Hivi Rais analindwa na vikosi vingapi vya askari?

Hivi Rais analindwa na vikosi vingapi vya askari?

Laurent Kabila wa Congo alikuwa analindwa na Watanzania. Walipotika akalindwa na Wanyarwanda, wakamuua.
Milton Obote wa Uganda aliporudi mara ya pili alikuwa analindwa na Watanzania. Rene wa Syschelles alilindwa na watanzania. Museveni wa Uganda amelindwa na Warwanda muda mrefu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
M7 amelindwaje na warwanda? Wakati yeye ndio aliwasaidia warudi Chigali miaka ya 90?
 
sio Matango pori ni ukweli mtupu, imeshajadiliwa na hata MTAZAMO ulishaiweka hapa Ulinzi wa Rais Magufuli ni wa hali ya juu
Bungeni kuna askari wa Bunge na FFU wa Bunge lakini wanaripoti kwa DCO na hawakubali kutoka hapo Bungeni mpaka waraka, Wapo Traffic wanaoongozana na misafara huwezi kwenda mpangia lindo ashike silaha, kuna FFU wa msafara huwezi wapangia Benki au Mpirani
kwa hiyo ni sawa na Askari akipelekwa kitengo cha ulinzi Magogoni huwezi mpeleka akafanye kazi za ambush za mitaani mikoani au kumfuatilia mhalifu ndio maana unakuta ni walewale wanaoonekana kwa Waziri Mkuu aliyepo au wale wastaafu au Rais mstaafu au Rais aliyepo. namaanisha km umetoka JW utakuwa JW umeazimwa TISS kitengo cha ulinzi, Fuatilia kideo ya leo Ubungo hao walinzi wenyewe kwa wenyewe wanapishana wakiwa kazini
Leteni uthibitisho. Tuache uzushi
 
Ndio jamaa yangu, hilo dude TISS ni kubwa sio kikosi cha ulinzi tu
hata wilayani, Mikoani wapo
kuna wale waliomsniper Mbunge risasi 32 kule Dodoma wakakimbilia pale mwanzo wa Reli/ ta kati/Bandarini mpaka wa2 wakaondoka mmoja kwa kichwa tu,
jiulize kwanini wapo mpaka JF km waliingia mpaka Clouds kwenye post yako watashindwaje
Kumbe TISS ni kama Oxygen
 
wewe km nani hapa JF upewe ushahidi
mm nipe maana ya Ndahani kwa kigogo maana yake la sivyo acha uzushi
Na wewe kama nani upotoshe watu? Nani amekupa madaraka au nguvu hizo?
 
Na wewe kama nani upotoshe watu? Nani amekupa madaraka au nguvu hizo?
ungekuwa Moderator ungefunga uzi
kwanini usiende hapo abuse au report uakalalamike kwa wahusika
kila mtu anachangia kutokana na uelewa wake
mara nyingi wagogo huwa wanajiona kila kitu wanakijua
huna lolote wala hujaelewa ninachomaanisha kuhusu maamuzi ya walinzi wa Rais (ni wengi wanaopishana maamuzi)
angalia hiyo video kwa dk 2 (kuanzia 0.00 hadi 2.00) mpaka Rais anasema mwacheni
 
ungekuwa Moderator ungefunga uzi
kwanini usiende hapo abuse au report uakalalamike kwa wahusika
kila mtu anachangia kutokana na uelewa wake
mara nyingi wagogo huwa wanajiona kila kitu wanakijua
huna lolote wala hujaelewa ninachomaanisha kuhusu maamuzi ya walinzi wa Rais (ni wengi wanaopishana maamuzi)
angalia hiyo video kwa dk 2 (kuanzia 0.00 hadi 2.00) mpaka Rais anasema mwacheni

Hao wanyarwanda wako wapi sasa? Nifute uzi ninufaike na nini?
 
Dah jamaa ndo ana ulinzi ivo! Kumbe ukijichanganya ukasema ukampige roba ya mbao unaweza kupigwa hadi ukachakaa
 
Sema imekosekana hii tu UH-60 Black Hawk
Bonjour wana JF,

Sijui kuna mtu ameshawahi kua na swali kama langu ila akakosa majibu ya kitaalamu.

