Ile kesi Chenge aliichukua tu,ilikuwa ya mkewe na ilikuwa Traffic Case ndio maana aliona rahisi kuchomoka.
mke wake aliwagonga wale vimada wa mzee akatelekeza gari,baada ya kufuatilia ikaonekana gari iliyogonga ni ya Chenge...Kwa hiyo case inakuwa ya mmiliki wa gari ambalo limesababisha ajali.
Ndio maana utaona hata mzazi wa yule binti mmoja alikiri kuwa anafahamu binti yake alikuwa ana mahusiano na Chenge.
Yule binti alimkamata sana mzee,alikuwa afurukuti...Mwenye nyumba akaamua kumaliza ubishi kwa kuipandia bajaji.Watu wana pesa sana lkn wanakosa amani ya moyo.
Kuna mtu analala mlango wazi na milo miwili...Lkn ni furaha na amani kwa mkewe na watoto ndani ya nyumba.