Hivi Rais analindwa na vikosi vingapi vya askari?

Mkuu ni hivyo unataka au hutaki. Unaweza uka GOOGLE neno Aide de Camp, kifupi ADC, wapo kwa wakuu wengi tu hata IGP anaye tokea FFU.
Google nimeingia tangu zamani kuhusu neno ADC na si neno la kwetu
lkn kazi yake si kushika pochi km mnavyojua, na hayupo pale kwa urembo
1593789554895.png

Kumbuka Kifo cha Anwar Sadat wa Misri 6/October/1981 ADC wake walikinga risasi lkn yeye Rais aliuawa wakati wa Gwaride wakati aliambiwa avae Bullet Proof
kwa hiyo sisi wengine tunajua yule ni Bodyguard hayupo kwa kujificha nyuma yake
nipo kwa kusahihishwa hata Google
 
Hizo ni secret society na secret security huwez jua ipo hv RAIS analindwa na watu wafuatao
1.Bodyguard mkuu
2.Maboard guard wa kawaida
3.JWTZ
4.Askar KOPLO
5.Maaofisa usalama
6.Waganga wa kienyeji (secret issue) hawa sometime huvaa ata uniform za JWTZ akija mchawi agusi
Mkuu upo sahihi kabisa lkn wengine wanakuja na hasira wanataka tufuate mtindo wa Mabeberu au tuige mambo ya kifalme Rais eti mlinzi wake awe mbali ila karibu awepo mpambe km wale wa mabwana harusi kumpangusa jasho na kumtolea simu
 
Hizo ni secret society na secret security huwez jua ipo hv RAIS analindwa na watu wafuatao
1.Bodyguard mkuu
2.Maboard guard wa kawaida
3.JWTZ
4.Askar KOPLO
5.Maaofisa usalama
6.Waganga wa kienyeji (secret issue) hawa sometime huvaa ata uniform za JWTZ akija mchawi agusi

Dah..mkuu hapo walinzi namba sita umedanganya. au tano ni sita?
 
Wakuu wote hao sijawah ona ata siku moja wakipata challenge yoyote ya kiusalama, ajitokeze mmoja akawachallenge japo kidogo ila sio kwa nia ya kumrudhuru rais wetu kipenzi
 
Mkuu upo sahihi kabisa lkn wengine wanakuja na hasira wanataka tufuate mtindo wa Mabeberu au tuige mambo ya kifalme Rais eti mlinzi wake awe mbali ila karibu awepo mpambe km wale wa mabwana harusi kumpangusa jasho na kumtolea simu
Mkuu yule afisa wa Jeshi pale jukumu lake la kwanza sio Ulinzi japo anaweza ku act kama mlinzi kutegemea na scenario ila Primary role yake pale sio ulinzi na usishangae hata akawa unarmed, Kuna mtu yupo kushoto Yule ndio Leader wa security detail yà Rais na huwa anavaa mavazi mara nyingi ya kufanana na Rais na kwa sasa kama ume notice wapo jamaa wawili yule big wa tangu kampeni na kuna mmoja ana sigda huwa anapiga glass sana ñyeusi hao ndio wana cordinate na parameters za nje na hata ikitokea purukushani usitegemee JW ata react mana hajui ata kinachoendelea ulimwengu wa nje mana hata hana Communications gears yule wa pembeni ndio ana Earpieces masikioni kwa ajili ya kupewa instructions mbalimbali, Afisa wa JW ni alama pale kuonesha kuwa pale yupo Commander in Chief (CiC) na pia ana act kama Aide de camp(ADC) yani mpambe wa Rais
Lakini pia kila mtanzania aliepo karibu na mkuu wetu wa nchi anapaswa kuwa mlinzi kuhakikisha Rais hazuliki hata wewe ukiwa kwenye mhadhara alipo Rais unapaswa kumlinda mkuu wako wa nchi iwe na wachawi au aina yoyote ya tukio litakalo mdhuru, Rais ni Alama ya nchi ivo atalindwa kwa gharama yoyote.
 
Unabisha km una ndugu yako mwanajeshi nenda kamuulize wanajua ila ni siri wameambiwa wasiseme

Sijabisha mkuu, ila wewe unaamini kuna ulinzi wa aina hiyo? Au kwa kuwa tu umehadithiwa na ndugu yako mjeshi bhas unaona ni kweli?
 
