Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
heeh mbona umepanic?Roho inakuuma, jaribu ufeeee pimbi mkubwa
heeh mbona umepanic?Roho inakuuma, jaribu ufeeee pimbi mkubwa
Acha alindwe, amefanya kazi kubwa, msije mwekea sumu kama mangula.
Ila haijajulikana ni sumu gani, hata dawa tuzinywazo zaweza kuwa ni sumu.Hiviu unamini mangula kawekewa sumu namtu wa njee, kumbuka alikuw akwenye kikao na raisi, sasa kama mtu anweza kuweka sumu kikao raisi yumo angeshindwa vipi kumuwekea raisi,
tujiulize sana hili kabla ya kutuhumu watu.
Naamini ni inside work pekee inayoweza kuweka sumu kikao ambacho raisi yumo.
Acha ulongowith love from Rwanda
Unauhakika alipewa sumu?, kama ni fatigue je?, kama story imeumbwa je?Hiviu unamini mangula kawekewa sumu namtu wa njee, kumbuka
Kwa uongo huu ni heri tu mtoane ngeu; hawa wa mabaka wapo toka enzi, ni kikosi maalum cha ulinzi wa viongozikuna wenye mabaka sio wa kwetu wala Mambo ya ndani
Sawa Magufuli maana wewe ndio unajuaAcha ulongo
ulikuwepo akaziona hizo nguo za mabaka ktk awamu hizo au ni kubisha tu?Kwa uongo huu ni heri tu mtoane ngeu; hawa wa mabaka wapo toka enzi, ni kikosi maalum cha ulinzi wa viongozi
Jamaa yangu humu ndani ya JF kuna viranja na waendesha Mashtaka (DPP) wakali kuliko MODSawa Magufuli maana wewe ndio unajua
Hawa uliowataja wanalindwa na nani ; au hawalindwi?ulikuwepo akaziona hizo nguo za mabaka ktk awamu hizo au ni kubisha tu?
unamalizia ni kikosi cha ulinzi wa viongozi (km nani Lowassa Sumaye au Majaliwa?)
WaelezeJukumu la kumlinda raisi au kiongozi mkubwa lipo chini ya kitengo Cha presidential security unit(PSU) kipo chini ya
3. Kuna hawa wengine wana silaha kubwa sana sijawahi ona silaha ya vile uniforms zao zina mabaka madogo madogo = with love from Rwanda
wanalindwa na TISS ambayo ina vitengo kibao kikiwepo cha PSU ila hao Wastaafu, Sumaye Lowassa Mwinyi hawana walinzi wa silaha na mbwembwe ndio tofauti ya PSUHawa uliowataja wanalindwa na nani ; au hawalindwi?
Mkuu nitafutie ichi kisa, nisome.yaani kimya tene Kesi ilikuwa Murder
kuna mjamaa aliteka gari za pesa za NMB zikitokea Makao Makuu zikipelekwa Wami Morogoro alitembeza mpini, Traffic mmoja akajitolea.
Yule jamaa alikamatwa kupitia vocha sijui mpirani, lkn Kesi hakuna
sijaju hawa jamaa ni wachache au muhimu?
Ok ni Komandoo moja alijiunga na Ujambazi, alitoroka eneo la tukio akakamatwa uwanja wa Taifa kilichomponza alinunua vocha akaiingizaMkuu nitafutie hii ichi kisa, nisome.
Wasipo elewa hapa, hawatokuja kuelewa tena.-Aide de camp ni mpambe wa Rais na ndiyo huyo anayevaa sare za JWTZ(HUYU SIYO MLINZI WA RAIS,ANAONEKANA KWENYE MATUKIO MUHIMU TU YA KITAIFA YA RAIS).
-Presidential Security Unit iko chini ya TISS na maafisa wake ni hao pembeni ya Rais wakivaa kiraia(suti) nk na wapo wanaovaa kombati zenye baka baka wote ni TISS.
-Field Force Unit hawa ni askari wa Jeshi la Polisi wapo pale kuongeza msaada wa kiulinzi na kwa kuwa wao pia wanamafunzo ya kudhibiti mikusanyiko ya watu(crowd management) hivyo ni msaada mkubwa.
-Jukumu la ulinzi wa Rais linatekelezwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama ila tu kuna ngazi za utekelezaji wa majukumu yao.
-Suala la wanyarwanda kumlinda Rais wetu hilo ni BIG NO hawa ni watanzania wenzetu kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupotosha, una uhakika gani Tiss ndio walifyatua risasi 32 kule dodoma..Ndio jamaa yangu, hilo dude TISS ni kubwa sio kikosi cha ulinzi tu
hata wilayani, Mikoani wapo
kuna wale waliomsniper Mbunge risasi 32 kule Dodoma wakakimbilia pale mwanzo wa Reli/ ta kati/Bandarini mpaka wa2 wakaondoka mmoja kwa kichwa tu,
jiulize kwanini wapo mpaka JF km waliingia mpaka Clouds kwenye post yako watashindwaje