Hivi Robert Kisena ni nani?

Hivi Robert Kisena ni nani?

Uko sahihi Kabisa Mkuu
Jamaa hakuwa kawaida upande wa Mpunga kama mnavyofikiria. Alikuwa vizuri na ni mpambanaji wa kitambo sana. Tena yeye ndio alimfundisha mishe mishe na kumuamsha Riz. Ulizaliwa watu wanaomfahamu watakueleza mkuu. Riz alikuwa kawaida kabla hajakutana na Albert. Albert ndio amemuweka Riz kwenye Ramani.
Baba yake Albert alikuwa Mkuu wa Majeshi Gen. Ernest M. Kiaro (1988-1994).

MTC | 101|
 
Albert yuko vzr kitambo tu hata kabla jk ahajaingia luthuli ,ana historia nzuri tu ya kuvutia ,ni mganda mixer mkurya

Muislamu muda pia ,na ndio mfadhili wa radio Fulani hivi ya kiislamu ,ana apartment kadhaa mjini

Alihamia UK kwa sababu maalum

MTC | 101|
Alikua ana mpunga kama aliokua nao baada ya kumuia mtoto wa JK mkuu?

Ndio maana nikaandika alikua na mpunga wa kawaida.
 
Ni swala tano Sana ,mkimya na mpole mno
Huyo jamaa ana hela kitambo sana sema sio mtu wa makeke mengi. Ni mmoja wa vijana wa mjini waliokuwa na pesa miaka hiyo ya nyuma. Alikuwa boss wa kina Davis Mosha na wengine wengi. Watu wengi hawamfahamu kwa sababu jamaa ni mtu low key sana. Wengi mmemfahamu baada ya kumuoa Dr. Salama.

MTC | 101|
 
Albert yuko vzr kitambo tu hata kabla jk ahajaingia luthuli ,ana historia nzuri tu ya kuvutia ,ni mganda mixer mkurya

Muislamu muda pia ,na ndio mfadhili wa radio Fulani hivi ya kiislamu ,ana apartment kadhaa mjini

Alihamia UK kwa sababu maalum

MTC | 101|
Asante sana mkuu kwa kuweka sawa taarifa. Hawa vijana wamemjua Albert juzi wanakuja kupotosha humu JF na kuandika habari za UONGO. Eti aliokotwa na Mzee Kiaro vitani uganda! Wakati ni mtoto wa Meja Kiaro aliyezaa na mganda.
Ana maghorofa kitambo tu hapa mjini. Ndio maana nikashangaa jamaa mng'ato anavyohorojoka Eti amepata hela juzi enzi za JK.
 
Alikua ana kabla ya kua na salama ,mpunga wa maana tu



MTC | 101|
Aisee kwa mipunga hapa town alikua ni msela mwenye mpunga wa kawaida na wala hakua alwatani wa kiasi hicho kama baada ya ma deal kunoga mixer na za escrow ikawa ni balaa zaidi.
 
Asante sana mkuu kwa kuweka sawa taarifa. Hawa vijana wamemjua Albert juzi wanakuja kupotosha humu JF na kuandika habari za UONGO. Eti aliokotwa na Mzee Kiaro vitani uganda! Wakati ni mtoto wa Meja Kiaro aliyezaa na mganda.
Ana maghorofa kitambo tu hapa mjini. Ndio maana nikashangaa jamaa mng'ato anavyohorojoka Eti amepata hela juzi enzi za JK.
Aisee itakua alikua tajiri kweli baada ya kuanza kuuziana na mbowe mafuta ya 'taa' kwny ile petrol station,hahah.
 
Hahahaha, namjua Albert alikua Don Mkuu ,yy ndio alikua muagizaji na mnunuzi wa ......uzuri nimekua na salama na Riz ,so namjua huyo mchizi Kitambo

Hizi dili zingine za hela zimekuja baadae
Aisee kwa mipunga hapa town alikua ni msela mwenye mpunga wa kawaida na wala hakua alwatani wa kiasi hicho kama baada ya ma deal kunoga mixer na za escrow ikawa ni balaa zaidi.

MTC | 101|
 
Mmoja wa watu ambao walichangia fedha Mzee K za uchaguzi na yuko na Mzee K toka yuko mambo ya nje

Na ndio maana alipopeleka posa Mzee K alikataa ,ikabidi zipelekwe bagamoyo

Na yule Sheikh mtabiri ikabidi ajipe kazi kumuomba Mzee K
Namfahamu jamaa kitambo mkuu. Alikuwa mtu low key sana na hapendi makuu. Ndio maana nashangaa hawa vijana wa vijiweni wanapokuja humu na kupotosha watu kuhusu Albert.

