Hivi Robert Kisena ni nani?

Hivi Robert Kisena ni nani?

Hapana mkuu huu ni uongo...Kisena kamaliza 1991..na alikuwa anatumia Jokala Kisena hili la Robert Kisena sijui hata lilitokea wapi tu. Mimi naingia Nsumba form one mwaka 1990 yeye anaingia kama Form four...Nilikuwa naye karibu kiasi maana mwenyeji wangu ambaye alikuwa form two walikuwa marafiki sana ingawa baada ya Kisena kupata hela kama alimtupa vile. Jamaa hakuwa wa kawaida kivile maana kama akili za darasani alikuwa vzuri sana na kwenye suala la kujieleza usimpe nafasi atakuacha....Headmaster Kibona pamoja na ukorofi wake kwa Kisena alikwama....kila akitaka kumfukuza shule jamaa akimfuata ofisini kwake wanayamaliza....Kisena alikuwa anajihamini sana maana Mr Kibona alikuwa haingiliki hv hv ila mshikaji akishafanya noma zake alikuwa anamfuata Mr Kibona either ofisini kwake au hata nyumbani kwake...Pamoja na utukutu wake ila walimu walikuwa wanampenda maana alikuwa kichwa.
Mkuu huu siyo uongo mm ni mwananyati,nimeingia Nsumba 1993 Robert Kisena alihamia tukiwa form two.Tulimkuta Mkama Ndaro chairman wa shule Mr. Kibona,Jesus,Biye nk walikuwepo.Labda huyu Robert Kisena niliyesoma naye ni mwingine.Huyu hakuwa Kichwa wala hakuwa mkorofi. Mr Kibona RIP alikuwa mtu kwelikweli.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
bora daladala
No thanks, unajua karaha za daladala wewe? Kimara hadi posta unatembea kwa zaidi ya masaa mawili, katikati ya kubanana, kelele na matusi ya utingo na makonda, joto na kadhalika! Ni wazi wewe huwezi kuwa jaji kwa kuwa you have irrational behaviour, and certainly judgement.
 
Mkuu huu siyo uongo mm ni mwananyati,nimeingia Nsumba 1993 Robert Kisena alihamia tukiwa form two.Tulimkuta Mkama Ndaro chairman wa shule Mr. Kibona,Jesus,Biye nk walikuwepo.Labda huyu Robert Kisena niliyesoma naye ni mwingine.Huyu hakuwa Kichwa wala hakuwa mkorofi. Mr Kibona RIP alikuwa mtu kwelikweli.




Sent using Jamii Forums mobile app



Mkuu umenikumbusha mbali kweli kweli..Mkama Ndaro classmate Wangu...huyo Kisena uliyesoma Naye ni mwingine...huyu tunayemuongelea ni Kisena aliyemaliza nsumba 1991 Mkuu Wangu...labda majina tu yanafanana...Robert Kisena aka Jokala Kisena wa Simon Group ni noma Mkuu Wangu...Duuu...Jesus alikuwa maana sana kwangu Alishaniepushaga na noma la sanspaa...Kibona alikuwa amenikalia kooni Jesus akaninasua...
 
Mkuu umenikumbusha mbali kweli kweli..Mkama Ndaro classmate Wangu...huyo Kisena uliyesoma Naye ni mwingine...huyu tunayemuongelea ni Kisena aliyemaliza nsumba 1991 Mkuu Wangu...labda majina tu yanafanana...Robert Kisena aka Jokala Kisena wa Simon Group ni noma Mkuu Wangu...Duuu...Jesus alikuwa maana sana kwangu Alishaniepushaga na noma la sanspaa...Kibona alikuwa amenikalia kooni Jesus akaninasua...
Kama chairman Mkama Ndaro ni clsssmate wako basi uliniacha firm one 1993.Nitakuwa nakufahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kasomea nsumba sekondari na alimaliza elimu ya sekondari ya chini (o level) mwaka 1991 kisha akajiunga na elimu ya sekondari ya juu (A level) mirambo sekondari mwaka huohu lakini hakumaliza. Alipotea shule kwenye mazngra ya kutatanisha na alifanya mtihani wa form 6 pugu sekondar. kwa ufupi ana Akili sana. Na ni mtu mjanja mjanja....
Amalize O-level mwaka 1991 na aanze A-level mwaka huo huo? Mtihani wa form 4 walikuwa wakifanya mwezi wa ngapi, matokeo yakitoka mwezi gani na masomo ya A-level yakianza mwezi wa ngapi?
 
