Hivi Rais Samia yuko serious kweli katika kuunda Kamati Maalumu ya Corona? Mbona haoneshi mfano wa kutilia maanani ugonjwa huu?

Hiyo Kamati ishauri yote, lkn siyo masuala ya quarantine, yameshapitwa na wakati kwasasa.
Kikubwa tutakachodaiwa ni kutoa figures za waathirika as of now.
Lengo liwe tu kuwa at per na Jumuia ya Kimataifa tu.
Ile pesa ya CDC na WHO tutalamba tutaidirect kwenye kuadvance facilities zetu za Health.
Kwisha.
 

Hili swali la kutaka traveler awe na proof of COVID vaccination litasababisha unnecessary inconvenience. Tafiti zenyewe zinaonesha COVID vaccine inakupa protection ya miezi sita tu. Sasa kama nimechanjwa leo kisha nikawa na safari mwaka ujao, proof of vaccination nitakayoitoa mwaka kesho ina relevance gani, kama protection COVID vaccine imeshaisha kitambo?
 
Wee unataka atoe mipovu kama yule Jamaa yenu ndio ujue yuko serious?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Kwendeni zenu na korona yenu.mwenda zake Ali tackle vizuri issue ya korona.korona ni propaganda tu.Siku huko kwenu ika kwetu ninapoishi sioni watu wakifa hovyooo maisha yanaendelea kama kawa.korona korona kila Siku wimbo huu tu.nyie na wazungu wenu kwendeni huko.korona kwenu na wazungu wenu huko....waonee mfyuuuushxxxy
 
Ile kauli ilikuwa kuwafurahisha tu wanaharakati wa kovidi, ila sitegemei chenjezi yoyote.......kazi kwenu mnaoshangilia mapema
 
"Urithi"

JPM alisema hatuna corona. "Si vema" kubadilisha uelekeo bila kupata ushauri wa kitaalamu kama ugonjwa upo/umerudi (kinyume na alivyosema JPM).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…