ulinzi mdogo sana huo mkuuAcha alindwe, amefanya kazi kubwa, msije mwekea sumu kama mangula.
ulinzi mdogo sana huo mkuuAcha alindwe, amefanya kazi kubwa, msije mwekea sumu kama mangula.
1. Kwanza Kuna yule amevaa Sare ya JWTZ = Mpambe wa Raisi, kawaida kutoka JWTZwe Rwanda haijawai deposit Askari kwa jpm Kuna jikosi maalum Cha JWTZ Cha inteligencia Cha massenary watz kitu Kama hujui Bora ukae kimyaaa🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐
2. Kuna hawa wanavaaga SUTI huwa hawana silaha zinazoonekana = TISS kikosi cha ulinzi wa Raisi (bodyguards)
3. Kuna hawa wengine wana silaha kubwa sana sijawahi ona silaha ya vile uniforms zao zina mabaka madogo madogo = with love from Rwanda
4. Kuna hawa wengine wamevaa uniforms za kama polisi FFU = Polisi kikosi cha ulinzi wa Raisi na kudhibiti umati
5 Wa mwisho ni hawa askari wa kawaida tunakimbizana nao kila siku mtaani wanavaa kofia nyekundu kichwani = FFU Kikosi cha ulinzi wa Raisi na kudhibiti umati
Anakuwaga na camera eeNa kuna dogo mmoja anapenda kweli kunyang'anya wananchi Mic yule nae sijui kasomea nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuache propaganda, wale ni TISS tatizo hatujazoea kuwaona TISS na uniform zao wakilinda viongozi na silaha nje nje. Pale Makumbusho hata wakati wa Kikwete walikuwepo getini pale.kuna mahali tumebishana kidogo kutoana meno, waking'ang'ania ni TISS
nikawaambia kuna wenye mabaka sio wa kwetu wala Mambo ya ndani
Kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS na kuwa IGP hii imekaaje?
Kaa hapo hapo getini MakumbushoTuache propaganda, wale ni TISS tatizo hatujazoea kuwaona TISS na uniform zao wakilinda viongozi na silaha nje nje. Pale Makumbusho hata wakati wa Kikwete walikuwepo getini pale.
Sijui umeandika nini?Kaa hapo hapo getini Makumbusho
mm hii Mada nilishaiacha maana tunafuatana mpaka inbox, na aliyenifuata akijifanya kufanya kazi za TISS nahisi kafukuzwa au ni yule aliyefwariki na Corona nilimlaani
kwa kifupi Rais halindwi na Kitengo kimoja,
hujui lolote soma na fuatilia post # 168 hapo chini ya xng hua
[QUOTE="xng hua, post: 35879097, member: 389236"
ngoja niwasaidie...
raisi analindwa ki mzunguko inaweza kufkia 3 au 4 au na zaidi
first ring ni wale wapembeni yake mda wote wale hawavai uniform
kazi yao ni kumtoa chap eneo la tukio
af kuna ring ya2 ni hao maarufu kama makirikiri
kazi yao ni kukava ring ya1
hao wote ni tiss vip protection
ring ya3 ni hao polisi ffu kitengo cha vip protection nb:ffu wote hupata mafunzo ya medani sawa lkn ukichaguliwa vip protection kuna kozi unaenda na wapo wengi tuu hakuna garantii (utaratibu wa police ni uleule)
hawa hupambana na adui au kumhold msaada ufike.
ring ya 4 ni watoa taarifa na kudili na mtum1 1 kabla hujafika ring ya 3hawa pia hawavai yuniform pia ni mchanganyiko wa tiss na polisi cid au yoyoye mwenye mapenzi mema.
pia wapo swipers hawa hutangulia kabla kupima hali kabla mkuu hajafika siku kadhaa
hawa wanaeza kua wa hapohapo mkoani au hata kutoka hq
raisi analindwa na police na tiss kwa tz. zipo nchi hadi jeshi linamlinda raisi
huyo wa nyuma yake ni mpambe wala ata hausiki na ulinzi tofauti na usaidizi ni........
mwingine aongezee
pia kushika silaha karibu na mkuu lazima uwe umechinguzwa wewe hadi baba ake babu yako😂😁😁 sema uwe mwadilifu mtiii ulie tukuka
kama kuna swali npo hapa.