Kila nikiangalia ziara za Rais JPM huwa naona walinzi mwenye sare tofauti tofauti nikapata wazo la kufuatilia layers za walinzi wale ila sijui kazi za kila mmoja naomba nipate kujuzwa za mimi nielewe leo.

1. Kwanza kuna yule amevaa sare ya JWTZ huwa yupo na Rais bega kwa bega na hata gari huwa wanakaa moja huwa ni nani na kazi zake exactly ni zipi?

2. Kuna hawa wanavaaga SUTI huwa wanana silaha zinazoonekana sijui kama wana silaha ila huwa wamevaa vifaa vya mawasiliano katika sikio moja na wapo hadi wanawake hawa ni kina nani na wajibu wao ni upi?

3. Kuna hawa wengine wana silaha kubwa sana sijawahi ona silaha ya vile uniforms zao zina mabaka madogo madogo rangi yake kama uniform za US Army tunazoonaga kwenye movies huwa wamejaa sana weusi tii na wanaogopesha.

4. Kuna hawa wengine wamevaa uniforms za kama polisi FFU ila kofia zao ni ngumu nyeusi sio nyekundu kama zilivyo za FFU na zina mifumo ya mawasiliano direct, huwa wana machine Guns za kisasa hatari kama tunazoonaga kwenye movie nyingi za Hollywood kufuani huwa wamevalia Bullet proof vest nyeusi ikiwa na gears nyingi sana kama kamba, mabomu ya mkono, visu, Vidude vya risasi vile na vitu vingine hata sielewi ni vitu gani, vest zao kwa nyuma zimeandikwa SWAT sijui maana yake ila huwa naonaga kwenye movie pia hilo neno kwa askari wa vikosi maalum. Hawa kazi yao ni nini?

5. Wa mwisho ni hawa askari wa kawaida tunakimbizana nao kila siku mtaani wanavaa kofia nyekundu kichwani FFU na hawa wengine wanaovaa kofia za kawaida pamoja na Traffic hawa najua wajibu wao ni nini.

Kwa yeyote mwenye uelewa mzuri wa layers za kijeshi naomba kupata elimu.

Nawasiliaha

UH-60 Black Hawk


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulinzi wa rais upo so complicated na unahitaji utulivu kuutambua, Kwanza ili uwe kwenye 'convoy' ya ulinzi wa rais lazima uwe TISS na upite kwenye vile vyuo vyao ukaive. TISS kama majeshi mengine yana department na sections nyingi kuna
1) kurugenzi ya Mambo ya nje
2)mambo ya ndani, kuna 'deep covers' kuna 'undercover' kuna wengine wanakua recruited kama 'informers' na pia kuna VIP protection unit ambao ndani kuna PSU (presidential security unity) hawa wapo wengi kulingana na majukumu. Wapo wale wavaa suti, wavaa suti wabeba mabegi, wenye sare za mabaka mabaka, sare kama FFU, sare kama polis wa kawaida nk. Wote hawa wanapatikana kwa njia mbali mbali inaweza kua direct recruited from mtaani baadaye unaenda mafunzoni, inaweza kua jeshini,polisi,magereza,nk

Ulinzi mkubwa wa rais hauonekani kwa macho, maana hujichanganya kama raia wa kawaida hivyo kumtambua ni ngumu kwa sie watu wa kawaida.

