Hivi Rais analindwa na vikosi vingapi vya askari?

Hivi Rais analindwa na vikosi vingapi vya askari?

Nkusahangaa mbona kila ukiingia wewe ni kupinga tu
TISS hawako hivyo kaa utulie zipo Mada kibao humuhumu sio lazima uvuruge
km unaona tunakufunua acha au potezea tudanganyane
IGP siku hiyo kakamata wote waliokuwa Gate No2 walioona tukio, na NISSAN zilizochomoka moja iliwaka moto Morogoro na waliishia Makao ya Polisi DSM na yupo aliyefariki kuumwa kichwa tu
ipo siku mtafichuliwa kwani mliyetaka kuumuua atarejea na Dereva wake
Kama Rais Msatafu alikiri alidanganywa miaka hiyo hili tukio si la Kigogo
Ona unavyoandika kwa kujichanganya, ni wazi kuwa una andika vitu usivyokuwa na uhakika navyo..

Hadi sasa Jeshi la polisi halijaweka wazi ripoti yake ya uchunguzi, embu acha kupotosha kwa kuokota maneno huko kwenye vijiwe na kisha unavileta hapa moja kwa moja bila hata ya ku reason kujua ukweli ni upi?

What if Mwenyekiti wenu ndio alihusika katika tukio zima la ufyatyani risasi..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kwanza Kuna yule amevaa Sare ya JWTZ = Mpambe wa Raisi, kawaida kutoka JWTZ

2. Kuna hawa wanavaaga SUTI huwa hawana silaha zinazoonekana = TISS kikosi cha ulinzi wa Raisi (bodyguards)

3. Kuna hawa wengine wana silaha kubwa sana sijawahi ona silaha ya vile uniforms zao zina mabaka madogo madogo = with love from Rwanda

4. Kuna hawa wengine wamevaa uniforms za kama polisi FFU = Polisi kikosi cha ulinzi wa Raisi na kudhibiti umati

5 Wa mwisho ni hawa askari wa kawaida tunakimbizana nao kila siku mtaani wanavaa kofia nyekundu kichwani = FFU Kikosi cha ulinzi wa Raisi na kudhibiti umati
Hiyo namba 3 inaniudhi na inaniumiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakujibu kama ifuatavyo.

Anayevalia sare ya JWTZ ni mpambe wake kazi yake ni kumsaidia Rais kazi ndogo ndogo kama kumbebea begi, simu n.k mara nyingi utamwona akiwa nyuma ya Rais.

Wanaovalia suti ni watu wa usalama, kazi yao kubwa ni kuhakikisha Rais anakuwa salama muda wote.

Wenye silaha kubwa wanaovalia combat kama za US Army ni walinzi, kazi yao kubwa ni kuhakikisha ulinzi kwenye eneo la tukio

Askari wa FFU kazi yao kubwa ni kutuliza ghasia na Askari wanaovalia kawaida kazi yao ni kukamata waleta fujo na ghasia

Nadhani mpaka hapo nimekujibu.
Bado

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ona unavyoandika kwa kujichanganya, ni wazi kuwa una andika vitu usivyokuwa na uhakika navyo..
Hadi sasa Jeshi la polisi halijaweka wazi ripoti yake ya uchunguzi, embu acha kupotosha kwa kuokota maneno huko kwenye vijiwe na kisha unavileta hapa moja kwa moja bila hata ya ku reason kujua ukweli ni upi?
What if Mwenyekiti wenu ndio alihusika katika tukio zima la ufyatyani risasi..
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe wewe ni IGP humu JF nilidhani ni DPP maana unataka kila Ripoti humu upewe na ushahidi
maana kila kitu unahoji km Kiranja na kurekebisha, anayetoa msimamo wake basi ni adui, Mpinzani, Kogogo
sasa inakuwa sio JF tena bora ungekuwa Moderator nisingechangia
ndio maana nilisema Funga Mada km inaenda kubaya
kuna button ya Repotr hapo kushoto chini waambie kuna mpinzani wako humu
 
kumbe wewe ni IGP humu JF nilidhani ni DPP maana unataka kila Ripoti humu upewe na ushahidi
maana kila kitu unahoji km Kiranja na kurekebisha, anayetoa msimamo wake basi ni adui, Mpinzani, Kogogo
sasa inakuwa sio JF tena bora ungekuwa Moderator nisingechangia
ndio maana nilisema Funga Mada km inaenda kubaya
kuna button ya Repotr hapo kushoto chini waambie kuna mpinzani wako humu
Naona unaumia sana Mh. Rais kupewa ulinzi wa uhakika. Huyu ndiye Rais wa Watanzania mpaka pale atakapo staafu..