MTC | 101|
 
Hahahaha

Kawaida tu Mkuu, ni kuelimishana tu
Asante sana mkuu kwa kuweka sawa taarifa. Hawa vijana wamemjua Albert juzi wanakuja kupotosha humu JF na kuandika habari za UONGO. Eti aliokotwa na Mzee Kiaro vitani uganda! Wakati ni mtoto wa Meja Kiaro aliyezaa na mganda.
Ana maghorofa kitambo tu hapa mjini. Ndio maana nikashangaa jamaa mng'ato anavyohorojoka Eti amepata hela juzi enzi za JK.

MTC | 101|
 
Mmoja wa watu ambao walichangia fedha Mzee K za uchaguzi na yuko na Mzee K toka yuko mambo ya nje

Na ndio maana alipopeleka posa Mzee K alikataa ,ikabidi zipelekwe bagamoyo

Na yule Sheikh mtabiri ikabidi ajipe kazi kumuomba Mzee K

MTC | 101|
Nafikiri jambo kubwa lililopelekea Mzee K kukataa posa ni kutokana alimchukulia Albert kama kijana wake na mtu ambaye alimuamini katika shughuli zake kitambo. Albert ni mpambanaji na very Loyal. Ndio maana aliweza kufanikiwa katika umri mdogo na alikuwa anafanya biashara kubwa wakati huo kwa umri wake. Jamaa ni kichwa.
Ila Dr. Salama ni mke kaka. Unamjua umekua nae huyo binti na tabia zake. Nafikiri Albert anampenda kwa dhati huyo binti. Ukiwakuta pamoja huwa wana furaha genuine kutoka moyoni.
 
Yes Albert ni kichwa ,Dr na Albert wanapenda sana sana, na Dr ana Roho nzuri mno toka shule primary mpk secondary

Alishtuka sana kujua Dr anaposwa na Albert ,na illkua ngumu mno hii kitu. Unajua Mzee K ilimsumbua sana ,na mbaya Dr akapata kitumbo ,hapo ndio ikawa doh ...but inshalaah mwisho wa siku mambo yako poa ,wana enjoy life UK huko

Ahsante, niwaache muendelee na nyuzi khs Kisena
Nafikiri jambo kubwa lililopelekea Mzee K kukataa posa ni kutokana alimchukulia Albert kama kijana wake na mtu ambaye alimuamini katika shughuli zake kitambo. Albert ni mpambanaji na very Loyal. Ndio maana aliweza kufanikiwa katika umri mdogo na alikuwa anafanya biashara kubwa wakati huo kwa umri wake. Jamaa ni kichwa.
Ila Dr. Salama ni mke kaka. Unamjua umekua nae huyo binti na tabia zake. Nafikiri Albert anampenda kwa dhati huyo binti. Ukiwakuta pamoja huwa wana furaha genuine kutoka moyoni.

MTC | 101|
 
Yes Albert ni kichwa ,Dr na Albert wanapenda sana sana, na Dr ana Roho nzuri mno toka shule primary mpk secondary

Alishtuka sana kujua Dr anaposwa na Albert ,na illkua ngumu mno hii kitu. Unajua Mzee K ilimsumbua sana ,na mbaya Dr akapata kitumbo ,hapo ndio ikawa doh ...but inshalaah mwisho wa siku mambo yako poa ,wana enjoy life UK huko

Ahsante, niwaache muendelee na nyuzi khs Kisena

MTC | 101|
Pamoja sana mkuu. Allah atufanyie wepesi waja wake tuwe na mwisho mwema.
Mimi nilikuwa mpitaji tu katika huu Uzi mkuu. Ila nilipoona upotoshaji nikachangia ili kuweka taarifa sawa kuhusu Albert kwa sababu ni mtu tunafahamiana kitambo sana na kina Salum wote.
 
Pamoja sana mkuu. Allah atufanyie wepesi waja wake tuwe na mwisho mwema.
Mimi nilikuwa mpitaji tu katika huu Uzi mkuu. Ila nilipoona upotoshaji nikachangia ili kuweka taarifa sawa kuhusu Albert kwa sababu ni mtu tunafahamiana kitambo sana na kina Salum wote.
Hahahaha, nami nilipita kuchangia kdg kuweka Sawa, siku njema Mkuu

MTC | 101|
 
Back
Top Bottom