B51
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 586
- 817
Kuna Siku nilikuwa pale mgulani. Waitokea wajenda wakiwa na sare za kijani kibichi na walikuwa na nembo na jina la Rwanda mabegani mwao. Sisemi kama ni hao wanomlinda rais lkn kuna mahusiano gani kati ya jeshi letu na la Rwanda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale Mabaka mimi nilikutana na mmoja wao tangu enzi za JK ila mara nyingi walikuwa Ikulu na sare zao.
Baada ya ujio wa JPM nikawaona katika misafara ya Rais.
Watanzania wana Propaganda nyingi sana na hawajikubali.
Sent using Jamii Forums mobile app