[/QUOTE
Kama ni wananchi, mbona kile kituo cha LHRC Mbezi Beach kwa ajili ya tallying ya fomu za wakala kilivamiwa na komputa kubebwa?Hawaamini wananchi waliompigia kura.
Ebu nisaidie kuelewa yule jamaa Wa nyuma Wa raisi anatoka kitengo gani cha jeshi au anachaguliwaje,Je sio komandoo? Mi mpaka Leo ndo najuaga yule ni mtu hatari na mwenye mafunzo adhimu kuliko askari yoyote yule.au nikiwa UvCcm na kukimbia mgambo tu napata ile nafasi? Huu upambe sijaelewa mkuu nitoe tongotongo kidogoo...ngoja niwasaidie...
raisi analindwa ki mzunguko inaweza kufkia 3 au 4 au na zaidi
first ring ni wale wapembeni yake mda wote wale hawavai uniform
kazi yao ni kumtoa chap eneo la tukio
af kuna ring ya2 ni hao maarufu kama makirikiri
kazi yao ni kukava ring ya1
hao wote ni tiss vip protection
ring ya3 ni hao polisi ffu kitengo cha vip protection nb:ffu wote hupata mafunzo ya medani sawa lkn ukichaguliwa vip protection kuna kozi unaenda na wapo wengi tuu hakuna garantii (utaratibu wa police ni uleule)
hawa hupambana na adui au kumhold msaada ufike.
ring ya 4 ni watoa taarifa na kudili na mtum1 1 kabla hujafika ring ya 3hawa pia hawavai yuniform pia ni mchanganyiko wa tiss na polisi cid au yoyoye mwenye mapenzi mema.
pia wapo swipers hawa hutangulia kabla kupima hali kabla mkuu hajafika siku kadhaa
hawa wanaeza kua wa hapohapo mkoani au hata kutoka hq
raisi analindwa na police na tiss kwa tz. zipo nchi hadi jeshi linamlinda raisi
huyo wa nyuma yake ni mpambe wala ata hausiki na ulinzi tofauti na usaidizi ni........
mwingine aongezee
pia kushika silaha karibu na mkuu lazima uwe umechinguzwa wewe hadi baba ake babu yako😂😁😁 sema uwe mwadilifu mtiii ulie tukuka
kama kuna swali npo hapa.
Anawaogopa wanyongeHawaamini wananchi waliompigia kura.
anasomea sasa anasomea nn inabidi akaulizwe yeyeEbu nisaidie kuelewa yule jamaa Wa nyuma Wa raisi anatoka kitengo gani cha jeshi au anachaguliwaje,Je sio komandoo? Mi mpaka Leo ndo najuaga yule ni mtu hatari na mwenye mafunzo adhimu kuliko askari yoyote yule.au nikiwa UvCcm na kukimbia mgambo tu napata ile nafasi? Huu upambe sijaelewa mkuu nitoe tongotongo kidogoo...
yule ni JWTZ, anasimama kumlinda Rais wa Nchi (BodyGuard) na wala sio POLISI / FFU wala TISSEbu nisaidie kuelewa yule jamaa Wa nyuma Wa raisi anatoka kitengo gani cha jeshi au anachaguliwaje,Je sio komandoo? Mi mpaka Leo ndo najuaga yule ni mtu hatari na mwenye mafunzo adhimu kuliko askari yoyote yule.au nikiwa UvCcm na kukimbia mgambo tu napata ile nafasi? Huu upambe sijaelewa mkuu nitoe tongotongo kidogoo...
yule ni JWTZ, anasimama kumlinda Rais wa Nchi (BodyGuard) na wala sio POLISI / FFU wala TISS
Rais anapokuwa katika Majukumu mengine km ya Chama chake cha Siasa huyu JW hutamuona
Kumbe Tanzania Kuna S.W.A.T duuh