Mkuu upo sahihi kabisa lkn wengine wanakuja na hasira wanataka tufuate mtindo wa Mabeberu au tuige mambo ya kifalme Rais eti mlinzi wake awe mbali ila karibu awepo mpambe km wale wa mabwana harusi kumpangusa jasho na kumtolea simu

Hamma kitu hapo acha janja janja...
 
ngoja niwasaidie...
raisi analindwa ki mzunguko inaweza kufkia 3 au 4 au na zaidi

first ring ni wale wapembeni yake mda wote wale hawavai uniform
kazi yao ni kumtoa chap eneo la tukio

af kuna ring ya2 ni hao maarufu kama makirikiri
kazi yao ni kukava ring ya1
hao wote ni tiss vip protection

ring ya3 ni hao polisi ffu kitengo cha vip protection nb:ffu wote hupata mafunzo ya medani sawa lkn ukichaguliwa vip protection kuna kozi unaenda na wapo wengi tuu hakuna garantii (utaratibu wa police ni uleule)
hawa hupambana na adui au kumhold msaada ufike.

ring ya 4 ni watoa taarifa na kudili na mtum1 1 kabla hujafika ring ya 3hawa pia hawavai yuniform pia ni mchanganyiko wa tiss na polisi cid au yoyoye mwenye mapenzi mema.

pia wapo swipers hawa hutangulia kabla kupima hali kabla mkuu hajafika siku kadhaa
hawa wanaeza kua wa hapohapo mkoani au hata kutoka hq

raisi analindwa na police na tiss kwa tz. zipo nchi hadi jeshi linamlinda raisi

huyo wa nyuma yake ni mpambe wala ata hausiki na ulinzi tofauti na usaidizi ni........
mwingine aongezee

pia kushika silaha karibu na mkuu lazima uwe umechinguzwa wewe hadi baba ake babu yako sema uwe mwadilifu mtiii ulie tukuka

kama kuna swali npo hapa.
Mkuu usitudanganye bana... yule wa nyuma ya raisi mbona mtu timamu akimuangalia tu kiumakini ataona kwamba siyo mtu wa kawaida sasa wewe unasemaje yule hamna kitu!?

Labda ungesema yule wa kando yake wa kuvaa kaunda suti (dizaini ya uvaaji wa wakuu wa wilaya na mikoa) kidogo ndo anaonekana wa kawaida kwa mbali (kuna aliyenambiaga ni daktari maalum wa raisi)
 
Yule ametoka JWTZ sio komando wala nini na Pale alipo ni ADC (Aide de camp) Mpambe wa Rais kazi yake ya kwanza ni kumsaidia mzee baba na vitu vidogo vidogo kama kubeba mafile au Cash japo likitokea sag nae ana act kama Mlinzi ila kuna Yule anaekaa mara nyingi kushoto kwa mkuu Yule ndio ana Lead team ya inner parameter na ndio wa kwanza kujulishwa hatari yoyote na miongozo namna ya kumtoa mkuu na kumuweka safe wakati parameters zingine ziki endelea kumhold adui
Nitakuwa wa mwisho kukubali
 
Mkuu usitudanganye bana... yule wa nyuma ya raisi mbona mtu timamu akimuangalia tu kiumakini ataona kwamba siyo mtu wa kawaida sasa wewe unasemaje yule hamna kitu!?

Labda ungesema yule wa kando yake wa kuvaa kaunda suti (dizaini ya uvaaji wa wakuu wa wilaya na mikoa) kidogo ndo anaonekana wa kawaida kwa mbali (kuna aliyenambiaga ni daktari maalum wa raisi)
Kati ya afisa wa Jeshi na huyo wa kando yupi ana vifaa vya mawasiliano?
 
Kati ya afisa wa Jeshi na huyo wa kando yupi ana vifaa vya mawasiliano?
Wa kando, na hapo ndo pananichanganya... inakuwaje mpambe awe vile (sura ya kikazi zaidi) halafu mlinzi ndo awe kipambe pambe au ndo kutuzuga wakina kajambanani
 
Wa kando, na hapo ndo pananichanganya... inakuwaje mpambe awe vile (sura ya kikazi zaidi) halafu mlinzi ndo awe kipambe pambe au ndo kutuzuga wakina kajambanani
Huyo wa JW first task yake ingekuwa Ulinzi wangempa Vifaa vya mawasiliano kwa ajili ya coordination Ila sijasema yeye halindi hapana ni mlinzi pia japo ikitokea lakutokea first responder ni huyo alio vaa kiraia mana yeye tayari ana vifaa vya mawasiliano vya kujulishwa hali ya mazingira.
Usizubaishwe na Gwanda mzee hao walio tupia kiraia ni highly trained
 
