sana kwa maana kuna idadi kubwa ya wakristo Kati wateule wake kuliko waislamu?

Je, udini wa Samia uko wapi? Na mbona kiongozi akiwa muislamu hizi kelele za udini ni nyingi sana kuliko akiwa wa dini nyingine?

Mimi nauliza tu wala sina maana mbaya uzi uachwe.
-Udini
-Nepotism
-Uzanzibari
Just cut the hypocrisy hilo liko katika kila nyanja na humu JF lilishajadiliwa kwa kina na mifano halisi, muhimu hapa kwanza ni kuuvunja huu muungano unaofaidisha upande mmoja yanayobaki tutayamaliza wenyewe kama Watanganyika. Mizanzibari imejazana kila sekta na katika mambo hata yasiyohusu muungano, inamiliki ardhi everywhere ukijaribu kwao hawawezi kukukubalia hivyo tuunvunje huu muungano wa kikanjanja Samia akatawale kwao huko tuone kama watamkubali.
 
Swali je udini wake uko wapi?
Hakuna Rais hata mmoja ambaye amewahi kusema Nchi hii ina udini, kwa mara ya kwanza- in record, Rais -aliyejisimika kwa wizi wa kura alisimama akasema TEC wanatoa wraka kwa sababu ya Dini yake.

Rais mwingine gani amewahi kusema hivyo? Huyu Rais wa kulazimisha alisema kwa wale wazee njaa wa Dar
 
Humu jukwaa kuna tuhuma ambazo Samia Suluhu anatupiwa ya kwamba ni mdini na amejaza waislamu katika wateule wake sasa najiuliza udini wa Samia uko wapi? Au udini wa Samia anaufanyia wapi?

Mbona nikiangalia kati wateule wake kati ya wakristo na Waislamu naona wakristo ni wengi sana kwa maana kuna idadi kubwa ya wakristo Kati wateule wake kuliko waislamu?

Je, udini wa Samia uko wapi? Na mbona kiongozi akiwa muislamu hizi kelele za udini ni nyingi sana kuliko akiwa wa dini nyingine?

Mimi nauliza tu wala sina maana mbaya uzi uachwe.
Kwanini anataka kumuua Fr Kitima? Jaribio la kwanza lilifeli. Kwanini anawainda kina Gwajima na Wachungaji wake? Kwanini Kanisa la Gwajima lilifungiwa?
 
Swali langu lipo kwenye udini najua anafanya mambo ya kutisha sana ila kusema ni udini ni uongo mkubwa
Angalia idara nyeti zote ndani ya TPDF na TISS, angalia idara nyeti zote ndani serikali na hilo uliangalie in proportion with the educated and capable population japo imejaa zaidi kubeba Wazanzibari na kuwaminya Watanganyika.
 
Kuna watu humu jukwaani wanasema ni mdini udini wake uko wapi?
Mkuu, unaweza kuleta uthibitisho wa hao wanaosema ni mdini?

Au na wewe ni miongoni watanzania wajinga wachache wanaotaka viongozi watetewe kutokana na dini zao, naona kama kuna ajenda unaisukuma.

Binafsi sijawahi kuona mtu anasema huyo kiongozi ni mdini bali nimewahi kuona wajinga wachache wanaotaka tutetee maovu kwasababu kiongozi aliyepo anatoka katika dini yetu.
 
Hao ni watanzania, watalalamikia kitu fulani, sasa waulize je mnasababu jibu hawana

Nimesoma comments nikitarajia kuona majibu kuhusu udini wa Samia,lakini hakuna hata mmoja aliyenyoosha maelezo, ni ukanjanja tu

Amani ni tunu yetu basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana

epuka mazingira yote ambayo yatakusababishia matatizo
 
Yeoyote anaekuja na hoja za udini tambua kwamba hana uwezo wa kujibu hoja zinazoibuliwa na watu wenye akili.
Mtu akishindwa kujibu hoja anakambilia kwenye udini kama kichaka chao cha kujificha.
 