Robert Kisena kama ni huyu wa Nsumba nilikuwa naye darasa moja.Nilikuwa B yeye C na tulimaliza1996.Alikuwa ni msukuma Mnyantuzu wa kawaida.Hayo mengine mbona siyajui? Uchaguzi wa 1995 bado alikuwa form three.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana pamoja na picha iliyowekwa haujamtambua kama ni yeye mliyesoma nae? Kuna mwingine kasema kamaliza form 4 hapo hapo Nsumba mwaka 1991.
 
Mwelezee na Charles newe
Kisena jamaa tapeli sana huyu bwana mdogo.Aliichukua ile Nyanza na NewEra Ginnery.Ameibia sana wakulima wa Pamba kuanzia Meatu huko mpaka Maswa.

Ni tapeli ambaye anakudhurumu,ukimfuata unaweza mpiga kwa blabla zake...ukimpiga anajifuta anasema basi tumeshamalizana.Kajamaa fulani kasanii sana,na kwa kweli kalikuwa hakagusiki.

Mara ya mwisho alikuwa akikaa Flat moja hivi pale Upanga,nilionana naye last time 2014 nikiwa Tz.Utapeli wake mpaka kwa Wamama wenye hela,kawaliza sana.

Uchaguzi Mkuu 2010 alienda na mtoto wa Rais mmoja mstaafu kwenye kura za maoni jimbo la Maswa kwa Shibuda,akashinda kwa nguvu kura za maoni.Huyu ndio alifanya Shibuda apigwe chini 2010 na akahamia CHADEMA akapewa jimbo.Kosa lake Shibuda ni kutangaza nia ya kugombea Urais 2010,wenye chama wakamuwekea Kisena.

Alimtapeli Muhindi wa Eicha na Tata alipoziingiza kwenye daladala za UDA.Huyu ndio anaivuruga UDART mpaka sasa haieleweki.Kifupi haka ni kahuni fulani kalikoharibu sana sekta ya pamba na Usafiri wa UDA.

Kwa hili,mimi nipo nyuma ya Amri Jeshi Mkuu John Joseph Pombe Magufuli.Hawa kina Kisena wameiba sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kibona, Begasha, Magambo....long time


Yeah Long time aisee....Kuna yule Mwalimu wa Kiswahili (form four) alikuwa anaitwa Budigira sijui...yule nilikwaruzana naye sana kwenye somo la kiswahili maana nilikuwa silipendi halafu yeye anataka nilipende...basi kila akiingia darasani kufundisha akiuliza swali ananipoint mm nijibu...nikishindwa anamind balaa...alikuwaga ananiambia unawezaje hisabati unashindwa kiswahili maana hisabati nilikuwa vzuri sana. (masomo ya science kwa ujumla)
 
Yeah Long time aisee....Kuna yule Mwalimu wa Kiswahili (form four) alikuwa anaitwa Budigira sijui...yule nilikwaruzana naye sana kwenye somo la kiswahili maana nilikuwa silipendi halafu yeye anataka nilipende...basi kila akiingia darasani kufundisha akiuliza swali ananipoint mm nijibu...nikishindwa anamind balaa...alikuwaga ananiambia unawezaje hisabati unashindwa kiswahili maana hisabati nilikuwa vzuri sana. (masomo ya science kwa ujumla)
Kuna yule mwalimu mwingine mhaya alikuwa anakaa pale chini ya uwanja wa pale jirani na chuo cha "Shosho" alikuwa anaitwa nani vile? Kuna wakati alinunua li pickup moja bovu sana likimtesa kila siku kusukuma pale uwanjani yeye na familia yake ili liwake. Kwake alikuwa kila jioni anauza maziwa na vitafunwa. Nasikia yeye na mkewe baadae walifariki.
 
Back
Top Bottom