Aliyewagonga wale wadada wawili hakuwa Chenge bali alikuwa ni Mke wake. Chenge alinunua kesi ili kumnusuru mamsapu.
Hiyo issue ilihusika na Wivu wa kimapenzi. Chenge alikuwa anatafuna mmoja wa hao madada waliokuwa kwenye Bajaj. Na siku ya tukio wale madada walikuwa "chimbo" moja mitaa ya Oyster Bay wakijiachia na mheshimiwa Chenge. Mama Chenge aliupata mtonyo na akaenda kuwalia timing sehemu akiwa na wapambe.
Wale wadada walipotoka pale chimbo wakitumia usafiri wa Bajaj mama Chenge aliwafuatilia kwa nyuma...mpaka walipofika maeneo ya pale Morogoro stores/Maisha Club ndipo mama alipopata mwanya na kuitandika ile Bajaj kisawasawa.
Kilichofuata hapo Mzee akanunua kesi na kulipa faini na maisha yakaendelea.
Pumzikeni kwa Amani wahanga wote wa Ajali ile.