Kwa kumalizia tu niwakumbushe vijana wanaopenda kazi hizo kua ni NGUMU na zina kiapo kikali sana pengine kuliko viapo vyote. Wanajua mengi na Wana jukumu la kulinda ustawahi wa nchi. Hakuna sehemu utaona vyombo vya habari vinawamulika, hakuna siku utaona wanapandishwa cheo hadharani kama ilivyo jeshini magereza na polisi. Ni ukimya ni siri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulinzi wa rais upo so complicated na unahitaji utulivu kuutambua, Kwanza ili uwe kwenye 'convoy' ya ulinzi wa rais lazima uwe TISS na upite kwenye vile vyuo vyao ukaive. TISS kama majeshi mengine yana department na sections nyingi kuna
1) kurugenzi ya Mambo ya nje
2)mambo ya ndani, kuna 'deep covers' kuna 'undercover' kuna wengine wanakua recruited kama 'informers' na pia kuna VIP protection unit ambao ndani kuna PSU (presidential security unity) hawa wapo wengi kulingana na majukumu. Wapo wale wavaa suti, wavaa suti wabeba mabegi, wenye sare za mabaka mabaka, sare kama FFU, sare kama polis wa kawaida nk. Wote hawa wanapatikana kwa njia mbali mbali inaweza kua direct recruited from mtaani baadaye unaenda mafunzoni, inaweza kua jeshini,polisi,magereza,nk

Ulinzi mkubwa wa rais hauonekani kwa macho, maana hujichanganya kama raia wa kawaida hivyo kumtambua ni ngumu kwa sie watu wa kawaida.

Kwa kumalizia tu niwakumbushe vijana wanaopenda kazi hizo kua ni NGUMU na zina kiapo kikali sana pengine kuliko viapo vyote. Wanajua mengi na Wana jukumu la kulinda ustawahi wa nchi. Hakuna sehemu utaona vyombo vya habari vinawamulika, hakuna siku utaona wanapandishwa cheo hadharani kama ilivyo jeshini magereza na polisi. Ni ukimya ni siri.

Sent using Jamii Forums mobile app

Umeelezea vzr nadhani utakua ushapita huko ndani


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Comando Octa?? ile kesi imeisha haijulikan
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani kimya tene Kesi ilikuwa Murder
kuna mjamaa aliteka gari za pesa za NMB zikitokea Makao Makuu zikipelekwa Wami Morogoro alitembeza mpini, Traffic mmoja akajitolea.
Yule jamaa alikamatwa kupitia vocha sijui mpirani, lkn Kesi hakuna
sijaju hawa jamaa ni wachache au muhimu?
 
Ulinzi wa rais upo so complicated na unahitaji utulivu kuutambua, Kwanza ili uwe kwenye 'convoy' ya ulinzi wa rais lazima uwe TISS na upite kwenye vile vyuo vyao ukaive. TISS kama majeshi mengine yana department na sections nyingi kuna
1) kurugenzi ya Mambo ya nje
2)mambo ya ndani, kuna 'deep covers' kuna 'undercover' kuna wengine wanakua recruited kama 'informers' na pia kuna VIP protection unit ambao ndani kuna PSU (presidential security unity) hawa wapo wengi kulingana na majukumu. Wapo wale wavaa suti, wavaa suti wabeba mabegi, wenye sare za mabaka mabaka, sare kama FFU, sare kama polis wa kawaida nk. Wote hawa wanapatikana kwa njia mbali mbali inaweza kua direct recruited from mtaani baadaye unaenda mafunzoni, inaweza kua jeshini,polisi,magereza,nk
Ulinzi mkubwa wa rais hauonekani kwa macho, maana hujichanganya kama raia wa kawaida hivyo kumtambua ni ngumu kwa sie watu wa kawaida.
Kwa kumalizia tu niwakumbushe vijana wanaopenda kazi hizo kua ni NGUMU na zina kiapo kikali sana pengine kuliko viapo vyote. Wanajua mengi na Wana jukumu la kulinda ustawahi wa nchi. Hakuna sehemu utaona vyombo vya habari vinawamulika, hakuna siku utaona wanapandishwa cheo hadharani kama ilivyo jeshini magereza na polisi. Ni ukimya ni siri.
Mkuu hapo umemaliza, asiyekuelewa basi maana wapo dogo wanadhani PSU waliokuwepo awamu ya 2 au ya 4 ndio hao hao
hicho Kikosi kinabadilishwa kila inapobidi na kina askari kutoka vitengo vingi
na hilo dude TISS ni kubwa, mpaka maDr wa wauza magazeti
 
Back
Top Bottom