Nyie subilini siku mkiweka Raisi msimpe ulinzi, ila kwa huyu wa sasa ulinzi wake ni muhimu na ni lazima...

Halafu uache kuihusisha TISS na matukio ya ajabu, jaribu kufanya uchunguzi na kujiridhisha kisha uchangie..

Usipende kuokoteza maneno kisha ukaja kuya post humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hapo umemaliza, asiyekuelewa basi maana wapo dogo wanadhani PSU waliokuwepo awamu ya 2 au ya 4 ndio hao hao
hicho Kikosi kinabadilishwa kila inapobidi na kina askari kutoka vitengo vingi
na hilo dude TISS ni kubwa, mpaka maDr wa wauza magazeti
we jamaa unalisha watu matango sijapata ona..

Endelea kuwalisha matango ya mange kimambi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we jamaa unalisha watu matango sijapata ona..
Endelea kuwalisha matango ya mange kimambi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nimesema Rais asilindwe? naona kila mara unanilisha limbwata
niMeelezea walinzi wa Rais ni kitengo kimojawapo cha TISS
hawa walioko Wilayani hawawezi kuwa kwenye mizunguko ya Rais na kazi za TISS mbona zimeelezewa
na wote wanaowalinda viongozi hata waliostaafu wanapishana kikazi na PSU
Tulichojadili ni ulinzi wa Rais na wanatokana na Kitengo cha TISS
 
Naona unaumia sana Mh. Rais kupewa ulinzi wa uhakika. Huyu ndiye Rais wa Watanzania mpaka pale atakapo staafu..
Nyie subilini siku mkiweka Raisi msimpe ulinzi, ila kwa huyu wa sasa ulinzi wake ni muhimu na ni lazima...
Halafu uache kuihusisha TISS na matukio ya ajabu, jaribu kufanya uchunguzi na kujiridhisha kisha uchangie..
Usipende kuokoteza maneno kisha ukaja kuya post humu.
kama huwezi changia si uache? maana unajifanya TISS mara unamlinda Rais ila sisi tukimuweka tusimpe ulinzi tutaona,
Haya mambo sio ya JF km ni IGP au DPP maliza kazi zako kabisa lkn usizuie Mada kwani wewe sio Moderator eti Neno lisitoke mpaka lipitie kwako ulibariki kwa kuwa mm ni Mange Kimambi au Kiboko
 
Wapi nimesema Rais asilindwe? naona kila mara unanilisha limbwata
niMeelezea walinzi wa Rais ni kitengo kimojawapo cha TISS
hawa walioko Wilayani hawawezi kuwa kwenye mizunguko ya Rais na kazi za TISS mbona zimeelezewa
na wote wanaowalinda viongozi hata waliostaafu wanapishana kikazi na PSU
Tulichojadili ni ulinzi wa Rais na wanatokana na Kitengo cha TISS
Wewe si ulisema wale bakabaka ni askari kutoka rwanda? kwa ile statement yako katika ule uzi wa DGIS kwenda kuwa IGP niliona ni mtu wa kuokota maneno mtaani...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanalindwa na TISS ambayo ina vitengo kibao kikiwepo cha PSU ila hao Wastaafu, Sumaye Lowassa Mwinyi hawana walinzi wa silaha na mbwembwe ndio tofauti ya PSU
Aina hiyo hutawaona Wilayani, kwenye Miji au humu JF, ndio maana tunasema wapo wengine,
TISS ni Idara kubwa hata hao wenye mabakabaka, FFU, SWAT na wanaova misuti na miwani, huwezi kuwaona kwa Wastaafu.
Bado huku mitaani tunao wanaouza magazeti huwezi waona wakishika silaha km wa PSU,wanripoti kila siku kazini
tofauti ni hiyo tu Mkuu
Unapiga kelele zizisokuwa na sababu: ukitaka elewa kuwa kikosi kinachomlinda rais ndicho huenda viongozi wote, aliyekuwa anamlinda mama Maria nyerere hajabidilishwa for ages hata wa Sumai hajabadilishwa. Leta uharo wako
 
