Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Kule watu wanafanya kazi kwa masaa hawana muda wa kusubiri kiongozi wa kiafrica apiteThubutu!
Nani atakubali upuuzi huo.
Sana sana patakuwepo na askari wawili watatu kuhakikisha usalama, basi; na hasa kama kuna maandamano ya wananchi wake walioko huko wakipinga siasa zake.