Huyo wa JW first task yake ingekuwa Ulinzi wangempa Vifaa vya mawasiliano kwa ajili ya coordination Ila sijasema yeye halindi hapana ni mlinzi pia japo ikitokea lakutokea first responder ni huyo alio vaa kiraia mana yeye tayari ana vifaa vya mawasiliano vya kujulishwa hali ya mazingira.
Usizubaishwe na Gwanda mzee hao walio tupia kiraia ni highly trained
Nikumbushe yalivyokuwa mauaji ya JF Kennedy mawasiliano hayakuwepo?
mpaka Oswald anatoroka na anakuja kuuawa na mtu mwingine wakati wa mahojiano kwani mawasiliano hawakuyaweka.
Ulinzi wa Viongozi kila siku unaboreshwa, nia maana huyo ADC ndiye mlinzi binafsi mwenye nguvu kuliko huyo mwenye kaundasuti na headphone
ni maono yangu tu Mkuu hapo
 
Nikumbushe yalivyokuwa mauaji ya JF Kennedy mawasiliano hayakuwepo?
mpaka Oswald anatoroka na anakuja kuuawa na mtu mwingine wakati wa mahojiano kwani mawasiliano hawakuyaweka.
Ulinzi wa Viongozi kila siku unaboreshwa, nia maana huyo ADC ndiye mlinzi binafsi mwenye nguvu kuliko huyo mwenye kaundasuti na headphone
ni maono yangu tu Mkuu hapo
Mbona unachanganya mambo mkuu Kwahiyo unataka kusema kuwa Ulinzi wa VIP hauhitaji Mawasiliano sio? Halafu mpaka leo hakuna ushahidi wa 100% kuwa Lee Oswald ndi ali mshoot Kennedy pitia Inteligency The bold kaandika sana hio inshu, ila pia kuwaza kuwa Afisa wa Jeshi ndio First Responder inashangaza je ikitokea la kutokea anakimbia na mzee wapi? Na je huyo wa kiraia ambae unamuona sio mkakamavu na sijui umeangalia nini haswa mpaka useme ivo yeye ana mawasiliano kabisa na anajua kinachoendelea hapo huwezi kutumia common sense tu kujua nani ana lead?
Halafu swala la ukakamavu kwa Inner parameter sio La ulazima kiivo japo ni muhimu hao Inner parameter wanakuwa guarded na Parameters zingine kiasi kwamba ikitokea lakutokea ni ngumu kuwafikia hao inner parameter so Akili kwao ni muhimu zaidi na soft skills kwao zinahitajika zaidi kuliko physical fitness, Ila pia wako physically fit na Ni Highly Trained ila Mtaji wao hapo zaidi ni akili kucheza na Crowd na kuangalia viatarishi japo pia kuna Massive security guards around
Lakini sioni mantiki ya kubishana nimesema apo juu ulinzi wa VIP sio Constant au static unabadilika badilika kutegemea mazingira, Watu na matukio pia
 
Mbona unachanganya mambo mkuu Kwahiyo unataka kusema kuwa Ulinzi wa VIP hauhitaji Mawasiliano sio? Halafu mpaka leo hakuna ushahidi wa 100% kuwa Lee Oswald ndi ali mshoot Kennedy pitia Inteligency The bold kaandika sana hio inshu, ila pia uweza kuwa Kama Afisa wa Jeshi ndio First Bodyguard je ikitokea la kutokea anakimbia na mzee wapi? Na je huyo wa kiraia ambae unamuona sio mkakamavu yeye ana mawasiliano kabisa na anajua kinachoendelea hapo huwezi kutumia common sense tu mkuu?
sikatai wala sibishi, wote ni muhimu katika matukio lkn ya ambush au Sniper ni huyo ADC
ndio nikatumia ya Oswald au yale ya Mama Indira Ghandi, mawasiliano hayakusaidia lolote (Story za Bold ziache)
Wakati wa ambush lolote yule jamaa kazi yake ni kuCover muhisika kwa lolote hata km kuondoka aondoke yeye ndio nijuavyo, lkn mkisema kazi yake ni kumsaidia vitu muhimu kwa Putin wa Russia hakuna hicho wala hana mtu wa karibu, kwa hiyo sijui sisi tumeiga wapi labda Commonwealth
 
Back
Top Bottom