Udini wake upo pale anapojaribu kujitetea tuhuma dhidi ya uongozi wake kuwa anachukiwa sababu ya dini yake.
Watu wanahoji matendo ya ukandamizwaji haki, utekaji na kuuwa watu hovyo 29/10 yeye hajibu hizo hoja analeta hoja ya dini yake.
Namheshimu Sana, na nimemtetea mwanawe kufanya biashara, nimekemea wanaomkosoa kwa kumtukana. Ila sitaacha kumkosoa kwa kutowadhibiti wabadhirifu wa mali za umma na wauwaji na watekaji. Pia nitamkosoa kwa uteuzi wake kwa baadhi ya watu inaonesha upendeleo(nepotism) kwa kujuana au undugu kuliko kuangalia sifa.
Warioba alisema teuzi za Samia Zina harufu ya udini,hii ilikua awamu ya kwanza
 
Hakuna Rais hata mmoja ambaye amewahi kusema Nchi hii ina udini, kwa mara ya kwanza- in record, Rais -aliyejisimika kwa wizi wa kura alisimama akasema TEC wanatoa wraka kwa sababu ya Dini yake.

Rais mwingine gani amewahi kusema hivyo? Huyu Rais wa kulazimisha alisema kwa wale wazee njaa wa Dar
Wakati wa kikwete ulikua bado unaoga nje?.. nyerere wakati anajitetea kuhusu udini?.. nyerere akiwa mstaafu alipinga wapinzani wa serikali ndani ya serikali kwa udini wao kisa rais si wa dini yao
 
Angalia idara nyeti zote ndani ya TPDF na TISS, angalia idara nyeti zote ndani serikali na hilo uliangalie in proportion with the educated and capable population japo imejaa zaidi kubeba Wazanzibari na kuwaminya Watanganyika.
Lete proportions hizohizo kwa Marais wote
 
Humu jukwaa kuna tuhuma ambazo Samia Suluhu anatupiwa ya kwamba ni mdini na amejaza waislamu katika wateule wake sasa najiuliza udini wa Samia uko wapi? Au udini wa Samia anaufanyia wapi?

Mbona nikiangalia kati wateule wake kati ya wakristo na Waislamu naona wakristo ni wengi sana kwa maana kuna idadi kubwa ya wakristo Kati wateule wake kuliko waislamu?

Je, udini wa Samia uko wapi? Na mbona kiongozi akiwa muislamu hizi kelele za udini ni nyingi sana kuliko akiwa wa dini nyingine?

Mimi nauliza tu wala sina maana mbaya uzi uachwe.
Hili swali ulilo uliza ni la kweli au unatania tu ? Kwa sababu Samia si mdini tu bali ni zaidi ya mdini ...
Tundu lissu yupo ndani hadi leo anatuhumiwa kwa uhaini pasipo siraha wala bomu wala kuchinja mtu ....ila ana shitakiwa kuwa ni Haini kwa sababu alisema kitawaka .....mashekh wamesikika wazi hadi mmoja katamka mbele ya Rais na mbele ya wakristo tena ndani ya kanisa kwa watu wachinjwe akiwalenga wakristo, hakuna shekhe aliye kamatwa wala kuhojiwa...Samia kafungia makanisa kisa ngwajima kauliza watekaji ni kina nani? na kupinga watekaji? Samia ana ajenda zaidi ya udini ...nayo ni kuamini kuwa tanganyika ni koloni halali la WAARABU.
 
Hili swali ulilo uliza ni la kweli au unatania tu ? Kwa sababu Samia si mdini tu bali ni zaidi ya mdini ...
Tundu lissu yupo ndani hadi leo anatuhumiwa kwa uhaini pasipo siraha wala bomu wala kuchinja mtu ....ila ana shitakiwa kuwa ni Haini kwa sababu alisema kitawaka .....mashekh wamesikika wazi hadi mmoja katamka mbele ya Rais na mbele ya wakristo tena ndani ya kanisa kwa watu wachinjwe akiwalenga wakristo, hakuna shekhe aliye kamatwa wala kuhojiwa...Samia kafungia makanisa kisa ngwajima kauliza watekaji ni kina nani? na kupinga watekaji? Samia ana ajenda zaidi ya udini ...nayo ni kuamini kuwa tanganyika ni koloni halali la WAARABU.
Maalim seif nawenzie waliwekwa ndani muda mrefu kwa kosa la uhaini
 
Mtu mwenye hofu ya Mungu na mshika dini asingeruhusu watu wauliwe kinyama na baadhi miili yao kuzikwa kwenye makaburi ya halaiki…

Hivi nyie Waislamu mnaomtetea kwa vigezo vya dini, ndio dini inavyosema hivi?

Uislamu unasemaje kuhusu kusitiri miili ya watu waliotangulia mbele ya haki?

Wanatakiwa kulundikwa kwenye stretchers kama digidigi?
 
Back
Top Bottom