Kuruka ruka kwa maharagwe kwenye chungu ndio kuiva kwake
Sijui nani amesema ukweli na yupi ni muongo ila kama Raia wote fanyeni kazi kwa bidiii mpate pesa watoto wenu waitwe wa kishua
Umeshindwa kuajili hata mlinzi wa laki moja nyumbani kwako unakuja kujadili ulinzi wa Rais ili ukamfanye nini Rais wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bonjour wana JF,

Sijui kuna mtu ameshawahi kua na swali kama langu ila akakosa majibu ya kitaalamu.

Kila nikiangalia ziara za Rais JPM huwa naona walinzi mwenye sare tofauti tofauti nikapata wazo la kufuatilia layers za walinzi wale ila sijui kazi za kila mmoja naomba nipate kujuzwa za mimi nielewe leo.

1. Kwanza kuna yule amevaa sare ya JWTZ huwa yupo na Rais bega kwa bega na hata gari huwa wanakaa moja huwa ni nani na kazi zake exactly ni zipi?

2. Kuna hawa wanavaaga SUTI huwa wanana silaha zinazoonekana sijui kama wana silaha ila huwa wamevaa vifaa vya mawasiliano katika sikio moja na wapo hadi wanawake hawa ni kina nani na wajibu wao ni upi?

3. Kuna hawa wengine wana silaha kubwa sana sijawahi ona silaha ya vile uniforms zao zina mabaka madogo madogo rangi yake kama uniform za US Army tunazoonaga kwenye movies huwa wamejaa sana weusi tii na wanaogopesha.

4. Kuna hawa wengine wamevaa uniforms za kama polisi FFU ila kofia zao ni ngumu nyeusi sio nyekundu kama zilivyo za FFU na zina mifumo ya mawasiliano direct, huwa wana machine Guns za kisasa hatari kama tunazoonaga kwenye movie nyingi za Hollywood kufuani huwa wamevalia Bullet proof vest nyeusi ikiwa na gears nyingi sana kama kamba, mabomu ya mkono, visu, Vidude vya risasi vile na vitu vingine hata sielewi ni vitu gani, vest zao kwa nyuma zimeandikwa SWAT sijui maana yake ila huwa naonaga kwenye movie pia hilo neno kwa askari wa vikosi maalum. Hawa kazi yao ni nini?

5. Wa mwisho ni hawa askari wa kawaida tunakimbizana nao kila siku mtaani wanavaa kofia nyekundu kichwani FFU na hawa wengine wanaovaa kofia za kawaida pamoja na Traffic hawa najua wajibu wao ni nini.

Kwa yeyote mwenye uelewa mzuri wa layers za kijeshi naomba kupata elimu.

Nawasiliaha

UH-60 Black Hawk


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hapo hamna ulinzi wowote mkuu ni geresha tu ili utishike bahati nzuri sana tanzania amani imetawala, ebu angalia marekani walivyo makini huwezi kuona rais ameambatana na jopo la wanaume wengi namna hiyo lakini ulinzi uliopo ni hatari yaani hujafikiria hata kumkamata umedakwa, wanatuekitia tu bongo kama wakina daimond, hamonisi na kina mbowe, vinjemba kifua mbele hamna lolote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kwanza Kuna yule amevaa Sare ya JWTZ = Mpambe wa Raisi, kawaida kutoka JWTZ

2. Kuna hawa wanavaaga SUTI huwa hawana silaha zinazoonekana = TISS kikosi cha ulinzi wa Raisi (bodyguards)

3. Kuna hawa wengine wana silaha kubwa sana sijawahi ona silaha ya vile uniforms zao zina mabaka madogo madogo = with love from Rwanda

4. Kuna hawa wengine wamevaa uniforms za kama polisi FFU = Polisi kikosi cha ulinzi wa Raisi na kudhibiti umati

5 Wa mwisho ni hawa askari wa kawaida tunakimbizana nao kila siku mtaani wanavaa kofia nyekundu kichwani = FFU Kikosi cha ulinzi wa Raisi na kudhibiti umati
95% wrong!
 
Back
Top Bottom