crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
Rais tinubu wa nigeria amezua mjadala nchini humo baada ya kutembea na msafala wenye magari zaidi ya 100.
Msafara huo umezua mjadala nchini humo hasa katika kipindi hiki ambacho ruzuku ya mafuta imeondolewa mara tu alipoingia madarakani.
Rais huyo alikuwa akielekea kwenye sherehe ya eid mjini Lagos siku chache baada ya kuwasili nchini humo kutokea London, Uingereza kwa safari binafsi.
watu walilamika kusimamishwa kwa muda mrefu barabarani kupisha msafara huo.
wiki mbili zilizopita Rais huyo alizua mjadala nchini humo kwa kuongeza gari za zimamoto katika msafara wake.
source: citizen tv kenya
Msafara huo umezua mjadala nchini humo hasa katika kipindi hiki ambacho ruzuku ya mafuta imeondolewa mara tu alipoingia madarakani.
Rais huyo alikuwa akielekea kwenye sherehe ya eid mjini Lagos siku chache baada ya kuwasili nchini humo kutokea London, Uingereza kwa safari binafsi.
watu walilamika kusimamishwa kwa muda mrefu barabarani kupisha msafara huo.
wiki mbili zilizopita Rais huyo alizua mjadala nchini humo kwa kuongeza gari za zimamoto katika msafara wake.
source: citizen tv kenya